Mpanda FM
Mpanda FM
11 June 2025, 10:48 am
picha ya wandishi wa habari pamoja na mkuu wa Mkoa Kaskazini Unguja Matar Zahoro Masoud (aliepo mbele) wakiwa kwenye kikao cha pamoja. Picha na Vuai Juma. “Iwapo wandishi wa habari watapata mashirikiano kutoka kwa watendaji kutasaidia kujua changamoto zinazowakabili wananchi…
June 10, 2025, 3:10 pm
Mkuu wa wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera amewataka wakazi wilayani humo kudumisha usafi ikiwemo kuacha kutupa taka hovyo ili kuepusha magonjwa. Na. Elisa kapaya Mkuu wa wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera Bi.Zaitun Msofe amekemea tabia ya baadhi ya wananchi wilayani…
10 June 2025, 2:56 pm
Kwa mujibu wa mwenyekiti wa kijiji cha Mlebe hakuna vikundi vya vijana katika kijiji chake zaidi ya kikundi kimoja cha akina mama ambacho ndicho kipo hai mpaka sasa. Na Victor Chigwada. Vijana wa Kijiji cha Mlebe wametakiwa kuchangamkia fursa za…
5 June 2025, 8:59 pm
“Hakuna maendeleo ya vitu kama watu wako hawana miundombinu rafiki ya barabara maana ndiyo njia Kuu ya wananchi kupiga hatua kimaendeleo maana wakipata shida ya kiafya watawahi kwenye matibabu lakini hata biashara itakuwa katika maeneo husika”. Na, Daniel Manyanga Askofu…
4 June 2025, 15:32
Wanafunzi wenye ulemavu katika shule ya Kabanga mazoezi wapatiwa msaada wa bima za afya ili kuwasaidia kupata matibabu. Na Hagai Ruyagila Katika kuunga mkono juhudi za serikali katika kuboresha sekta ya afya nchini, Taasisi ya Usilie Tena yenye makao yake…
4 June 2025, 09:43
Wakuu wa Taasisi za Elimu pamoja na idara ya Afya halmashauri ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kusimamia suala la usafi wa mazingira ili kudhibiti magonjwa ya mlipuko yanayosababishwa na uchafuzi wa mazingira. Na, Hagai Ruyagila Usafi wa mazingira…
2 June 2025, 15:32
Wazazi na walezi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuzingatia lishe kwa watoto wao ili waweze kuwa afya bora. Na Michael Mpunije Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP kupitia mradi wa Kigoma Joint Programme limekabidhi mashine…
30 May 2025, 15:53
Wandishi wa habari kutoka mikoa mbalimbali wamekumbushwa kuzingatia misingi na weledi katika kuandika habari zenye tija na kuziweka kwenye mtandao wa radio portal ili kuwafikia wasikilizaji nje ya mikoa yao Na Emmanuel Jotham Wandishi wa Habari wa Radio wametakiwa kutumia…
29 May 2025, 7:23 pm
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu wa Tawala za Mikoa, Zainab Khamis Kibwana, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaendelea kuziangalia taasisi za serikali za mitaa kama nguzo muhimu katika kufanikisha utekelezaji wa mipango ya maendeleo kitaifa.Mkurugenzi ameyasema…
28 May 2025, 5:43 pm
Changamoto ya wafanyajasiriamali wadogo Manispaa ya Iringa kuvamia katika maeneo yasiyo Rasmi kufanya shughuli zao imepatiwa mwarobaini. Na Godfrey Mengele Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imepanga kuanzia masoko mengine kwa ajili ya wafanyabiashara wadogo ikiwa ni mpango mkakati wa kuhakikisha…