Mpanda FM

MAENDELEO

3 December 2025, 5:28 pm

Jamii ya Mikumi yainuka kiuchumi kupitia ushirikiano na TANAPA

Na Mary Julius. Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania TANAPA  limeendelea kushirikiana kwa karibu na jamii inayozunguka Hifadhi ya Mikumi kwa lengo la kuimarisha uhifadhi na kuinua maendeleo ya wananchi. Afisa Uhifadhi Daraja la Kwanza, Emakulata Mbawi, anayesimamia kitengo cha…

1 December 2025, 7:49 pm

Mikumi yashuhudia ongezeko la ndege, wageni

Na Mary Julius. Zaidi ya wageni 150 hadi 400 wanawasili katika hifadhi ya taifa ya Mikumi kwa siku kupitia Kiwanja cha Ndege cha Kikoboga kutokana na uboreshaji wa kiwanja hicho, uliofanywa na TANAPA. Afisa Uhifadhi Mwandamizi wa Hifadhi ya taifa…

29 November 2025, 10:09 pm

Miundombinu bora yazidisha wageni hifadhi ya Mikumi

Na Mary Julius. Uwepo wa treni ya mwendokasi pamoja na maboresho ya viwanja vya ndege katika eneo la Hifadhi ya Taifa ya Mikumi umechangia kwa kiasi kikubwa ongezeko la watalii wanaotembelea hifadhi hiyo. Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi Kanda ya Mashariki, Fredrick…

26 November 2025, 7:15 am

Wafanyabiashara waaswa kukatia bima biashara zao.

“Bima hizo zitawasaidia kupata fidia endapo utakutana ana majanga yatakayoharibu biashara” Na Godfrey Mengele Wafanyabiashara wanaojishughulisha na shughuli za sekta isiyo rasmi ikiwamo bodaboda, mamalishe, wauza mitumba na makundi mengine wametakiwa kujiunga na huduma za bima ili kujilinda na majanga…

17 November 2025, 4:57 pm

SHIJUWAZA: Tunaomba ushirikiano maadhimisho ya watu wenye ulemavu

Mkurugenzi wa Shirikisho la Jumuiya za Watu Wenye Ulemavu Zanzibar  (SHIJUWAZA) Ali Machano ameiomba jamii kushiriki kikamilifu katika shughuli mbalimbali zilizoandaliwa na jumuiya hiyo kuelekea maadhimisho ya Siku ya Watu Wenye Ulemavu Duniani. Ameeleza kuwa mafunzo maalum yameandaliwa, ambayo yataisaidia…

17 November 2025, 13:20

Wananachi Kigoma waaswa kuzingatia lishe bora

Na Timotheo Leonard Wananachi Mkoani Kigoma wameaswa kuzingatia lishe bora ya  makundi sita ya vyakula ili kuimarisha afya zao kwa  kuongeza virutubishi mwilini vinavyoimarisha  mwili na akili. Kauli hiyo imetolewa na Afisa lishe Mkoa wa Kigoma James Mbalabo wakati akizungumza na…

17 November 2025, 12:31 pm

6 Desemba kubadili mitazamo ya wanawake Katavi

“Matukio haya yote yanalenga kumsukuma mwanamke kuleta mafanikio” Na Anna Millanzi Uongozi wa Katavi Worth Women umezindua msimu mpya wa kutoa hamasa kwa wanawake na kuwakutanisha pamoja ili kuendelea kupeana maarifa ya kujikwamua kiuchumi. Akizungumza na Waandishi wa habari na…

11 November 2025, 11:23 am

DC Anney watumishi wa afya fanyeni kazi kwa weledi

“Hakuna maendeleo ya vitu bila watu ndiyo maana sasa duniani kote wanapambana sana kuleta ustawi wa afya za watu wakijuwa kabisa kwamba watu wakiwa na afya imara hata uchumi nao utakuwa kwa kasi kwa sababu tu wananchi wake wako na…