wanahabari
4 January 2024, 9:43 pm
Wananchi watakiwa kujitokeza kutoa maoni marekebisho ya katiba
Wadau ,wanasiasa wa vyama vya upinzani pamoja na wananchi wamekua wakitoa maoni tofouti juu marekebisho katika miswada hiyo. Na Fred Cheti. Wito umetolewa kwa wananchi kushiriki ipasavyo kutoa maoni na mapendekezo katika Marekebisho ya Muswada wa Sheria za uchaguzi wa…
13 September 2023, 1:23 pm
Wananchi waomba serikali iendelee kuwapatia elimu ya katiba
Wanasheria wanayo nafasi kubwa ya kuendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya katiba ya nchi ili kuwaongezea uelewa wananchi waweze kutambua haki na wajibu wao. Na Khadija Ayoub. Wananchi Jijini Dodoma wameiomba Serikali kuendelea kutoa elimu juu ya katiba ya…
13 July 2023, 12:00 pm
Uchaguzi mdogo wa madiwani Tanzania bara kufanyika leo
Upigaji kura unafanyika katika vituo vilivyotumika wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 na mpiga kura aliyepoteza kadi au kadi yake kuharibika ataruhusiwa kutumia kitambulisho mbadala iwapo tu atakuwa ameandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura . Na Mindi…
21 June 2023, 3:16 pm
Chongolo: Watoto wasimamiwe waende shule
Chongolo amesema wakati watoto wanapokuwa mashuleni sio wakati wa viongozi kukaa ofisini badala yake wajipange na kuratibu kuhakikisha watoto wote wanajiunga na masomo na si vinginevyo. Na Bernadetha Mwakilabi. Katibu mkuu wa Chama Chama Mapinduzi CCM Ndugu Daniel Chongolo amewataka…
13 March 2023, 3:06 pm
Kamati ya bunge ya utawala yajipanga kuisimamia ofisi ya rais-utumishi
kila mmoja kwa nafasi yake kutimiza wajibu wake ili kuiwezesha kamati yake kutekeleza jukumu la kushauri na kusimamia vema utendaji kazi wa Ofisi ya Rais, Na Mariam Kasawa. Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na…
8 March 2023, 5:01 pm
UWT yaweka wazi wanawake wanavyo ogopa kuwania nafasi za uongozi
Wanawake wa kata ya Bahi wilayani Bahi wamezungumzia ushiriki mdogo wa wanawake katika nafasi mbalimbali za uongozi. Na Benard Magawa. Katika kusherehekea maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani ambayo hufanyika machi 8 ya kila mwaka, wanawake wa kata ya Bahi…
28 January 2023, 9:13 am
Mkuu Wa Wilaya ya Bahi Godwin Gondwe Ahidi Kuendeleza Mazuri
Na; Bernad Magawa.Mkuu wa wilaya ya Bahi Godwin Gondwe ameahidi kuendeleza mazuri yote yaliyofanywa na aliyekuwa Mkuu wa wilaya hiyo Mwanahamisi Munkunda na kuwaahidi wananchi wa Bahi kufanya kazi kwa uwezo wake wote ili kuhakikisha kuwa wilaya hiyo inaendelea kuwa…
2 November 2021, 12:21 pm
Serikali na jamii yatakiwa kutambua umuhimu wa wanahabari ili wawe salama
Na; Fred Cheti. Ikiwa leo ni siku maalumu ya kimataifa ya kupinga ukatili dhidi ya wanahabari Duniani ripoti ya kamati ya kuwalinda wanahabari ulimwenguni(CPJ) inaeleza kuwa Mataifa 13 yamekumbwa na visa vya mauaji ya kikatili dhidi ya wanahabari. Ripoti kutoka…
13 May 2021, 10:39 am
Waandishi wametakiwa kutumia malengo endelevu kuibua changamoto za jamii.
Na; Yussuph Hans. Waandishi wa Habari wa Redio za kijamii Nchini wametakiwa kutumia malengo ya maendeleo endelevu ya 2030 katika kuibua changamoto mbalimbali zilizopo katika jamii zao kwa lengo la kuleta ufumbuzi. Hayo yamesemwa na Afisa Programu wa shirika la…
16 April 2021, 12:42 pm
Waandishi tumieni kalamu zenu kuhamasisha maendeleo ya Nchi.
Na; Benard Filbert. Wito umetolewa kwa waandishi wa habari nchini kutumia kalamu zao ili kuhamasisha maendeleo ya Nchi na si vinginevyo. Wito huo umetolewa na msemaji mkuu wa serikali na mkurugenzi wa idara ya habari maelezo Mh. Gerson Msigwa wakati…