Joy FM

miundombinu

9 October 2025, 15:14 pm

CUF yasisitiza umuhimu wa kupiga kura,Octoba 29,2025

Mgombea urais wa CUF, Gombo Samandito Gombo, amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29, 2025, akiahidi huduma bora za jamii na maendeleo ya kweli endapo chama chake kitaunda serikali Na Musa Mtepa Mgombea urais kupitia tiketi ya Chama…

7 October 2025, 6:59 am

Mgombea ACT aahidi kuboresha afya Kilosa

Zoezi la kampeni limeendelea katika Jimbo la Kilosa ambapo wagombea kutoka vyama mbalimbali wanaendelea kunadi sera zao kwa wananchi, wakiahidi kuboresha huduma za jamii kama afya, elimu, maji na kutatua changamoto za wakulima na wafugaji, huku wakiomba ridhaa ya kuchaguliwa…

2 October 2025, 11:39 am

Wananchi wahimizwa kujitokeza kupiga kura Oktoba 29, 2025

Watanzania wamehimizwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29, 2025, kuchagua viongozi watakaosimamia maendeleo ya taifa. Wito umetolewa na Nabii Nicolous Suguye wakati wa ziara yake kwenye vituo vya watoto wenye mahitaji maalum, akisisitiza umuhimu wa ushiriki wa wananchi katika…

26 September 2025, 11:03 am

THBUB yatoa mafunzo kwa wanahabari Mtwara

Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imetoa mafunzo kwa waandishi wa habari mkoani Mtwara, ikiwataka kuzingatia maadili ya taaluma, haki za binadamu na misingi ya utawala bora, hasa kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Waandishi wameahidi kutumia mafunzo…

September 23, 2025, 1:01 pm

Serikali yawainua wananchi kiuchumi kupitia mradi wa TASAF

Mkuu wa wilaya ya Arusha Mhe. Joseph Modest Mkude amesema kuwa Serikali ya awamu ya sita imeendelea kuwainua watu kiuchumi kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo mradi wa TASAF, ambapo takribani walengwa 4,877 wamenufaika na mradi huo jijini Arusha kwa…

15 September 2025, 09:20 am

CCM Mtwara Mjini yataka mafiga matatu Oktoba 29

CCM Mtwara Mikindani yazindua kampeni Septemba 14, 2025, kwa wagombea ubunge na udiwani. Rehema Sombi ataka mshikamano na ushindi wa “mafiga matatu” – Diwani, Mbunge, Rais. Joel Nannauka na Arif Primji waahidi maendeleo na huduma bora kwa wananchi kupitia sera…

25 August 2025, 1:01 pm

Watoto watatu wafariki kwa kukosa hewa Busega

“Walezi/Wazazi tunalo jukumu kubwa la kuwalinda watoto wetu wakati wote bila kujali mazingira waliyopo ili kuwakinga na vitu vinyoweza kuzuilika maana watoto ni tunu ya taifa lijalo”.  Na,Anitha Balingilaki  Watoto  watatu wa  kutoka kwenye  familia tatu wawili wakiwa wa kitongoji…