Nuru FM
Nuru FM
19 March 2025, 11:34 am
Na Joyce Buganda Waandishi wa habari mkoani Iringa wamekumbushwa kuandika ipasavyo habari zinahusu watoto ili kuchochea malezi chanya kwenye jamii. Akizungunza kwenye mdahalo wa program jumuishi ya malezi,makuzi na mandeleo ya mtoto PJT MMMAM Mwenyekiti wa Club ya Waandishi wa…
19 March 2025, 11:24 am
Na Joyce Buganda Baraza la Wanawake wa Kiislamu Tanzania, Wilaya ya Iringa wamekabidhiwa Bajaji yenye Thamani ya Shilingi Milioni 10.5 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kuunga Mkono Juhudi za Wanawake wa Kiislamu Wilayani humo kukuza uchumi.…
14 March 2025, 5:01 pm
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Siti Abasi Ali, amesema mafunzo ya ujasirimali yamesaidia kuhamasisha wanawake na vijana kujikwamua kimaisha kupitia sekta ya ujasiriamali.Ameyasema hayo katika mafunzo yaliyotolewa kwa wanawake na vijana wajasirimali,…
14 March 2025, 3:00 pm
Licha ya mafanikio yaliyopatikana katika kupunguza visa vya malaria, bado kuna changamoto ya baadhi ya wananchi hutumia dawa za Malaria bila kufuata maelekezo ya wataalamu wa afya. Na Abdunuru Shafii Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais TAMISEMI…
12 March 2025, 12:41 pm
Wananchi wametakiwa kuimarisha usafi na kujikinga na magonjwa ya mlipuko kama marburg katika maeneo yao. Na Abdunuru Shafii Wakazi wa mtaa wa Mjimwema kata ya Nguruka halmashauri ya wilaya Uvinza wameeleza namna wanavyojikinga na magonjwa ya mlipuko ikiwemo ugonjwa wa…
8 March 2025, 9:58 PM
ni katika maandamano ya pamoja Wanawake wilayani Masasi mkoani Mtwara wameadhimisha Siku ya Maombi ya wanawake katika kuombea taifa na mambo mbalimbali. Katika maandamano hayo yaliyohusisha na mabango yenye jumbe inayosomeka (Nimeumbwa kwa namna ya ajabu) yenye lengo la kumfanya…
7 March 2025, 6:36 pm
Na Godfrey Mengele Mkuu wa Wilaya ya Iringa Kheri James ameitaka Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania – TAWA pamoja na hifadhi ya wanyamapori Ruaha kuchukua hatua madhubuti ili kudhibiti wanyama wanaovamia na kuharibu mazao, mifugo na kusababisha madhara kwa binadamu…
5 March 2025, 10:15 am
Na Adelphina Kutika Wanawake Mkoani Iringa wametakiwa kuacha kukopa mikopo ya kausha damu na badala yake wakope mikopo inayotambulika na Serikali ikiwemo taasisi za fedha ili kupunguza vifo kwa vijana. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi mtendaji wa shirika la Vyombo…
5 March 2025, 12:00 am
Ameseama jamii inapaswa kuchukua tahadhari kwa kuepuka kugusa au kula nyama ya popo, au nyama ya mnyama wa mwituni akiwemo nyani. Na Theresia Damasi Wananchi wa Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma na maeneo ya jirani wameshauriwa kuchukua tahadhari juu ya…
4 March 2025, 7:04 pm
“Wadhibiti ubora wa shule wa ndani na wa nje wanahakikisha shughuli za shule zinafanyika kwa ukamilifu “ Kupitia kipindi hiki utasikia namna wathibiti ubora wilayani Tanganyika wanavyofanya kazi na kuhakikisha elimu bora inaendelea kutolewa kwa kuzingatia uwepo wa miundombinu rafiki…