Dodoma FM

Uchunguzi

3 March 2023, 12:29 pm

WCF kuendelea kuboresha utoaji huduma

Dkt.Mduma amesema kwa kipindi cha kuanzia Mwezi Machi 2021 hadi Februari 2023 Waajiri wapya 5,250 wamejisajili WCF huku kati ya waajiri hao asilimia 99.27% ni waajiri wakubwa, huku asilimia 98.71% ni waajiri wa kati na waajiri wa chini ni asilimia…

27 February 2023, 4:16 pm

Vyombo vya habari vyatakiwa kutoa elimu

Wito kwa vyombo vya habari nchini kutumia nguvu iliyonayo katika kutoa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa kutunza vyanzo mbalimbali vya maji. Na Mindi Joseph. Wito umetolewa kwa vyombo vya habari nchini kutumia nguvu iliyonayo katika kutoa elimu kwa…

21 February 2023, 3:32 pm

Wanufaika wa mpango wa TASAF Bahi wameishukuru serikali

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeweka mpango maalumu wa kusaidia kaya masikini ambao utaleta ahueni. Na Bernad Magawa. Wanufaika wa mpango wa TASAF katika kijiji cha Bahi Sokoni wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma wameishukuru serikali ya Jamhuri ya…

16 February 2023, 2:44 pm

Mhe. Gondwe aagiza Bahi kuongeza Mapato

Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gongwe ameiagiza halmashauri ya wilaya ya Bahi kuhakikisha inabuni, kusimamia na kuongeza vyanzo vya mapato ili kutekeleza kikamilifu agizo la Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la kila wilaya kuhakikisha inakusanya mapato…

10 February 2023, 5:32 pm

Watanzania waaswa juu ya usambazaji picha chafu mtandaoni

Akichangia hoja ya Mbunge wa Jimbo la Kinondoni Abbas Tarima Bungeni Jijini Dodoma ambaye aliitaka serikali kuweka mfumo maalum utakaodhibiti usambazaji wa picha chafu mitandaoni Na Mariam Matundu. Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya habari Nape Nnauye amewashauri watanzania…

7 February 2023, 9:26 am

Mamlaka ya serikali mtandao eGA inatarajia kufanya kikao kazi

Mamlaka ya serikali mtandao eGA inatarajia kufanya kikao kazi cha 3 cha serikali mtandao kwa lengo la kuwakutanisha wadau mbalimbali wa serikali mtandao ili kujadiliana juu ya mafanikio, changamoto. Na Alfred Bulahya. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma Mkurugenzi…

29 March 2021, 5:55 am

CAG, TAKUKURU Zaagizwa kufanya uchunguzi BOT

Na; Mariam Kasawa. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kushirikiana kwa pamoja kuchunguza fedha zilizotoka Benki kuu ya Tanzania kwa kipindi cha Januari…