Mpanda FM
Mpanda FM
05/03/2026, 18:03
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kuchukua taadhari ya magonjwa ya mlipuko ikiwemo ugonjwa wa covid 19 ambao uliripotiwa hivi karibuni katika baadhi ya maeneo hapa nchini. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa na Mganga mkuu wa mkoa wa Manyara Andrew method…
26/02/2026, 14:13
Zaidi ya Wananchi 116 kutoka kata ya Nakwa wilayani Babati mkoani Manyara wamefanyiwa uchunguzi wa magonjwa mbali mbali ikiwemo kufanyiwa vipimo vya presha, kisukari na shinikizo la juu la damu zoezi ambalo limeendeshwa na kanisala la waadventisti wasabato mjini Babati.…
25/02/2026, 19:00
Na Is haka Mohammed. Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mgeni Khatib Yahaya amezitaka taasisi za kuhiibiti magendo kisiwani Pemba kuendelea kushiriana na wananchi katika kuona biashara ya magendo inatokomezwa pamoja na kuzinimbau bandari bubu zilizopo katika maeneo ya kisiwa…
17/02/2026, 14:44
Punda nchini Tanzania wanakabiliwa na changamoto kubwa za ustawi, ikiwemo ukosefu wa lishe bora, huduma za afya pamoja na ulinzi dhidi ya vitendo vya utoroshaji na biashara haramu. Na Mariam Mallya Wataalamu wa mifugo na wadau wa ustawi wa wanyama…
07/02/2026, 11:01
Zaidi kaya maskini 60 katika kijiji cha Imbilili wameanza kunufaika na mpango wa bima wa afya kwa wote katika mpango wa kwanza wa ugawaji wa bima hizo. Na Emmy Peter Akikabidhi kadi hizo kwa wananchi hao mkuu wa mkoa wa Mnyara …
3 February 2026, 3:30 pm
“Mtunze kila kitu mnachokikuta kuanzia majengo mpaka samani” Na Samwel Mbugi Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwananamvua Hoza Mrindoko amewataka wanafunzi na walimu wa shule ya Ufundi Mgombe secondary school iliyopo wilaya ya Mlele kijiji cha Uzega kutunza miundombinu ya…
3 February 2026, 10:43
“Viuatilifu ni sumu, vinapaswa vitumike kwa uangalifu” Mtoka Na Jackson Machowa. Wakulima Nyanda za Juu Kusini wametakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya viuatilifu katika kipindi chote cha kilimo ili kujihakikishia wingi na ubora wa mazao shambani. Wito huo umetolewa kufuatia shughuli…
30 January 2026, 12:21 am
bajeti hii inalenga kuboresha utoaji wa huduma za kijamii na kiuchumi kwa wananchi, ikiwemo sekta za elimu, afya, miundombinu, maji pamoja na maendeleo ya kiuchumi kwa ujumla. Na Abdunuru Shafii Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza limepitisha…
29/01/2026, 17:49
Mkuu wa mkoa wa Manyara, Mhe.Queen Cuthbert Sendiga akiwa na wataalamu wa Idara ya Afya ametembelea maeneo mbalimbali ya Mji wa Babati kwa ajili ya kutoa elimu na hamasa kwa wananchi Kujiunga na Bima ya Afya kwa wote. Na Mzidalfa…
29/01/2026, 16:23
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga, amepinga takwimu ya asilimia 93 ya upatikanaji wa huduma za dawa mkoani Manyara , akisema si ya kweli kutokana na wingi wa malalamiko ya wananchi, huku akizielekeza halmashauri zote za mkoa huo kuhakikisha zinafikisha elimu…