Dodoma FM

michazo

3 July 2025, 16:06

Walimu watakiwa kufanya tathmini ya mitihani

Ili kupandisha ufaulu kwa wanafunzi, Walimu na Maafisa elimu wameshauri kuffuatilia nakufanya tathimini kwa wanafunzi waliofanya vibaya mitihani yao. Na Emmanuel Kamangu Maafisa elimu kata na walimu wakuu wa shule za msingi Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu wametakiwa kufanya tathmini…

20 May 2025, 4:17 pm

Waliokosa mkopo wa 10% waandamana Geita

Mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na halmashauri imezua kizaa zaa baada ya baadhi ya watu kukosa katika halmashauri ya manispaa ya Geita. Na: Kale Chongela: Baadhi ya wananchi kata ya kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita wamelalamikia kitendo cha kukosa…

March 28, 2025, 4:52 pm

Wasira: Wajumbe chagueni wagombea wanaokubalika kwa wananchi

”Utaratibu wa sasa katika kura za maoni CCM, wajumbe wameongezeka ili kuweza kupata viongozi wanaokubalika kwa wananchi” Na Sebastian Mnakaya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amewataka wanachama wa chama hicho wanapoelekea katika uchaguzi mkuu unaotarajia…

6 March 2025, 4:23 pm

Wakazi wa Nyamakale wawatupia lawama viongozi wa mtaa

Kufuatia kuongezeka kwa vitendo vya uhalifu katika mtaa wa Nyamakale uliopo kata ya Nyankumbu katika halmashauri ya manispaa ya Geita, wananchi wawatupia lawama viongozi wa mtaa. Na: Kale Chongela – Geita Wakazi wa mtaa wa Nyamakale, kata ya Nyankumbu halmashauri…

4 March 2025, 8:41 pm

Amuunguza maji ya moto kisa kuchelewa kurudi nyumbani

Bibi amfanyia ukatili mjukuu wake kwa kumumwagia chai ya moto sehemu mbalimbali za mwili wake baada ya kuchelewa kurudi nyumbani kutoka sokoni alikokuwa amemuagiza kwenda kuuza sambusa. Na Emmanuel Twimanye Mtoto mwenye umri wa miaka 14 katika Mtaa wa Misheni Wilayani…