Dodoma FM
Dodoma FM
12 December 2025, 9:24 am
Picha Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mbunge wa Simanjiro, James Ole Milya Na mwandishi wetu Evanda Barnaba Naibu waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki na mbunge wa jimbo la simanjiro…
13 November 2025, 11:21 am
PPRA imeendesha mafunzo kwa makundi maalumu mkoani Mtwara kuhusu taratibu za ununuzi wa umma, yakilenga kuongeza uelewa na ushiriki wao katika zabuni za serikali. Mafunzo hayo yamezinduliwa na Katibu Tawala wa Mkoa, Bi. Bahati Geuzye, na yataendelea hadi Desemba katika…
25 October 2025, 16:37
kutokana kiongozi mbio za mwenge mwaka huu kuitaja halmashauri ya Mbeya kuibuka washindi wa mbio hizo wamefanya tafrija ya kujipongeza pamoja na wananchi. Na Ezra Mwilwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishina Msaidizi Mwandamizi (SACP) Benjamin Kuzaga ameongoza mbio…
10 October 2025, 09:20 am
Mdahalo ulioandaliwa na Jamii FM umebainisha kuwa mimba mashuleni husababishwa na malezi duni, kutokuwepo kwa uangalizi wa karibu kutoka kwa wazazi, pamoja na ushiriki wa jamii hafifu katika kulinda watoto wa kike Na Musa Mtepa Inaelezwa kuwa ukosefu wa malezi…
7 October 2025, 22:24 pm
Wanafunzi wa Kidato cha Pili wa Dar es Salaam Independent School wametembelea Jamii FM Radio Mtwara kujifunza kuhusu vyombo vya habari na athari za mitandao ya kijamii , ikiwa ni sehemu ya somo la Mtazamo wa Kidunia (Global Perspective). Na…
3 October 2025, 12:19 pm
Na Dorcas Charles-Kurunzi Maalum Idadi ndogo ya vijana wa kike kutoka jamii za kifugaji katika Wilaya ya Simanjiro wanaojitokeza kugombea nafasi za uongozi inazua maswali mengi juu ya ushiriki wa wanawake vijana katika siasa. Hali hii inajiri wakati nchi ikiendelea…
29 September 2025, 2:13 pm
Utupaji wa taka ovyo unatajwa kuharibu mazingira kwa kiasi kikubwa kwa kusababisha taka nyingi kusambaa ovyo. Na Mariam Kasawa. Msikilizaji, leo tunazungumzia Kutotekelezwa kwa sheria ya usimamizi wa mazingira ya mwaka 2004 sura 20 kufungu cha 114-116 kumesababisha kulundikana kwa…
26 September 2025, 16:10 pm
Mdondoko wa wanafunzi na ukatili wa kijinsia vyatajwa kuchangia ongezeko la vitendo vinavyohatarisha amani katika jamii , huku wazazi wakilaumiwa kwa kulegeza majukumu ya malezi na ufuatiliaji wa watoto wao Na Musa Mtepa Mtwara, Septemba 24, 2025 – Ukatili wa…
September 21, 2025, 2:03 pm
”Wananchi wanapaswa kuelimishwa juu ya umuhimu ya kuchangia huduma ya maji ili kuwa na miradi endelevu ya maji” Na Sebastian Mnakaya Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira vijijini (RUWASA) Taifa Mhandisi Ruth Koya…
12 September 2025, 08:39 am
Wananchi wa Nyengedi wametakiwa kutekeleza kwa uaminifu makubaliano ya kuchangia shilingi 10,000 kwa kila kaya ili kufanikisha ujenzi wa Shule ya Msingi Mnyengedi, mradi unaolenga kuboresha elimu na kupunguza adha ya watoto kutembea umbali mrefu NA MUSA MTEPA Wananchi wametakiwa…