Jamii FM

Walemavu

4 December 2025, 5:52 pm

Ngajilo akabidhi bati 100 kwa wafanyabiashara Mlandege

“Bati hizi ni utekelezaji wa ahadi ambayo niliitoa kwenu na naikabidhi rasmi hii leo” Na Ayoub Sanga Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Fadhil Ngajilo, amekabidhi mabati 100 kwa Wafanyabiashara wa Kuku katika Soko la Mlandege, kwa ajili ya kukamilisha…

19 November 2025, 12:57 am

Wakulima Uvinza waomba fedha za kimataifa ziwafikie

Na. Abdunuru Shafii Karibu kusikiliza Makala fupi inayozungumzia kwa kina athari kubwa za mabadiliko ya tabianchi katika kilimo nchini Tanzania, hususan katika Wilaya ya Uvinza na Mkoa wa Kigoma. Wakulima wamekuwa wakikumbana na mabadiliko yasiyotabirika ya mvua ikiwemo vipindi virefu…

10 November 2025, 10:18 am

Tanzania yaweka kipaumbele jinsia na tabianchi COP30

Wadau wa maendeleo wanaaswa kuwekeza katika elimu, teknolojia rafiki kwa mazingira, na miradi ya kiuchumi itakayowawezesha wanawake kuwa sehemu ya suluhisho la mabadiliko ya tabianchi. Na Abdunuru Shafii Wanawake wa wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma wameendelea kukabiliwa na athari kubwa…

24 October 2025, 8:34 am

Polisi Iringa wapokea magari kukabiliana na uhalifu

“Magari haya yatakuwa chachu ya kupunguza matukio ya uhalifu mkoani Iringa” Na Hafidh Ally MKUU wa Mkoa wa Iringa, Kheri James amekabidhi magari mapya manane (8) kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa ili kuboresha mazingira ya utendaji kazi na…

17 October 2025, 8:20 am

Nuru FM yatoa msaada Hospital ya Rufaa

Nuru FM kupitia Kampeni yake ya ulipo tupo imeendelea kufanya matukio ya kijamii kuelekea katika kilele cha miaka 17 toka kuanzishwa kwake. Na Hafidh Ally Kuelekea kusherehekea Miaka 17 toka Nuru fm Radio ilipoanishwa, Wafanyakazi wa Kituo hicho wametembelea hospital…

October 13, 2025, 10:42 pm

Wazee Arusha kumuenzi Baba wa Taifa Mwl.Nyerere

Kuelekea maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa Hayati Julius Kambarage Nyerere, jumuiya za wazee wa mkoa wa Arusha wameandaa matembezi ya amani ikiwa na lengo la kumuenzi. Na Jenipha Lazaro Akizungumza na waandishi wa habari, Mwenyekiti wa…

4 September 2025, 5:14 pm

Tushikamane amcos yalipa milioni 66

Chama cha Ushirika TUSHIKAMANE AMCOS kilichopo kata ya Mwaya, wilayani Ulanga mkoani Morogoro, kimewalipa wakulima 14 zaidi ya shilingi milioni 66 walizokuwa wanadai kwa msimu wa kilimo 2024, kwa kushirikiana na serikali ya wilaya kupitia Idara ya Kilimo. Na: Isidory…