Mpanda FM
Mpanda FM
23/01/2026, 17:52
Na Mary Julius. Wananchi wa Wilaya ya Kati Unguja wametakiwa kutumia kikamilifu fursa zinazopatikana katika Baraza la Manispaa Kati ili kupunguza gharama za maisha na kukuza mapato ya serikali kwa ujumla. Wito huo umetolewa na Mstahiki Meya wa Manispaa Kati,…
20 January 2026, 12:26 pm
“Tuweni na tabia ya kupima afya zetu mara kwa mara ili kuweza kujuwa hali zetu katika kukabiliana na changamoto zozote za kiafya hali hii itasaidia sana kupunguza magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama kisukari,presha na mengine”. Na,Daniel Manyanga Asilimia 34 ya…
18/01/2026, 20:49
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Mtandao wa Jumuiya za Wasaidizi wa Sheria Zanzibar, ZAPONET Zanzibar, Asia Abdulsalam Hussein, amesema ili jumuiya za wasaidizi wa sheria ziweze kufanya kazi kwa ufanisi, ni lazima zijikite katika uandishi wa miradi na utafutaji wa wafadhili, hatua…
16/01/2026, 14:23
Mkutano huo uliwakutanisha wadau mbalimbali kwa lengo la kuimarisha sekta ya ukusanyaji mapato nchini. Na Mariam Kasawa. Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mcha Musa Mcha, amesisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya uongozi wa mamlaka hiyo na…
13 January 2026, 10:38 am
“Mazingira ya uwekezaji yakiwa mazuri lazima wawekezaji waongeze uzalishaji wa bidhaa” Na Hafidh Ally Serikali ya imepongezwa kwa kufanya mageuzi makubwa na kuweka mazingira rafiki na wezeshi kwa wawekezaji jambo linalochochea ukuaji wa shughuli za uzalishaji, kuongeza ajira na kupanua…
12/01/2026, 15:13
Kufuatia kukamilika kwa zoezi la uandikishaji kuelekea uchaguzi wa viongozi wa soko hilo wafanyabiashara soko la wazi la Machinga Complex wamesema matarajio yao ni kuwa na viongozi wawajbikaji. Na Mariam Kasawa. Wafanyabiashara wa Soko la Wazi la Machinga wameeleza matumaini…
09/01/2026, 00:28
Na Ivan Mapunda. Kuanzishwa kwa chuo cha mafunzo cha Idara ya Uhamiaji Zanzibar ni hatua muhimu katika kuwaongezea uwezo wa kitaalamu, kiutendaji na kimaadili maafisa na askari wa Idara ya Uhamiaji Tanzania. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed…
09/01/2026, 00:02
Na Mary Julius. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema uwekezaji wa Taasisi ya Sayansi za Bahari ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM–IMS) iliyopo Buyu, Wilaya ya Mjini Magharibi B, Zanzibar, utakuwa chachu…
08/01/2026, 09:53
Na Mary Julius. Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Zanzibar Dk. Khalid Salum Mohamed amesema Wizara yake imepata mafanikio makubwa katika kipindi kifupi tangu kuundwa kwake baada ya Uchaguzi Mkuu, hususan katika sekta za ujenzi wa barabara pamoja na usafiri wa…
05/01/2026, 20:18
Na Berema Nassor. Waziri wa mawasiliano Teknolojia ya habari na ubunifu Mudrik Ramadhan Soraga amesema lengo na dhamira ya Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar kuanzisha taasisi ya wakala wa ulinzi JKU ni kuhakikisha serikali inapata mapato yatokanayo na huduma za…