miundombinu
18 July 2024, 10:17 am
PALISEP yazindua mradi, kuwafikia wananchi 15,000 Ngorongoro
Mashirika mengi yasiyo ya kiserikali wilayani Ngorongoro yamekuwa yakitekeleza miradi mingi yenye manufaa kwa jamii za kifugaji ikiwepo maswala ya uhifadhi, mabadiliko ya tabia ya nchi na mingine mingi. Na Edward Shao. Shirika lisilo la kiserikali PALISEP limezindua mradi wa…
16 July 2024, 7:47 pm
Wakulima wa karafuu watakiwa kuzingatia sheria Pemba
Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar kwa kushirikiana na kamati za ulinzi na usalama za mikoa na wilaya wataendelea kuwafuatilia wale wanaopita kwa wananchi na kuwahadaa ili wawauzie karafuu na wale ambao watakamatwa watafikishwa kwenye vyombo vya sheria. Wakulima wa…
16 July 2024, 11:30
Bilioni 2 zaboresha miundombinu ya elimu
Mbunge wa Jimbo la Kasulu mjini Profesa Joyce Ndalichako amesema kuwa serikali imeendelea kutenga pesa kwa ajili ya uboreshaji wa miundombinu ya shule ili kuchochea kiwango cha ufaulu kwa wananchi kwa kuwa na mazingira bora na rafiki kwa kujifunza. Na…
10 July 2024, 16:00
Dkt. Mpango amkalia kooni mkandarasi anayejenga barabara ya Buhigwe -Kasulu
Wizara ya ujenzi kupitia kwa waziri wake Innocent Bashungwa ametakiwa kuhakikisha kumsimamia mkandarasi anajenga barabara ya Buhigwe hdi Kasulu ili iweze kukamilika kwa wakati. Na Josephine Kiravu – Buhigwe Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amemtaka Mkandarasi anayejenga…
9 July 2024, 09:04
Dkt. Mpango aelekeza barabara ya Malagarasi -Uvinza kukamilika kwa wakati
Serikali imesema inaendelea na utekelezaji wa miradi mbalimbali nchini ikiwemo barabara na umeme ili kuhakikisha mkoa wa kigoma unafunguka na kuwa kitovu cha biashara kutokana na kupakana na nchi za Congo na Burundi. Na Josephine Kiravu Makamu wa Rais wa…
2 July 2024, 2:03 am
Makonda na ziara ya kwanza Ngorongoro
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. Paul Makonda amefika walayani Ngorongoro kwa mara ya kwanza tangu ateuliwe kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha na Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na Zacharia James. Mkuu…
30 June 2024, 9:10 pm
Dkt. Msonde: Walimu wekeni msingi mzuri wa lugha ya kiingereza
Dkt. Charles Msonde amekuwa na ziara katika mikoa mbalimbali ikiwemo Kagera na Tabora ambapo pamoja na mambo mengine ametumia fursa hiyo kuzungumza na walimu. Na Elisha Lusatila Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – TAMISEMI (Elimu) Dkt. Charles Msonde amewataka…
26 June 2024, 12:51
Mkandarasi apewa siku 3 kukamilisha barabara
Barabara ya Kalinzi – Mkabogo katika halmashauri ya wilaya Kigoma imekuwa haipitiki kwa muda mrefu kutokana na mvua zilizonyesha na kusababisha mkandarasi kufanya ujenzi katika barabara hiyo inayotegemewa na wakati wa kata hiyo kwa shughuli za usafirishaji wa bidhaa Na…
17 June 2024, 09:10
TANROADS Kigoma yaagizwa kuweka alama za tahadhari mlima Busunzu
Serikali kupitia wizara ya ujenzi imesema inaendelea na ujenzi wa barabara ya kabingo – kasulu ili kurahisisha shughuli za usafirishaji. Na Kadislaus Ezekiel – Kibondo Naibu Waziri wa Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya amemuagiza Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa…
14 June 2024, 12:27
Wananchi Kigoma waonywa kufanya shughuli hifadhi ya barabara
Serikali wilayani Kasulu mkoani Kigoma imewataka wananchi kuacha kuharibu barabara kupitia shughuli za binadamu ikiwemo kilimo na ukataji miti na kutupa taka barabarani. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wananchi wa wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuacha tabia ya kutumia…