Mpanda FM

ULINZI

4 April 2024, 4:28 pm

Mwanaume akutwa amenyongwa na mwili wake kutupwa Katavi

Picha na Mtandao “Baada ya polisi kuuchukua Mwili wa Marehemu kikosi cha ulinzi na usalama kilirudi tena kufanya Misako ya Watu wanaokunywa Pombe Saa za Kazi“ Na Samwel Mbugi-Katavi Mtu mmoja anaekadiriwa kuwa na  Umri kati ya Miaka 40-45 amekutwa…

22 March 2024, 2:24 pm

Zaidi ya Vitambulisho Elfu 64 vya NIDA Vyaletwa Mpanda

“Wananchi amesema vitambulisho hivyo vitawasaidia kwani vimewaondoa hofu ya kukosa huduma muhimu ambazo zinaambatana na vitambulisho vya taifa kama vile kufungua akaunti za Benk“ Picha na Samweli Mbugi Na Samweli Mbugi-katavi Wananchi wa kata ya Mwamkulu Wilaya ya Mpanda mkoani…

20 March 2024, 4:02 pm

Mpanda, Vibaka Waibuka Mpanda Girls

“Mwenyekiti wa mtaa wa Mtemi Beda Edisi Kazwika amekiri kupokea tarifa za uwepo wa matukio ya uhalifu katika eneo hilo na kuwahakikishia hatua za usalama zinachukuliwa kwa wananchi wanaopita katika eneo hilo” Picha na mtandao Na Rachel Ezekia-katavi Wananchi wa…

15 March 2024, 3:18 pm

KATAVI,Waandishi Tumieni Kalamu kwa Weledi

“Wandishi wa habari Mkoani Katavi wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia miiko na maadili ili kuepusha sintofahamu kuelekea uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025″. Picha na Ben Gadau Na Ben Gadau-katavi Wandishi wa habari Mkoani Katavi wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia miiko…

7 March 2024, 1:55 pm

KATAVI, Aliebaka Afariki Akipatiwa Matibabu

“Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Katavi Kaster Ngonyani amesema mtuhumiwa alifikishwa mikononi mwa Jeshi hilo akiwa na hali mbaya hivyo muda mchache baada ya kufikishwa hospitali alifariki dunia na mwili kukabidhiwa kwa ndugu kwaajili ya mazishi” Picha na…

9 February 2024, 2:56 pm

42 wanaswa Katavi wakiwa na bangi, wizi, pombe haramu

Watuhumiwa 12 wamekamatwa wakiwa na mali za wizi,11 wakiwa na pombe haramu ya moshi,7 wakiwa na nyara za serikali na 12 wakiwa na madawa ya kulevya. Picha na Gladness Richard Na Gladness Richard-Katavi Jeshi la polisi     Mkoani Katavi limeendelea…

9 February 2024, 2:41 pm

Sungusungu Mpanda wageuka vibaka

Na John Benjamin-Katavi Baadhi ya wananchi katika mtaa wa Airtel kata ya Uwanja wa Ndege halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani  Katavi wamelalamikia kuwepo kwa kundi ambalo limekuwa likijitambulisha kuwa ni ulinzi shirikishi ambalo limekuwa likifanya matukio ya kiharifu kama…

30 March 2022, 4:29 pm

RADI YAUWA NG’OMBE 28 KATAVI

KATAVI Ng’ombe 28 kati ya 52 waliokuwa pamoja wanatoka malishoni wa kaya tano tofauti kijiji cha Kabage kata ya Sibwesa Wilayani Tanganyika mkoa wa katavi zimekufa baada ya kupigwa na radi iliyoambatana na mvua na upepo mkali. Hayo yameelezwa na…

20 November 2021, 11:45 am

Mkuu wa Mkoa Katavi Awaonya Viongozi Kuhusu Uhalifu

Mkuu wa mkoa wa katavi Mwanamvua Mrindoko amewataka viongozi wa serikali kutokuwa chanzo cha kukumbatia uharifu katika jamii.  Akizungumza na Mpanda Radio Fm amesema kumekuwa na tabia kwa  baadhi ya viongozi wa serikali kutumia nafasi zao za kazi kuwatetea waharifu…