Jamii FM
Jamii FM
21 September 2025, 3:32 pm
Wazazi mkoani Manyara wametakiwa kuwalinda watoto wao ambao wamehitimu darasa la saba katika kipindi hiki ambacho wanajiandaa kuingia kidato cha kwanza ili wasifanyiwe vitendo vya ukatili. Na Mzidalfa Zaid Wito huo huo umetolewa na mkuu wa shule ya Greenland Primary…
16 September 2025, 09:56
Mbio za mwenge wa uhuru kwa mwaka 2025 zimeanza rasmi mkoani Kigoma ambapo miradi 16 ikitarajiwa kuwekewa mawe ya Msingi, mmoja kufunguliwa, 27 kuzinduliwa huku mingine 12 ikitembelewa na kukaguliwa. Na Tryphone Odace Mwenge wa uhuru umeanza mbio zake Mkoani…
13 September 2025, 6:56 am
Viongozi wa kisiasa na wanaharakati wa kupinga ukatili wameweka wazi namna tatizo hili linavyowaathiri wanawake. Na Dinnah Shambe Wanawake wengi wanaojitokeza kuwania nafasi za kisiasa hukumbana na kikwazo kikubwa-rushwa ya ngono,hali hii si tu inawakatisha tama,bali pia inazima ndoto za…
6 August 2025, 2:21 pm
Picha ya bodaboda zilizoegeshwa kwenye moja ya kituo. Picha na Roda Elias “Wenyeviti wa vijiwe watilie mkazo jambo hili” Na Roda Elias Madereva pikipiki maarufu kama bodaboda wa kata ya Mpanda Hotel manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuwa na…
2 August 2025, 13:15 pm
“Mtaa hauna mtoto ila watoto wanatoka kwenye jamii zetu wenyewe” Na Gregory Millanzi Jamii inapaswa kuzingatia malezi bora ya watoto na kupunguza au kuacha kabisa kutelekeza familia zao jambo ambalo linapelekea watoto wengi kushindwa kupata malezi bora na huduma stahiki…
3 July 2025, 10:09 am
Je, vyama vya siasa vina nafasi gani katika kuvunja vizingiti hivi? Na Edward Lucas na Dinnah Shambe Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Tanzania Oktoba 2025, makala hii maalum ya redio inachambua kwa undani sababu zinazowafanya wanawake wengi kuogopa au kushindwa…
May 13, 2025, 5:03 pm
”Madawati hayo waliyoyakabidhi ni sehemu ya utaratibu wao wa kurejesha kwa jamii” Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametoa madawati 100 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 9 kwa shule za msingi Wendele na Igwamanoni.…
May 1, 2025, 10:23 pm
Na sebastian Mnakaya Imeelezwa kuwa uchelewaji wa madawati yanayotolewa na mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu unaomilikiwa na kampuni ya Barrick katika Halmashauri ya Msalala umesababishwa na mwongozo wa utekelezaji wa mradi kubadilika. Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo…
April 1, 2025, 6:13 pm
”Majukumu makubwa ya idara ya udhibiti ubora wa shule ni kusimamia sheria, sera ya elimu, tararibu na miongozo inayotolewa na Wizara ya Elimu ili kuthibiti ubora wa shule zetu” Na Sebastian Mnakaya Mdhibiti mkuu wa ubora wa shule Halmashauri ya…
26 March 2025, 7:47 pm
Imeelezwa kuwa baadhi ya watoto wa kuanzia umri wa miezi 6- 24 wilayani Babati mkoani Manyara wameathiriwa na changamoto ya sumu kuvu kutokana na jamii kutokuwa na uelewa wa kuhifadhi mazao katika sehemu salama. Na Mzidalfa Zaid Kufuatia utafiti uliofanyika…