Joy FM
Joy FM
21 August 2025, 5:22 pm
Kwa mujibu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) zoezi la uchukuaji wa fomu za uteuzi wa wagombea ubunge na udiwani yameanza tarehe 14 Agosti, 2025 hadi tarehe 27 Agosti, 2025 ambapo wagombea wa vyama vya siasa waliopitishwa na vyama…
18 August 2025, 11:50 pm
Ruangwa, Lindi Katika harakati za kuhakikisha watoto wa vijijini wanapata haki yao ya msingi ya elimu, Umoja wa Wadau wa Elimu Wilaya ya Ruangwa (UWERU) imeanza rasmi kuitekeleza kampeni ya “Tuanzie Nyumbani” yenye lengo la kuelimisha jamii juu ya umuhimu…
18 August 2025, 12:57 pm
Wanachama zaidi ya 150 wa CCM Msimbati wamelalamikia kuondolewa kwa jina la Rashidi Linkoni aliyeshinda kura za maoni, wakitishia kurudisha kadi zao, huku viongozi wa wilaya wakisisitiza maamuzi ya kamati ya siasa Na Musa Mtepa Zaidi ya wanachama 150 wa…
18 August 2025, 08:08
Kuanza kwa ujenzi wa Reli na kukamilika kwake kutasaidia kufungua fursa kwa wananchi wetu ambao wataweza kutoka Burundi hadi Dar es Salaam ndani ya siku moja pamoja na usafirishaji wa mizigo ambapo hivi sasa, lori linatumia saa 96 kutoka Dar…
15 August 2025, 16:28 pm
Mafunzo kwa waandishi wa Jamii FM Redio yamewahimiza kuzingatia weledi, usalama kazini na kujikinga na uhalifu mtandaoni kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 Na Musa Mtepa Waandishi wa habari wametakiwa kuwa makini na kuzingatia weledi wa taaluma yao, hususan…
30 July 2025, 13:04
Usafi na mazingira ni jambo muhimu katika maisha ya binadamu ambapo usafi humaanisha hali ya kuwa safi kimwili, nyumbani, shuleni, na katika maeneo ya kazi. Na Hagai Ruyagila Uwepo wa vyombo maalumu vya kuzoa taka katika Halmashauri ya mji wa…
30 July 2025, 12:20 pm
Ili kuhimiza matumizi ya rasilimali ya bidhaa za ngozi, Katibu wa Chama Cha Wazalishaji wa Bidhaa za Ngozi Tanzania, Timoth Funto, ametangaza kuanzishwa kwa mradi wa kutengeneza viatu vya ngozi milioni 10 vitakavyosambazwa katika skuli mbalimbali nchini. Na Mary Julius.…
26 July 2025, 16:08
Matumizi mabaya ya barabara pasipo kufuata sheria za barabarani husabisha athali ikiwemo ajali. Na Hobokela Lwinga Wanafunzi sita wa Sekondari ya Chalangwa Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya wamefariki kwa kugongwa na basi lenye namba za usajili T DCE 194 YUTONG…
25 July 2025, 12:42
Halmashauri ya Mji wa Kasulu mkoani Kigoma inakabiliwa na upungufu wa lita milioni 5 za maji kati ya lita milioni 15 zinazohitajika ili kuondoa changamoto ya uhaba wa maji safi na salama kwa wananchi. Na Hagai Ruyagila Waziri wa Maji…
July 24, 2025, 9:25 pm
Miradi mikubwa minne inatarajiwa kujengwa katika manispaa ya Bukoaba mkoani Kagera kwa shilingi bilioni 40.2, hali itakayochochea ukuaji wa mji huo kutokana na uhitaji wa miradi hiyo kwa muda mrefu. Na Anold Deogratias Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera,…