Dodoma FM
Dodoma FM
3 September 2025, 5:26 pm
Uzinduzi wa Kampeni ya Chanjo ya Mifugo Nchini Tanzania ulifanyika tarehe 16 Juni 2025 katika Viwanja vya Nyakabindi, Bariadi, Mkoa wa Simiyu, katika hafla hiyo, Rais Samia alizindua rasmi kampeni ya kitaifa ya chanjo ya mifugo na utambuzi wa wanyama,…
21 August 2025, 4:33 pm
Hivi karibuni UNICEF na shirika la afya duniani WHO nchini Tanzania walizindua kampeni kubwa ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa polio iliyowafikia Watoto zaidi ya milioni 4. Na Lovenes Miriam.Wazazi hususani wanawake wametakiwa kuachana na tabia ya kudharau chanjo ya…
11 August 2025, 1:49 pm
Mwanamke huyo amekiri kuwa amekuwa akiishi maisha ya mateso kwa kuota ndoto za kutisha akiwa kwenye shughuli hizo za kishirikina. Na Kale Chongela: Wakati mikutano ya injili ikiendelea kuwagusa watu katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Geita, Mwanamke mmoja kutoka…
7 May 2025, 1:38 pm
Hali ya Uzalishaji wa mazao ya Uvuvi ,Waziri Kijaji amesema umeongezeka kutoka taniĀ ,laki nne na elfu sabini na nne na elfu themanini na moja kwa mwaka 2021 hadi kufikia tani laki tano ,ishirini na mbili na mia saba themanini…
22 November 2021, 10:39 am
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa jamii kuhakikisha watu wanamaliza dozi ya chanjo ya sinopharm mara baada ya kuchanja awamu ya kwanza. Wito huo umetolewa na Mratibu wa elimu ya afya Mkoa Dr .Nassoro Ally Matuzya amesema kuwa chanjo hiyo…
19 October 2021, 11:10 am
Na; Shani Nicolaus. Imeelezwa kuwa Pamoja na elimu inayoendelea kutolewa kwa baadhi ya maeneo nchini juu ya chanjo ya uviko 19 lakini mwitikio wa kuchanja katika kata ya Zuzu umekuwa mdogo. Akizungungumza na Dodoma fm Diwana wa kata hiyo Mh.…
18 October 2021, 12:59 pm
Na; Fred Cheti. Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hasani amewataka watanzania kujikinga na uviko 19 kwa kupata chanjo ili kuipunguzia serikali gharama zitakazotokana na matibabu ya ugonjwa huo. Rais Samia ameyasema hayo leo octoba 18 jijini…
2 September 2021, 1:42 pm
Na;Yussuph Hans. Inaelezwa kuwa moja ya sababu kubwa ya kupata chanjo ya UVIKO-19 ni kumuepusha mtu aliyechanjwa dhidi ya homa kali, pamoja na madhara yake pindi akiambukizwa virusi vya Korona. Hayo yamebainishwa na Mtaalamu kutoka kikosi kazi cha kitaifa cha…
25 August 2021, 1:17 pm
Na; Benard Filbert. Halmashauri ya jiji la Dodoma inaendelea kuhamasisha wananchi kujitokeza kupata Chanjo ya uviko 19 kwa hiyari lengo ikiwa kukabiliana na ugonjwa huo. Hayo yameelezwa na afisa afya wa jiji la Dodoma Abdala Mahiya wakati akizungumza na taswira…
4 August 2021, 10:14 am
Na;Yussuph Hans. Wakazi Mkoani Dodoma wametakiwa kuhakikisha watumia vyema fursa ya kupata chanjo ya Uviko-19 na kupuuzia taarifa za upotoshaji kutoka katika mitandao ya kijamii na za mtaani. Wito huo umetolewa mapema leo na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh…