Mpanda FM

ELIMU

25/02/2026, 19:00

RC Kusini Pemba atangaza vita dhidi ya magendo Pemba

Na Is haka Mohammed. Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mgeni Khatib Yahaya amezitaka taasisi za kuhiibiti magendo kisiwani Pemba kuendelea kushiriana na wananchi katika kuona biashara ya magendo inatokomezwa pamoja na kuzinimbau bandari bubu zilizopo katika maeneo ya kisiwa…

17/02/2026, 14:44

Wadau walia na serikali utoroshaji wa punda nchini

Punda nchini Tanzania wanakabiliwa na changamoto kubwa za ustawi, ikiwemo ukosefu wa lishe bora, huduma za afya pamoja na ulinzi dhidi ya vitendo vya utoroshaji na biashara haramu. Na Mariam Mallya Wataalamu wa mifugo na wadau wa ustawi wa wanyama…

3 February 2026, 3:30 pm

Historia kuandikwa shule ya sekondari Mgombe

“Mtunze kila kitu mnachokikuta kuanzia majengo mpaka samani” Na Samwel Mbugi Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwananamvua Hoza Mrindoko amewataka wanafunzi na walimu wa shule ya Ufundi Mgombe secondary school iliyopo wilaya ya Mlele kijiji cha Uzega kutunza miundombinu ya…

3 February 2026, 10:43

Nafaka Kilimo yawafikia wakulima elimu viuatilifu

“Viuatilifu ni sumu, vinapaswa vitumike kwa uangalifu” Mtoka Na Jackson Machowa. Wakulima Nyanda za Juu Kusini wametakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya viuatilifu katika kipindi chote cha kilimo ili kujihakikishia wingi na ubora wa mazao shambani. Wito huo umetolewa kufuatia shughuli…

30 January 2026, 12:21 am

Baraza la Madiwani lapitisha bajeti ya bil. 51.05 Uvinza

bajeti hii inalenga kuboresha utoaji wa huduma za kijamii na kiuchumi kwa wananchi, ikiwemo sekta za elimu, afya, miundombinu, maji pamoja na maendeleo ya kiuchumi kwa ujumla. Na Abdunuru Shafii Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza limepitisha…

29/01/2026, 17:49

RC Sendiga atoa somo bima ya afya kwa wote

Mkuu wa mkoa wa Manyara, Mhe.Queen Cuthbert Sendiga akiwa na wataalamu wa Idara ya Afya ametembelea maeneo mbalimbali ya Mji wa Babati kwa ajili ya kutoa elimu na hamasa kwa wananchi Kujiunga na Bima ya Afya kwa wote. Na Mzidalfa…