Mpanda FM

MAENDELEO

11 June 2025, 10:48 am

RC Matar ataka ushirikiano na wana habari

picha ya wandishi wa habari pamoja na mkuu wa Mkoa Kaskazini Unguja Matar Zahoro Masoud (aliepo mbele) wakiwa kwenye kikao cha pamoja. Picha na Vuai Juma. “Iwapo wandishi wa habari watapata mashirikiano kutoka kwa watendaji kutasaidia kujua changamoto zinazowakabili wananchi…

10 June 2025, 2:56 pm

Vijana Mlebe watakiwa kuchangamkia fursa mikopo ya 10%

Kwa mujibu wa mwenyekiti wa kijiji cha Mlebe hakuna vikundi vya vijana katika kijiji chake zaidi ya kikundi kimoja cha akina mama ambacho ndicho kipo hai mpaka sasa. Na Victor Chigwada. Vijana wa Kijiji cha Mlebe wametakiwa kuchangamkia fursa za…

5 June 2025, 8:59 pm

Askofu Sangu aomba ukarabati wa barabara ya Bariadi-Nkololo

“Hakuna maendeleo ya vitu kama watu wako hawana miundombinu rafiki ya barabara maana ndiyo njia Kuu ya wananchi kupiga hatua kimaendeleo maana wakipata shida ya kiafya watawahi kwenye matibabu lakini hata biashara itakuwa katika maeneo husika”. Na, Daniel Manyanga  Askofu…

4 June 2025, 09:43

Taasisi za umma zatakiwa kusimamia usafi wa mazingira

Wakuu wa Taasisi za Elimu pamoja na idara ya Afya halmashauri ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kusimamia suala la usafi wa mazingira ili kudhibiti magonjwa ya mlipuko yanayosababishwa na uchafuzi wa mazingira. Na, Hagai Ruyagila Usafi wa mazingira…

2 June 2025, 15:32

WFP yatoa mashine 5 kuongeza virutubishi vya unga lishe

Wazazi na walezi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuzingatia lishe kwa watoto wao ili waweze kuwa afya bora. Na Michael Mpunije Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP kupitia mradi wa Kigoma Joint Programme limekabidhi mashine…

30 May 2025, 15:53

Faida ya radio mtandao kwa wanahabari

Wandishi wa habari kutoka mikoa mbalimbali  wamekumbushwa kuzingatia misingi na weledi katika kuandika habari zenye tija na kuziweka kwenye mtandao wa radio portal ili kuwafikia wasikilizaji nje ya mikoa yao Na Emmanuel Jotham Wandishi wa Habari wa Radio wametakiwa kutumia…

28 May 2025, 5:43 pm

Manispaa ya Iringa kujenga soko la wajasiriamali wadogo

Changamoto ya wafanyajasiriamali wadogo Manispaa ya Iringa kuvamia katika maeneo yasiyo Rasmi kufanya shughuli zao imepatiwa mwarobaini. Na Godfrey Mengele Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imepanga kuanzia masoko mengine kwa ajili ya wafanyabiashara wadogo ikiwa ni mpango mkakati wa kuhakikisha…