Dodoma FM
Dodoma FM
27 November 2025, 4:28 pm
Msako wa vijana ambao wanakaa kwenye vijiwe vya Bodaboda bila kazi kuanza Manispaa ya Geita Mkoani Geita Na Kale Chongela: Umoja wa waendesha Bodaboda Mkoa wa Geita umepiga marufuku baadhi ya waendesha pikipiki ambao kwasasa hawana vyombo hivyo kukaa kwenye…
November 27, 2025, 6:58 am
Mbolea ya ruzuku inauzwa kwa bei tofauti na bei elekezi ya serikali Na Stephano Simbeye Meneja wa Mamlaka ya Mbolea Tanzania Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Joshua Ng’ondya amesema mbolea hiyo imekutwa ikiuzwa katika duka la wakala aitwaye Hemed…
18 November 2025, 12:02 pm
Jeshi la polisi limewataka waendesha Bodaboda mkoani Geita kuepukana na matukio yanayoweza kuhatarisha usalama wa maisha yao. Na Edga Rwenduru: Jeshi la polisi mkoani Geita limetoa maelekezo kwa umoja wa waendesha pikipiki mkoa wa Geita kuhakikisha wanasimamia sheria ndogo ndogo…
22 October 2025, 12:29 pm
Wazee ni hazina ya Taifa maana wamelitumikia kwa nguvu zao zote hivyo tunapaswa kuwajali na kuwatunza ili wasiwe omba omba na kunyanyasika– ” Georges Busungu -Mgombea Urais Ada tadea “ Mgombea Urais kupitia Chama cha African Democratic Alliance Party ( ADA …
26 August 2025, 4:45 pm
Msamaha wa kodi kwa waendesha au wamiliki pikipiki zinazotumiwa kibiashara maarufu kama bodaboda ambapo awali walikua wakilipa shilingi 65,000 kwa mwaka kwasasa hawalipi chochote. Na Edga Rwenduru: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Geita imesema mabadiliko ya sheria za…
17 August 2025, 8:02 pm
Wamekabidhiwa ofisi hiyo na Mkurugenzi wa Manispaa ya Geita Yefred Myenzi kwa ajili ya kuanza kuitumia rasmi katika shughuli zao. Na Kale Chongela: Umoja wa Madereva Bodaboda Mkoa wa Geita (UMABOGE) wameipongeza serikali kwa kuwajengea ofisi mpya iliyopo katika viwanja…
15 August 2025, 16:28 pm
Mafunzo kwa waandishi wa Jamii FM Redio yamewahimiza kuzingatia weledi, usalama kazini na kujikinga na uhalifu mtandaoni kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 Na Musa Mtepa Waandishi wa habari wametakiwa kuwa makini na kuzingatia weledi wa taaluma yao, hususan…
15 August 2025, 10:42 am
Kongamano limebainisha kuwa malezi duni, matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii na kuiga tamaduni za kigeni vinachangia mmomonyoko wa maadili na ongezeko la ukatili dhidi ya watoto, likitoa wito kwa jamii kurejesha malezi imara Na Musa Mtepa Matumizi mabaya ya…
14 July 2025, 2:29 pm
Mkuu wa Dawati la Jinsia Katavi Judith Mbukwa. Picha na Anna Mhina “Mazingira yenyewe ya ndani yanasababisha kukimbia familia” Na Leah Kamala Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamesema kuwa hali ngumu ya kimaisha na changamoto ya…
9 July 2025, 09:51
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Kigma limewataka wananchi kuendelea kuchukua hatua za kukabiliana na majanga ya moto ambayo yanaweza kujitokeza katika maeneo yao. Na Esperance Ramadhan Baadhi ya Wananchi Mkoani Kigoma wamepatiwa elimu ya kuzima moto pindi linapotokea tatizo…