maafa
22 August 2024, 10:33 pm
Mahakama yapiga stop vijiji kufutwa Ngorongoro
Baada ya kuwepo kwa taarifa za kufutwa kwa baadhi ya vijiji wilayani Ngorongoro kumekuwepo wadau mbalimbali wa kutetea haki za wanangorongoro kuhakikisha wanapata haki na huduma zao za msingi kama ilivyo kwa wananchi wengine hapa nchini. Na mwandishi wetu. Mahakama…
11 August 2024, 9:50 pm
Katibu wa CHADEMA Kagera ahamia CCM akitaja uongo na ufisadi
Suala la viongozi wa kisiasa kuhama chama na kujiunga na chama kingine limekuwa jambo la kawaida hasa nyakati za chaguzi ndani ya vyama au kuelekea chaguzi muhimu za kitaifa Na Theophilida Felician. Aliyewahi kuwa katibu wa chama cha demokrasia na…
9 August 2024, 10:23 am
ACT Wazalendo yasikiliza kero za wananchi Katavi
mwenyekiti mstaafu wa chama cha ACT wazalendo zuberi zitto kabwe akizungumza na wananchi mkani Katavi.picha na John Mwasomola “Amekutana na kero ya wananchi kudai kuhamishwa eneo hilo la luhafwe kwa ajili ya kupisha wawekezaji 26 “ Na John Mwasomola -Katavi…
8 August 2024, 9:32 pm
ACT Wazalendo yakerwa na ubadhirifu wa fedha za TASAF Kagera
Mpango wa kunusuru kaya masikini TASAF mkoa wa Kagera umeripotiwa kukumbwa na ubadhirifu wa kutokana na uwepo wa baadhi ya watumishi wasio waaminifu waliokasimiwa mamlaka ya kusimamia mpango huo. Na Theophilida Felician. Katibu mkuu wa chama cha ACT wazalendo Ado…
8 August 2024, 4:58 pm
Tarehe kumi Zanzibar kuwa ya kijani
Na Mary Julius Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar Abdi Mahmoud Abdi amewataka vijana pamoja na wananchi kuzitumia vizuri barabara na kuzitunza ili ziweze kutumika kwa muda mrefu zaidi. Amesema hayo Gymkana mara…
7 August 2024, 9:44 pm
Waganga wa tiba asili Kagera walia na matapeli
Huduma ya tiba asili mkoani Kagera imeendelea kukumbwa na changamoto ya kuingiliwa na watu wasio na ujuzi huo wakijivika mamlaka ya uganga na kuwatapeli wananchi kwa mwavuli wa uganga wa tiba asili Na Theophilida Felician. Waganga wa tiba asilia nchini…
7 August 2024, 13:32
Madereva watakiwa kutii sheria za barabarani
Jeshi la polisi wilayani kasulu mkoani kigoma limewataka madereva wa vyombo vya moto na watumiaji wa barabara kuzingatia matumizi ya barabara ili kuepukana na ajali zinazojitokeza wakiwa barabarani. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Watumiaji wa vyombo vya moto hususani waendesha…
12 July 2024, 3:30 pm
WEO Kanyigo asusiwa kikao kwa kufukuza wanahabari
Wandishi wa habari nchini wanaendelea kukumbana na vikwazo kazini kila uchao licha ya matamko yanayotolewa na viongozi wa kitaifa katika majukwaa mbalimbali. Ni hivi karibuni tu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa katika kilele cha siku ya uhuru wa vyombo vya…
8 July 2024, 7:38 pm
Waziri Bashungwa awaita wawekezaji kuja Karagwe
Sekta ya uwekezaji hutegemea mazingira ya eneo husika na uhitaji wa soko la bidhaa zitakazopatikana kutokana na uwekezaji husika. Kwa wilaya ya Karagwe mazingira ya uwekezaji yako vizuri licha ya changamoto ndogo ya miundombinu ya maji na barabara ambazo mbunge…
8 July 2024, 6:35 pm
Ujenzi wa lami ya Bugene hadi Kyerwa kuanza hivi karibuni
Katika maeneo ambayo wananchi wamekuwa na kilio cha ubovu wa miundombinu mibovu ya barabara na kuwa uhitaji mkubwa wa barabara ya lami ni wilaya ya Kyerwa hasa barabara ya kuanzia Bugene kwenda Kyerwa kupitia mji wa Nkwenda. Hakika barabara hii…