Dodoma FM

zahanati

5 December 2025, 5:21 pm

Madiwani Sengerema watakiwa kutanguliza mbele maslahi ya wananchi

Madiwani Halmashauri ya Sengerema wamekula kiapo cha kuwatukia wananchi wa Halmashauri hiyo baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oct.29 2025 Na,Emmanuel Twimanye Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza wamewatakiwa kwenda kufanya kazi kwa kutanguliza mbele maslahi ya wananchi.…

19 November 2025, 12:01 pm

DC Jamila: Vijana tumieni fursa kujiajiri

Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph akikabidhi mbegu kwa mkulima. Picha na Restuta Nyondo “Sisi kama wilaya tumejipanga kuwawezesha vijana waweze kujiajiri katika kilimo” Na Restuta Nyondo Vijana wilayani Mpanda wametakiwa kutumia fursa ya maonesho ya ufunguzi wa msimu…

21 October 2025, 8:23 am

Mikutano 65 ya injili yaleta mabadiliko makubwa Geita

Lengo la huduma hiyo sasa ni kufika nje ya mkoa wa Geita ili kufikisha ujumbe wa Injili kwa Watanzania wengi zaidi. Na Kale Chongela – Geita Uwepo wa mikutano ya Injili katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Geita umeendelea kuleta…

16 October 2025, 8:48 am

EAGT Nazareth Stamico kuanzisha miradi ya afya na elimu

Ujenzi wa hospitali hiyo ni hatua muhimu katika kupanua wigo wa huduma zinazotolewa na kanisa hilo mjini Katoro. Na Mrisho Sadick: Kanisa la EAGT Nazareth Stamico lililopo katika mji wa Katoro wilayani Geita limepanga kuanzisha ujenzi wa Hospitali ya kisasa…

6 October 2025, 12:11 pm

Viongozi wa dini Geita wakemea viashiria uvunjifu wa amani

Viongozi wa dini wana wajibu mkubwa wa kuhimiza amani kwa waumini wao kwani ni wadau muhimu katika kulinda tunu ya taifa. Na Mrisho Sadick: Viongozi wa dini Mkoani Geita wamekemea vikali viashiria vya uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu, wakiwataka…

14 September 2025, 10:33 am

Uhamiaji Bunda yakaribisha wananchi kupata elimu

Mhomboje amesisitiza kuwa zoezi la uchaguzi linawahusu Watanzania pekee, na kwamba raia wa kigeni hawaruhusiwi kushiriki kwa namna yoyote ile. Na Edward Lucas Wananchi wametakiwa kutokuwa na hofu kutembelea ofisi za Uhamiaji kwa ajili ya kuuliza na kupata taarifa mbalimbali…

20 August 2025, 9:00 pm

TAG yawakumbuka wajane na wahitaji Geita

Jamii imetakiwa kuendelea kuwakumbuka wajane kwakuwa wengi wao wanapitia changamoto nyingi hususani za kiuchumi Na Kale Chongela: Kanisa la TAG Heri Wenye Moyo Safi Mtaa wa Nyantorotoro B Kata ya Nyankumbu Manispaa ya Geita limetoa msaada wa vyakula kwa watu…

11 August 2025, 1:49 pm

Mchawi aokoka matunguli yachomwa moto Geita

Mwanamke huyo amekiri kuwa amekuwa akiishi maisha ya mateso kwa kuota ndoto za kutisha akiwa kwenye shughuli hizo za kishirikina. Na Kale Chongela: Wakati mikutano ya injili ikiendelea kuwagusa watu katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Geita, Mwanamke mmoja kutoka…

22 July 2025, 2:23 pm

Uboreshaji wa zahanati wapunguza vifo Ihumwa

Ikumbukwe kuwa mradi wa ukarabati wa jengo la zahanati ya Ihumwa ulianza tarehe 10 /08/2023, ukigharimu kiasi cha shilingi milioni 235.9  fedha kutoka Shirika la Wahisani ABBOT. Na Lilian Leopord. Uboreshwaji  wa miundimbinu uliofanyika katika zahanati ya Ihumwa iliyopo jijini …