jeshi la zimamoto
27 November 2023, 4:43 pm
Mahama walalamika fedha za ujenzi wa zahanati hazitoshelezi
Hatua ya Ujenzi wa Mradi huo ni utekelezaji wa Wananchi kushiriki katika utatuaji wa changamoto hasa Afya ambapo Sera ya afya ya Mwaka 2007 inaelekeza kila kijiji kinatakiwa kuwa na Zahanati. Na Victor Chigwada. Licha ya serikali kutoa fedha kwa…
21 August 2023, 5:58 pm
Mapato ya ndani kukamilisha kituo cha afya Nagulo Bahi
Kituo hicho cha afya kimetumia mapato ya ndani katika ujenzi wake huku wananchi wakichangia milion 6 na Mbunge wa jimbo hilo akichangia milion 6. Na Mindi Joseph. Jumla ya shilingi milion 62 zimetumika katika ujenzi wa kituo cha afya wilayani…
24 July 2023, 2:04 pm
Mwarobaini vifo vya wajawazito Bahi wapatikana
Hatua hii ni muhimu ambapo takwimu zinazokusanywa katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini zinaonesha vifo vitokanavyo na uzazi vimeendelea kupungua kutoka vifo 1,640 mwaka 2020 hadi vifo 1,580 mwaka 2021. Na Seleman Kodima. Vifo vya akina mama wajawazito…
11 July 2023, 6:08 pm
Ukosefu wa zahanati Mbelezungu Chamwino wapelekea vifo vya akina mama wajawazito
Sera ya afya ya mwaka 2007 imeweka wazi kuwa kila kijiji kanatakiwa kuwa na zahanati moja ili kuhudumia wananchi wa eneo hilo. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa ukosefu wa Zahanati katika kijiji cha Mbelezungu Wilayani Chamwino ni sababu inayosababisha vifo…
4 July 2023, 3:49 pm
Nollo atatua changamoto ya huduma za afya Mapinduzi Kigwe
Uwepo wa huduma za afya kwenye kila kijiji wilayani Bahi mkoani Dodoma kutawahakikishia wananchi wa wilaya hiyo usalama wa afya zao pindi watakapopatwa na maradhi mbalimbali. Na Bernad Magawa. Mbunge wa jimbo la Bahi Mhe. Kenneth Nollo ametoa zaidi ya shilling…
11 May 2023, 4:26 pm
Mbunge wa jimbo la Bahi atoa millioni 16 ujenzi wa Zahanati ya Mapinduzi Kigwe
Amesema zahanati hiyo itawaondolea adha wananchi hao ya kufuata huduma za afya kituo cha afya kigwe. Na Bernad Magawa. Mbunge wa jimbo la Bahi Mheshimiwa Kenneth Nollo ametoa Millioni 16 kujenga zahanati ya kijiji cha Mapinduzi kata ya kigwe ikiwa…
6 April 2023, 2:29 pm
Wananchi Nguji kuondokana na tatizo la huduma za afya
Jengo la zahanati ya nguji ni miongozi mwa majengo mapya zaidi ya saba ya kutolea huduma za afya yanayoendelea kujengwa wilayani Bahi. Na Bernad Magawa. Wananchi wa kijiji cha Nguji wilayani Bahi wanatarajia kuondokana na tatizo la kukosa huduma za…
30 January 2023, 9:28 am
Igunguli waomba msaada ujenzi wa Zahanati
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Igunguli Kata ya Loje Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali kuwaunga mkono na kuwasaidia kukamilisha ujenzi wa zahanati Wakizungumza na taswira ya habari wamesema kukosekana kwa huduma ya afya kijiji hapo inasababisha wananchi kwenda…
25 January 2022, 4:59 pm
Msemaji wa jeshi la Zimamoto Nchini aitembelea kampuni ya Dodoma media Group
Na; Mariam Kasawa Msemaji wa Jeshi la zima moto na uokoaji Nchini SACF Puyo Nzalayaimisi hii leo ameitembelea kampuni ya Dodoma media group inayomiliki vyombo vya habari vya Dodoma Fm pamoja na Dodoma Tv ili kujionea shughuli mbalimbali za utoaji…