Joy FM

malezi

5 December 2025, 12:01 pm

Wafugaji Ifakara wahoji vifo vya mbwa

Baadhi ya wafugaji wa mbwa katika halmashauri ya mji wa Ifakara wamehoji sababu za vifo vya baadhi ya Mbwa baada ya chanjo ya kichaa cha Mbwa, huku wengine wakisisitiza chanjo hiyo kuwa salama. Idara ya Mifugo imefafanua kuwa hakuna madhara…

3 December 2025, 12:33 pm

“Mikopo mnayopewa wekezeni kwenye shughuli za uzalishaji” Dc Bomboko Halmashauri ya wilaya ya Hai imetoa mikopo ya asilimia kumi ya mapato ya ndani yasiyo na riba yenye jumla ya shilingi millioni 247.1 kwa vikundi 29 vilivyokidhi vigezo vyakupata mikopo hiyo…

28 November 2025, 5:15 pm

Wananchi wa Hai wakumbushwa nafasi ya lishe bora

Siku ya Lishe Kitaifa huadhimishwa kila mwaka nchini Tanzania ili kukumbusha dhana ya haki ya kupata chakula bora, kupambana na udumavu, na kuhimiza uwekezaji katika afya dhamira inayokwenda sambamba na mpango wa taifa wa kuboresha lishe ulioanzishwa miaka kadhaa iliyopita.…

17 November 2025, 13:24

RAS Kigoma ataka elimu ya malezi ya watoto itolewa

Wazazi na walezi Mkoani Kigoma wametakiwa kuhakikisha wanawalea watoto wao katika malezi yaliyo bora Na Hagai Ruyagila Katibu tawala wa mkoa wa Kigoma Hassan Rugwa amewataka maafisa maendeleo ya jamii na maafisa ustawi wa jamii katika Halmashauri zote za Mkoa…

October 15, 2025, 9:44 am

Wakulima wapewa mbinu bora za uzalishaji kahawa Songwe

Na Anord Kimbulu, Songwe Katika kuhakikisha kuwa zao la kahawa aina ya Arabika kutoka Nyanda za juu Kusini linaendelea kufanya vizuri kwenye soko la kimataifa, wakulima wa kahawa wilayani Mbozi mkoani Songwe, wameanza kunufaika na mafunzo ya kitaalamu pamoja na…

September 26, 2025, 7:32 am

TRA Songwe yaanzisha dawati maalum la uwezeshaji biasahara

Na Denis Sinkonde Songwe.Wafanyabiasahara na wananchi  Mkoani Songwe wameaswa kuacha vitendo vya kukwepa ulipaji kodi kupitia Mamlaka ya Mapato mkoani humo(TRA) huku  wakikumbushwa kuwa kodi ni muhimu kwa maendeleo ya taifa na wananchi. Wito huo umetolewa na Mkuu wa Mkoa…

18 September 2025, 5:49 pm

Kaya zaidi 125 kunufaika na usambazaji maji Miembeni

Wakazi wa mtaa huo wa Miembeni wameishukuru Serikali na mamlaka ya maji Bunda kwa kuwakumbuka kuwafikishia huduma ya maji safi Na Adelinus Banenwa Zaidi ya kaya 125 kata ya  Bunda stoo mtaa wa miembeni maarufu  Ukanda wa Gaza kunufaika na…

3 September 2025, 7:09 pm

Wafanyabiashara watakiwa kuwekeza Manyara

Wafanyabiashara mkoani Manyara wametakiwa kuwekeza katika mkoa huo kwa kujenga hotel za kisasa, migahawa na nyumba za kulala wageni kutokana na kasi ya ukuaji wa mkoa. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa na mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga…