Dodoma FM
Dodoma FM
10 July 2025, 13:27
Ni miezi kadhaa sasa tangu kada wa CHADEMA Mpaluka Nyagali maarufu kwa jina la Mdude achukuliwe na watu wasiojulikana nyumbani kwake Iwambi jijini Mbeya. Na Ezekiel Kamanga Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Mbeya imetupilia mbali maombi ya jinai namba…
July 1, 2025, 10:34 pm
Kupitia mradi wa Mpango Kabambe Kidikitali, Kahama kuwa mji wa kisasa ifikapo 2050 Na Sebastian Mnakaya Baadhi ya Migogoro ya ardhi katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga inakwenda kufikia mwisho baada ya kuanza kwa mradi wa Mpango Kabambe wa kidikitali…
18 April 2025, 4:49 pm
Picha ya mkuu wa wilaya ya Babati Mkuu wa wilaya ya Babati, Emmanuela Mtatifikolo Kaganda amewataka wataalamu wa halmashauri kukutana na viongozi wa wildlife management areas (WMA) pamoja na viongozi wa vijiji husika ili kuweka mpango wa pamoja wa kumaliza migogoro inayojitokeza…
5 April 2025, 12:08 am
Watuhumiwa hao wanatajwa kutenda makosa ya Matumizi mabaya ya Madaraka, kughushi nyaraka kwa lengo la kumdanganya muajiri, kuunda vikundi hewa na kufanya ubadhirifu wa shilingi milioni 3. Na Adelinus Banenwa Watu wanne akiwemo diwani wilayani Bunda wamefikishwa mahakani kwa tuhuma…
1 March 2025, 6:44 pm
Wananchi wameonyesha kufurahia baada ya mikopo ya asilimia kumi kurejeshwa huku wakidai wameumizwa sana na kausha damu baada ya serkali kusitisha mikopo hiyo kwa vijana,wanawake na wenye ulemavu. Na,Elisha Magege Halmashauri ya Sengerema imetoa mafunzo ya siku moja ya namna…
24 February 2025, 18:18
Wananchi Mbeya wafurahia ujio wa msaada wa kisheria wa mama Samia legal aid uliozinduliwa February 24,2025. Na Hobokela Lwinga Msaada Wa Kisheria Kwa Maana Ya Legal Aid imezinduliwa Mkoani Mbeya ikiwa Ni Na lengo la Kutatua Changamoto za Kisheria ambazo…
23 February 2025, 20:25
Jumatatu ya tarehe February 24,2024 mkoa wa Mbeya unatarajia kuzindua kampeni ya msaada wa kisheria inayojulikana kama mama samia legal aid katika viwanja vya Ruanda Nzovwe jijini Mbeya. Na mwandishi wetu, Mbeya Wataalamu wa Utekelezaji wa Kampeni ya Msaada wa…
19 February 2025, 21:30
Wakati kampeni ya uzinduzi wa msaada wa kisheria wa mama Samia legal aid ukiwa umefanyika katika mikoa kumi na saba, sasa wananchi mkoa wa Mbeya wamefikiwa. Na Hobokela Lwinga Mkuu wa mkoa wa Mbeya Comrade Juma Zuberi Homera amewataka wananchi…
4 February 2025, 13:04
Ufanyaji kazi mzuri huwa unamweka mtu sehemu nzuri ya kusemwa na watu na hali hiyo huwa inafanya kupongezwa iwe kwa taasisi au mtu binafsi. Na Ezekiel Kamanga Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Mhe. Solomon Itunda ameipongeza Mahakama ya Wilaya ya…
15 January 2025, 5:09 pm
Mwandishi wetu Alfred Bulahya ametuandalia kisa kuhusu shujaa aliyemsaidia mhanga wa vitendo vya ukatili wa kijinsia mahala pa kazi. Na Seleman Kodima.Umoja wa Mataifa, unafafanua kuwa ukatili wa kijinsia ni kitendo chochote anachofanyiwa mtu yeyote awe mwanamke, mwanaume au mtoto,…