Joy FM
Joy FM
9 October 2025, 15:14 pm
Mgombea urais wa CUF, Gombo Samandito Gombo, amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29, 2025, akiahidi huduma bora za jamii na maendeleo ya kweli endapo chama chake kitaunda serikali Na Musa Mtepa Mgombea urais kupitia tiketi ya Chama…
7 October 2025, 6:59 am
Zoezi la kampeni limeendelea katika Jimbo la Kilosa ambapo wagombea kutoka vyama mbalimbali wanaendelea kunadi sera zao kwa wananchi, wakiahidi kuboresha huduma za jamii kama afya, elimu, maji na kutatua changamoto za wakulima na wafugaji, huku wakiomba ridhaa ya kuchaguliwa…
2 October 2025, 7:52 pm
2 October 2025, 11:39 am
Watanzania wamehimizwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29, 2025, kuchagua viongozi watakaosimamia maendeleo ya taifa. Wito umetolewa na Nabii Nicolous Suguye wakati wa ziara yake kwenye vituo vya watoto wenye mahitaji maalum, akisisitiza umuhimu wa ushiriki wa wananchi katika…
28 September 2025, 9:01 am
Katika kutekeleza msingi wa tano wa vyama vya ushirika wa Elimu ,mafunzo na taarifa Hai Teacher’s Saccos wafanya mkutano na kukusanya dondoo zitakazotumika katika mkutano mkuu wa mwaka 2025. Na Elizabeth Noel Hai -Kilimanjaro Chama cha Akiba na Mikopo cha…
26 September 2025, 11:03 am
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imetoa mafunzo kwa waandishi wa habari mkoani Mtwara, ikiwataka kuzingatia maadili ya taaluma, haki za binadamu na misingi ya utawala bora, hasa kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Waandishi wameahidi kutumia mafunzo…
September 23, 2025, 1:01 pm
Mkuu wa wilaya ya Arusha Mhe. Joseph Modest Mkude amesema kuwa Serikali ya awamu ya sita imeendelea kuwainua watu kiuchumi kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo mradi wa TASAF, ambapo takribani walengwa 4,877 wamenufaika na mradi huo jijini Arusha kwa…
15 September 2025, 09:20 am
CCM Mtwara Mikindani yazindua kampeni Septemba 14, 2025, kwa wagombea ubunge na udiwani. Rehema Sombi ataka mshikamano na ushindi wa “mafiga matatu” – Diwani, Mbunge, Rais. Joel Nannauka na Arif Primji waahidi maendeleo na huduma bora kwa wananchi kupitia sera…
August 31, 2025, 4:26 pm
Wazawa wa wilaya ya Muleba mkoani Kagera ambao hawaishi wilayani humo lakini wana uwezo kiuchumi wameaswa kukumbuka kwao kwa kujitolea kuchangia miradi ya maendeleo ili kukuza ustawi wa jamii ya Muleba. Na Anold Deogratias Mkuu wa Wilaya ya Muleba mkoani…
25 August 2025, 1:01 pm
“Walezi/Wazazi tunalo jukumu kubwa la kuwalinda watoto wetu wakati wote bila kujali mazingira waliyopo ili kuwakinga na vitu vinyoweza kuzuilika maana watoto ni tunu ya taifa lijalo”. Na,Anitha Balingilaki Watoto watatu wa kutoka kwenye familia tatu wawili wakiwa wa kitongoji…