Jamii FM
Jamii FM
19 September 2025, 12:09 pm
Kufuatia malalamiko ya Babigumira Sauli, raia wa Uganda, dhidi ya Shule ya Aldersgate,Babati mkoani Manyara akidai mafao yake kwa kipindi alichokuwa akifanya kazi shuleni hapo, hatimae amelipwa stahiki zake zote. Na Mzidalfa Zaid Akizungumza mara baada ya kulipwa fedha hizo amesema…
16 September 2025, 6:38 pm
Mkuu wa wilaya ya Babati Emmanuela Kaganda leo amesikiliza na kutatua kero za wananchi ambapo amewataka wakuu wa idara kutenda haki wanapotatua kero za wananchi. Na Mzidalfa Zaid Akizungumza katika viwanja vya stendi ya zamani, Kaganda amesema kazi ya serikali…
September 12, 2025, 7:14 pm
“Tuna malengo ya kufanya vizuri msimu ujao na kushika nafasi ya nne za juu ili tupate nafasi ya kucheza ngao ya jamii’’ Kocha mkuu wa Bunda queens Aley Ibrahimu Na Amos Marwa Timu ya soka ya wanawake Bunda Queens inayoshiriki ligi…
11 September 2025, 9:38 pm
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga,amewaonya viongozi wa sekta binafsi ambao wamekuwa wakijifanya miungu watu kuacha tabia ya kuwanyanyasa wafanyakazi ikiwemo kutowapatia mikataba Na Mwandishi wetu Sendinga amesema hayo Leo katika kikao Cha kusikiliza na kutatua kero za wananchi,…
11 September 2025, 9:43 am
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Cuthbert Sendiga amesikiliza na kutatua kero za wananchi kutoka wilaya zote za Mkoa wa Manyara katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Na Mzidalfa Zaid Katika kikao hicho Sendiga amesikiliza…
8 August 2025, 3:42 pm
Maadhimisho ya wakulima ya Nanenane mwaka huu yanafanyika kitaifa mkoani Dodoma, yakilenga kuhamasisha uzalishaji na matumizi ya teknolojia katika sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi. Na Seleman Kodima.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito…
4 August 2025, 4:15 pm
3 August 2025, 16:48 pm
Wananchi wa Kata ya Tangazo, Mtwara, wameishukuru serikali kwa kuwaletea kliniki tembezi ya uchunguzi wa kifua kikuu, hatua iliyowapunguzia gharama na kurahisisha upatikanaji wa matibabu, huku wakitaka kampeni hizo ziendelee vijijini. Na Musa Mtepa Wananchi wa Kata ya Tangazo, mkoani…
31 July 2025, 5:13 pm
Maonesho hayo yamebebwa na Kauli mbiu ya “Chagua Viongozi Bora kwa Maendeleo Endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi 2025. Na; Mariam Kasawa. Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli amesema kuwa washiriki wapatao 1163 wamethibitisha kushiriki katika Maonesho…
24 July 2025, 3:46 pm
Wanawake wanne wajawazito wamepatiwa msaada wa matibabu pamoja na zawadi baada ya kujifungua kutokana na ahadi iliyotolewa na mkuu wa polisi jamii wilaya ya Hai ASP Elishafra S. K wakati wa sherehe za jeshi la polisi wilaya ya Hai Na…