maafa
25 September 2024, 6:31 pm
Vijana jitokezeni kugombea nafasi za uongozi CUF Zanzibar
Na Khalida Abdulrahman Chama cha Wananchi CUF kimewataka vijana kujitokeza kwa wingi katika kugombea nafasi mbalimbali ndani ya chama hicho. Akizungumza na Zenj FM Mkurugenzi wa Itifaki na Udhibiti wa Chama Cha Wananchi CUF Taifa Rajab Mbarouk Mohd akiwaa makao…
24 September 2024, 8:24 pm
Katavi : ACT wazalendo waja na mikakati kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa
picha na mtandao “Tunatakiwa kujipanga kwa ajili ya kushiriki na kuwania nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa serikali za mitaa “ Na Lilian Vicent -Katavi Baadhi ya wanachama wa Chama cha ACT wazalendo mkoani katavi wamesema kuwa wamejiandaa kushiriki uchaguzi wa…
20 September 2024, 10:54 am
RC Katavi awataka viongozi wa mitaa, kata kutoa elimu ya uchaguzi
” Wamepokea maelekezo ya Mkuu wa Mkoa na tayari wameshaanza kutoa elimu kwa maeneo mbalimbali“ Na Leah Kamala-Katavi Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amewataka watendaji wa serikali katika mitaa, vitongoji na vijiji kutoa elimu kwa wananchi juu ya…
18 September 2024, 8:16 pm
Rwamishenye wadai kuhujumiwa zawadi za ligi ya Byabato
Baadhi ya wananchi wa kata ya Rwamishenye manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wameibuka na tuhuma dhidi ya diwani wa kata hiyo bw. Juma Sued Kagasheki wakimtuhumu kuhujumu zawadi walizostahili baada ya kuibuka na ushindi wa tatu katika mashindano ya ligi…
17 September 2024, 11:30
Wakristo watakiwa kuliombea Taifa
Wakristo Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kuliombea Taifa ili Mungu aweze kuliepusha na matatizo yanayoendelea kujitokeza ikiwemo mauwaji na utekaji wa watu Nchini. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Western Tanganyika Mkoani Kigoma Mhasham Emmanuel…
9 September 2024, 9:46 pm
Rushwa, kuvuja siri chanzo cha uvunjifu wa amani Kagera
Kipindi cha kuelekea chaguzi hapa nchini viongozi wa taasisi mbalimbali hujitokeza na kuiasa jamii juu ya umuhimu wa kuitunza amani ya nchi hasa kwa mikoa ya pembezoni ambayo kwa kiasi kikubwa inapakana na mataifa yenye ukosefu wa amani Na Theophilida…
9 September 2024, 7:30 pm
Katavi: Mwenyekiti CHADEMA awataka wanachama wa chama hicho kutokubali kuchukul…
Mwenyekiti chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake .picha na John mwasomola “kutokana na matukio yanayojitokeza ya watu kutekwa na kuuawa wanatakiwa kujilinda na kutokubali kuchukuliwa“ Na John Mwasomola -Katavi Mwenyekiti wa chama cha…
7 September 2024, 12:08 am
Sababu ACT Wazalendo kuunda baraza la mawaziri kivuli Zanzibar
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo Taifa Othman Masoud Othman, amesema baraza hilo ni fursa na jukwaa muhimu la kuwawezesha wananchi kusimamiwa maslahi yao kwa ukaribu zaidi na fursa ya kuweza kuyasimamia vyema maeneo yote yaliyoainisha kwenye…
2 September 2024, 8:55 pm
Katavi: Barua ya mtia nia kugombea nafasi ya ubunge ya pokelewa CHADEMA
picha na mtandao “Hatua hiyo ni kufuatia tangazo la kuwataka wanachama kutia nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uwakilishi serikalini ndani ya chama .“ Na Lilian Vicent -Katavi Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Sospeter Chotola mkoani Katavi amepokea…
28 August 2024, 13:51
Vijana watakiwa kutunza mazingira Kasulu
Ili kudhibiti magonjwa ya mlipuko, halmashauri ya mji wa Kasulu mkoani Kigoma imeendelea kuhamasisha utunzaji wa mazingira kwa kufanya usafi huku ikiendelea kutoa elimu kwa wananchi waweze kuzingatia usafi wa mazingira. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Vijana kutoka taasisi ya…