Joy FM

miundombinu

18 July 2024, 10:17 am

PALISEP yazindua mradi, kuwafikia wananchi 15,000 Ngorongoro

Mashirika mengi yasiyo ya kiserikali wilayani Ngorongoro yamekuwa yakitekeleza miradi mingi yenye manufaa kwa jamii za kifugaji ikiwepo maswala ya uhifadhi, mabadiliko ya tabia ya nchi na mingine mingi. Na Edward Shao. Shirika lisilo la kiserikali PALISEP limezindua mradi wa…

16 July 2024, 7:47 pm

Wakulima wa karafuu watakiwa kuzingatia sheria Pemba

Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar kwa kushirikiana na kamati za ulinzi na usalama za mikoa na wilaya wataendelea kuwafuatilia wale wanaopita kwa wananchi na kuwahadaa ili wawauzie karafuu na wale ambao watakamatwa watafikishwa kwenye vyombo vya sheria. Wakulima wa…

16 July 2024, 11:30

Bilioni 2 zaboresha miundombinu ya elimu

Mbunge wa Jimbo la Kasulu mjini Profesa Joyce Ndalichako amesema kuwa serikali imeendelea kutenga pesa kwa ajili ya uboreshaji wa miundombinu ya shule ili kuchochea kiwango cha ufaulu kwa wananchi kwa kuwa na mazingira bora na rafiki kwa kujifunza. Na…

2 July 2024, 2:03 am

Makonda na ziara ya kwanza Ngorongoro

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. Paul Makonda amefika walayani Ngorongoro kwa mara ya kwanza tangu ateuliwe kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha na Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na Zacharia James. Mkuu…

26 June 2024, 12:51

Mkandarasi apewa siku 3 kukamilisha barabara

Barabara ya Kalinzi – Mkabogo katika halmashauri ya wilaya Kigoma imekuwa haipitiki kwa muda mrefu kutokana na mvua zilizonyesha na kusababisha mkandarasi kufanya ujenzi katika barabara hiyo inayotegemewa na wakati wa kata hiyo kwa shughuli za usafirishaji wa bidhaa Na…

17 June 2024, 09:10

TANROADS Kigoma yaagizwa kuweka alama za tahadhari mlima Busunzu

Serikali kupitia wizara ya ujenzi imesema inaendelea na ujenzi wa barabara ya kabingo – kasulu ili kurahisisha shughuli za usafirishaji. Na Kadislaus Ezekiel – Kibondo Naibu Waziri wa Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya amemuagiza Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa…

14 June 2024, 12:27

Wananchi Kigoma waonywa kufanya shughuli hifadhi ya barabara

Serikali wilayani Kasulu mkoani Kigoma imewataka wananchi kuacha kuharibu barabara kupitia shughuli za binadamu ikiwemo kilimo na ukataji miti na kutupa taka barabarani. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wananchi wa wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuacha tabia ya kutumia…