Dodoma FM

Uchunguzi

4 May 2023, 2:05 pm

Watumishi wa ofisi ya Takwimu watakiwa kufanya kazi kwa uadilifu

Aidha wamejadili namna ya kuendelea kuboresha takwimu,  changamoto, Mafanikio na kutafuta ufumbuzi. Na Alfred Bulahya. Wafanyakazi wa ofisi ya Taifa Takwimu (NBS) wameaswa kuendelea kuwa waadilifu katika uzalishaji wa takwimu ili kuliletea maendeleo Taifa. Wito huo umetolewa na Naibu Waziri…

7 April 2023, 4:59 pm

Waziri Simbachawene azindua mpango mkakati wa mwaka 2022-2027

Katika hatua nyingine Waziri Simbachawene ameeleza kwamba Mkakati huo utawezesha nchi kufikia malengo ya Maendeleo Endelevu ya mwaka 2030 ambayo yamejikita katika kupunguza umasikini na kuleta ustawi wa maisha ya watu. Na Pius Jayunga. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,…

24 March 2023, 1:15 pm

Viongozi watakiwa kusimamia ipasavyo miradi ya serikali

Bi Fatma Mganga amekabidhi ofisi hiyo baada ya kuhamishwa kwenda kuwa Katibu tawala mkoani Singida. Na Alfred Bulahya. Aliyekuwa katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma Bi, Fatma Mganga, amekabidhi ofisi kwa katibu Tawala mpya  Bw. Ally Gugu. Katika makabidhiano hayo…

14 March 2023, 2:34 pm

Wananchi Bahi waahidiwa kutatuliwa kero zinazowakabili

Kufuatia malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa wananchi wa wilaya ya Bahi kutokana na kero zinazowakuta mheshimiwa Godwin Gondwe ameahidi kuyapeleka malalamiko hayo kwenye vikao vya uongozi ili yaweze kupatiwa ufumbuzi. Na Benard Magawa. Kufuatia malalamiko ya muda mrefu kutoka…

13 March 2023, 8:52 am

TASAC yakanusha madai ya rushwa kwa CMA

Suala hilo ni miongoni malalamiko matatu yaliyoripotiwa kupitia mitandao ya kijamii ambapo pia kupitia mitandao hiyo vijana hao wamelalamikia kuvunjwa kwa mikataba bila ya kufuata utaratibu na kufanya kazi bila ya bima ya afya. Na Mindi Joseph. SHIRIKA la Wakala…

10 March 2023, 3:45 pm

Watumishi watakiwa kuimarisha ufanisi katika utendaji

Dkt. Jim Yonazi, amewataka watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu kuimarisha ufanisi katika utendaji kazi wa kila siku ili kufanikiwa katika kufikia malengo ya Serikali. Na Alfred Bulahya. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge…