Uncategorised
29 September 2023, 4:37 pm
Dkt. Khalidi: Tusichafue bahari kwani asilimia 50 ya oxygen inatoka huko
Wananchi waache kuchafua mazingira ya bahari ili ibaki katika haiba yake na kuwalinda viumbe hai wanaopatikana ndani yake. Na fatma Rashid. Waziri wa Ujenzi, Mawasoliano na Uchukuzi Zanzibar Dkt. Khalid Salim Ali ameitaka jamii kuacha tabia ya kutupa taka ovyo…
27 September 2023, 11:15 pm
Wanawake someni sayansi mkaongoze meli Pemba
Kutokana kwa uwepo wa wanawake wachache kwenye sekta ya bahari hasa kuwa mabaharia ndio asasi mbali mbali kuungana kuhamasisha maskuli ili wasome masomo ya sayansi wawepo kwenye sekta hiyo. Na Fatma Rashid Wanafunzi kisiwani Pemba wametakiwa kizingatia masomo ya sayansi…
8 September 2023, 12:56 pm
Kamati za kupinga ukatili Zanzibar zatoa neno kupunguza talaka
Visiwani Zanziabar kumekuwa na engezeko la talaka kila siku hali hiyo ndio imepelekea kamati maalum ya kupinga vitendo vya udhalilishaji Zanzibar kutoa ushauri kwa serikali kwa kutoa elimu hiyo skuli na madrsa. Na Mwandishi wetu. Kamati za kupinga vitendo vya…
15 August 2023, 4:38 pm
DC Mjaja: Wazazi, walezi wazuie watoto kuokota karafuu kuwakinga na udhalilishaj…
Mkuu wa wilaya ya Mkoani anawataka wazazi na walezi wasiwaruhusu watoto wao kuokota karafuu(mpeta) kwa kuhofia vitendo vya udhalilisha kwai matendo hayo yanaendezeka sana wakati wa msimu wa zao hili linapokuja kila mwaka. Na Amina Masoud Wazazi na walezi kisiwani…
3 December 2022, 12:47 pm
Wananchi washauriwa kuunga mkono bishaa za wajasiliamali wa ndani
Wananchi kisiwani pemba wametakiwa kutumia bidhaa zinazozalishwa na wajasiriamali wanawake ili kuunga mkono juhudi za kujikwamua na umasikini. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi Habiba Khamis Mohd mjasiriamali na muuzaji wa unga wa lishe wa Hopeca amesema imefika wakati sasa…
21 September 2022, 12:25 pm
Wahamasishaji Jamii pemba watakiwa kuitunza miradi
PEMBA. Wahamasishaji jamii kisiwani Pemba wametakiwa kuongeza juhudi za kutoa uwelewa kwa jamii ili kuienzi na kuitunza miradi wanayoanzishiwa kwa lengo la kuleta maendeleo endelevu kwa vizazi na vizazi. Kauli hiyo imetolewa na mratibu wa mradi wa swil kutoka taasisi…
21 September 2022, 11:47 am
Katibu Machigini: wakulima ongezeni bidii kuondoa uhaba wa chakula
Wakulima wa kilimo cha umwagiliaji wa bonde la machigini, shehia ya mjimbini Mkoani Pemba wameshauriwa kuongeza bidii kwenye kilimo chao cha mpunga kwa lengo la kuongeza kasi ya uzalishaji . Ushauri huo umetolewa na katibu wa bonde hilo,Hamdu Hassan…
10 September 2022, 10:46 am
TAMWA Zanzibar: waandishi wa habari wanolewa kuwasaidia wanawake kuwa viongozi
Uwepo wa asilimia ndogo ya ushiriki wa wanawake katika ngazi za maamuzi ni changamoto moja wapo inayopelekea kutopatikana kwa maendeleo kwa baadhi ya taasisi. Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa chama cha Waandishi wa Habari wanawake Tanzania – Zanzibar…
1 September 2022, 11:01 am
Mrajisi: Wafanyabiashara kateni rufaa kupitia baraza la ushindani halali wa bias…
Wafanya biashara wilaya ya mkoani wametakiwa kutumia fursa za kukata rufaa kupitia Baraza la ushindani halali wa biashara Zanzibar ili kupata haki zao kisheria endapo hawakutendewa haki na watoa huduma mbalimbali Zanzibar . Hayo yameelezwa na mrajisi wa baraza hilo…
28 August 2022, 2:45 pm
Wananchi Pemba wanatakiwakuandika urithi ili kuepuka migogoro
Wananchi kisiswani Pemba wameshauriwa kuzingatia suala la mirathi mara tu baada ya mzazi kufariki ilikuepusha migogoro isiyo ya lazima katika familiya. Kauli hizo zimetolewa na zulekha suleimn sheha na Sharifa Shaban Hamad wakati akizungumza na mwandishi wa habari hizi…