Keifo FM
Keifo FM
11 October 2025, 6:37 pm
Ujio wa Dkt. Samia unaleta ari mpya ya kisiasa na ni fursa ya kumpongeza kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuendeleza miradi mikubwa ya maendeleo nchini. Na Mrisho Sadick: Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Geita na Wananchi…
2 October 2025, 2:52 pm
Karibu usikilize makala inayozungumzia mchango wa viongozi wa dini katika kuwainua wanawake kuwania nafasi za uongozi ambapo makala hii imezungumza na viongozi wa dini na viongozi wa dini wanawake . Makala hii imendaliwa na Hawa Rashid na Mzidalfa Zaid
1 October 2025, 4:10 pm
Na Dorcas Charles Kila Septemba 28, dunia huadhimisha Siku ya Kichaa cha Mbwa Duniani ili kutoa elimu juu ya madhara ya ugonjwa huu na namna unavyoweza kuzuilika. Afisa Mifugo wa Kata ya Terrat, Petro Mejooli Lukumay, amesema chanjo ya mbwa…
1 October 2025, 1:03 pm
Karibu msikiliza usikilize makala inayozungumzia matumizi sahihi ya uzazi wa mpango, Makala yetu imezungumza na mwanamke anaetumia uzazi wa mpango, mwanamke asietumia uzazi wa mpango, mwanamume anaempa ushirikiano mke wake kutumia uzazi wa mpango na wataalam wa afya . Na…
1 October 2025, 11:40 am
“Nitahakikisha naishauri serikali kurekebisha sheria na sera rafiki za uwekezaji ili vijana wanaosoma wapate ajira rasmi.” Eliya Mahwa Na. Theresia Damasi Mgombea wa ubunge jimbo la Kigoma Kusini kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMA BW. Eliya Mahwa…
30 September 2025, 3:18 pm
Waandishi wa habari na jamii kwa ujumla wanalo jukumu kubwa la kuhakikisha taarifa wanazopokea au kuzitumia, zinakuwa sahihi na zimethibitishwa ili kuepuka kuchochea taharuki, chuki au migawanyiko isiyo ya lazima. Na Asha Madohola Katika kipindi maalumu kilichorushwa na Redio Jamii…
September 18, 2025, 10:26 pm
Baada ya changamoto ya muda mrefu ya kutokuwepo kwa huduma ya upasuaji kwa wajawazito, Kituo cha Afya cha Ngarenaro mkoani Arusha kimezindua rasmi huduma hiyo muhimu, hatua inayolenga kuokoa maisha ya mama na mtoto wakati wa kujifungua. Na Jenipha Lazaro…
17 September 2025, 10:22 pm
Vyama mbalimbali vya siasa nchini vimeendelea kufanya kampeni ikiwa ni maandalizi ya kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Na: Ester Mabula
16 September 2025, 11:10 am
Vyama mbalimbali vya siasa nchini vimeendelea na kampeni ikiwa ni njia ya kunadi sera na mipango yao kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Na: Edga Rwenduru Chama cha United Democratic Party (UDP) kimewaahidi watanzania kusimamia rasilimali za nchi kwa…
16 September 2025, 7:39 am
Mgombea ubunge wa Jimbo la Busanda, wilaya ya Geita kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Jafari Rajabu Seif, amezindua rasmi kampeni zake Septemba 15, 2025 kwa kuahidi kushughulikia changamoto zinazowakabili wananchi. Na: Ester Mabula Akizungumza wakati wa uzinduzi…