Mpanda FM
Mpanda FM
22 September 2025, 4:32 pm
Jamii pia imeshauriwa kujitokeza katika kliniki za watoto ili kupata elimu zaidi kuhusu lishe bora na namna ya kuandaa milo ya watoto kwa njia salama na yenye mvuto. Na Peter Mnunduma.Afisa Lishe kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma,…
22 September 2025, 2:01 pm
Mwenge wa Uhuru utakimbizwa ndani ya wilaya kwa umbali wa kilomita 131 Na Abdunuru Shafii Jumla ya miradi 7 yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2.4 inayojumuisha sekta za elimu, afya, Maji na nishati inatarajiwa kukaguliwa, kutembelewa na mingine…
18 September 2025, 12:23 pm
Kutumia bidhaa zinazozalishwa hapa nchini itapelekea kukuza uchumi Na Adelphina Kutika Wananchi mkoani Iringa wametakiwa kutumia bidhaa na huduma zinazozalishwa ndani, ili kukuza uchumi wa nchi na kuongeza pato la taifa. Wito huo umetolewa na mkuu wa mkoa wa Iringa…
18 September 2025, 10:33 am
“Hawa watoto ni wanafunzi ambao wapo likizo kusubiri matokeo yao” Na Anna Mhina Wazazi na walezi wametakiwa kuacha tabia ya kuwatumia watoto kama mtaji pindi wanapohitimu elimu yao ya msingi na badala yake wawaache wafikie ndoto zao. Hayo yamesemwa na …
September 17, 2025, 11:05 am
kwenye picha ni mkuu wa wilaya ya Nyasa Mh perres Magili Mkuu wa Wilaya ya Nyasa, Mh. Perresi Magiri amewaasa wananchi kujitokeza kwa wingi katika mapokezi ya mgombea nafasi ya Urais Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na mgombea mwenza…
14 September 2025, 8:59 am
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amewataka maafisa lishe kukomesha tatizo la ukondefu mkali na utapiamlo Kwa kuifikia jamii na kutoa elimu Ili kudhibiti tatizo Hilo. Na Mzidalfa Zaid Sendiga ametoa kauli hiyo Leo katika kikao Cha tathimini ya…
13 September 2025, 9:04 am
Dawati hilo lina lengo la kuboresha uhusiano kati ya TRA na wafanyabiashara. Na Adelphina Kutika Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Iringa imezindua Dawati Maalumu la Uwezeshaji Biashara, hatua inayolenga kuboresha mahusiano kati ya serikali na wafanyabiashara sambamba na…
September 11, 2025, 4:47 pm
Ni ya utoro, wizi na uharibifu Na Asteria Kibiki Watoto wanaojihusisha na vitendo vya kuokota vyuma chakavu katika kata ya Ichenjezya, wilayani Mbozi mkoani Songwe wanatuhumiwa kuongoza kwa utoro shuleni na kujifunza tabia za wizi na uharibifu. Pamoja na kutoroka…
11 September 2025, 9:53 am
Changamoto ya watu kujiua inapaswa kufanyiwa uchunguzi na kutatuliwa ili kupunguza vifo katika jamii. Na Godgrey Mengele Mwanaume mmoja ajulikanaye kwa jina la George Severin Manga mkazi wa Kitongoji cha Kihesa katika Kijiji cha Ilambilole amekutwa amejinyonga kwa kile kinachodhaniwa…
9 September 2025, 11:06 am
Na Marino Kawishe Zaidi ya Wananchi elfu Tatu kutoka kata nne za Galapo, Mamire, Endakiso na Qash zilizopo Wilayani Babati Mkoani Manyara wamejitokeza kupata huduma za afya katika kambi ya siku tano iliyomalizika jumamosi sept 6 iliyoandaliwa na Shirika la…