Keifo FM

Uncategorised

14 March 2024, 18:12

Luoga: Watanzania niokoeni saratani ya koo inaniua

Dastani Luoga mkazi wa kitongoji cha Roma hapa wilayani Kyela ameomba watanzania kumsaidia michango ya kifedha ili kufanikisha upasuaji wa saratani ya koo inayomsumbua sasa. Na Masoud Maulid Baada ya kushindwa kula wala kunywa chochote kwa   muda wa miezi minne,…

13 March 2024, 14:19

Mwaisango: Iwe mvua, jua tunaingia kwenye uchaguzi

Chama cha CHADEMA wilayani kyela kimeitaka serikali ya chama cha mapinduzi wilayani hapa kujiandaa kikamilifu katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa na ule mkuu wa mwaka 2025 kuwa ni lazima wakiondoshe madarakani. Na James Mwakyembe Chama cha Democrasia na…

11 March 2024, 17:30

Swebe: Wanawake jitokezeni kugombea serikali za mitaa

Mwenyekiti mpya CHADEMA wilaya ya Kyela Victoria Swebe amewataka wanawake wa chama hicho kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi za uenyekiti wa serikali za mitaa katika uchaguzi ujao. Na James Mwakyembe Baada ya kuchaguliwa na kuwa mwenyekiti mpya mwanamke wa chama…

8 March 2024, 16:27

Kyela: Vijana 10 wa greengard wakabidhiwa sare Itunge

Vijana wa chama cha mapinduzi uvccm  kata ya itunge wilayani kyela wamekabidhiwa sale aina kombati kwa ajili ya mandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2024-2025. Na Emmanuel Jotham Vijana kumi (10) wa Green Gard walio kwenda mafunzo kupitia chama…

8 March 2024, 16:09

Nyani aingia ndani na kumjeruhi mtoto Kyela

Katika hali isiyokuwa ya kawaida nyani aina ya ngedere akiwa anakimbizwa kutoka sehemu nyingine kwenda sehemu nyingine gafla akikimbilia ndani na baadaye kumjeruhi mtoto. Na Masud Maulid nyani aliyekuwa anakimbizwa na watoto maeneo ya Majoka wialayni kyela  ameingia ndani ya…

7 March 2024, 15:51

Milioni mia nne kujenga kituo cha kupooza umeme kyela

picha,Mbunge Ally Mlagila akizungumza na wananchi Serikali yaaja na mbinu mbadala ya kukomesha tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara wilayani kyela, Na James Mwakyembe Baada ya kuwepo katikakati ya umeme iliyokithiri serikali imetenga shilingi milioni mia nne kwa…

3 March 2024, 22:57

Kyela: Wekeza Group yatoa vifaa vya shule Unyakyusa, Ntebela

Wakati wanawake wakijiaanda kusherehekea siku ya wananke duniani kikundi cha wekeza grupu kimetoa vifaaa vya shule na chakula kwa shule za msingi Mbangamojo na Ikombe ikiwa ni ishara ya maadhimisho ya siku ya wananwake hapa wilayani Kyela. Na Nsangatii Mwakipesile…

30 January 2024, 22:07

Kyela:CHAMATA Kyela wakiwasha

Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya CHAMATA Tanzania wilaya ya Kyela mkoa wa Mbeya wameafikiana kuanza kufanya shughuli za utambulisho wa miradi mikubwa inayotekelezwa na Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hasani. Na James Mwakyembe Kikao kazi cha…