Dodoma FM
Dodoma FM
8 December 2025, 4:36 pm
“Inanipa uhuru wa kupumua na kuwa na afya njema” Na John Benjamin Baadhi ya vijana wilaya Mpanda mkoani Katavi wametaja matumizi ya njia za uzazi wa mpango yana mchango katika kuboresha ustawi wa jamii na mahusiano ya kifamilia. Wakizungumza na…
5 December 2025, 8:11 pm
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amefanya ziara ya ukaguzi wa mradi, kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua, ambapo ameanza ziara yake hiyo ya Kata kwa Kata, yenye kauli mbiu “tunavua buti ama hatuvui, tukutane site”. Na Mzidalfa Zaid…
5 December 2025, 4:51 pm
Madiwani wateule waapisha rasimi kuwatumikia wananchi baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika Mwenzi Oktoba 29 2025 katika Halmashauri ya Buchosa mkoani Mwanza. Na,Michael Mgozi Madiwani na Watumishi wa Halmashauri ya Buchosa wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kupunguza migogoro na kero…
2 December 2025, 8:36 pm
Madiwani kutoka kata za halmashauri ya mji wa Babati mkoani Manyara wameapishwa rasmi leo kuanza kutekeleza majukumu yao pamoja na kufanyika uchaguzi wa kumchangua mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa Baraza la madiwani halmashauri ya mji wa Babati. Na Mzidalfa Zaid…
27 November 2025, 9:26 am
Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali kutoa elimu ya masuala ya uzazi wa mpango ili waweze kuepukana na mimba zisizotarajiwa. Wakizungumza na Mpanda radio FM wananchi hao wamesema kuwa wanapewa dawa za…
19 November 2025, 10:55 am
Mratibu wa mama na mtoto mkoa wa Katavi Elida Machungwa. Picha na Anna Mhina “Njia za uzazi wa mpango ni muhimu kwa jinsia zote kuzifuata” Na John Benjamin Baadhi ya vijana kutoka halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa…
13 September 2025, 6:56 am
Viongozi wa kisiasa na wanaharakati wa kupinga ukatili wameweka wazi namna tatizo hili linavyowaathiri wanawake. Na Dinnah Shambe Wanawake wengi wanaojitokeza kuwania nafasi za kisiasa hukumbana na kikwazo kikubwa-rushwa ya ngono,hali hii si tu inawakatisha tama,bali pia inazima ndoto za…
2 September 2025, 9:28 pm
Kampuni ya Mati Super Brands Ltd kupitia kampuni tanzu Mati Technologies imekuja na teknolojia ya kisasa ya Ndege nyuki (drone) kwa ajili ya sekta ya kilimo na huduma nyingine za kijamii ili kuongeza ufanisi. Na Mzidalfa Zaid Mkurugenzi Mtendaji wa…
16 April 2025, 6:05 pm
Taswira ya habari imepita mtaani kufahamu watachukua tahadhari gani juu ya sheria hiyo. Na Lilian Leopord.Katika zama za sasa ambapo mitandao ya kijamii inachukua nafasi kubwa katika maisha ya kila siku, wazazi wanakabiliwa na changamoto nyingi kuhusu jinsi ya kushughulikia…
8 March 2025, 11:49 am
Licha ya jitihada zinazofanywa na uongozi wa manispaa ya Geita wa kuweka mazingira safi na salama, bado baadhi ya wananchi wameendeleza tabia ya utupaji taka kiholela katika mazingira yasio rasmi. Na: Kale Chongela – Geita Baadhi ya wakazi wa mtaa…