mazingira
15 March 2024, 6:16 pm
NEMC na Halmashauri ya jiji la Dodoma zaagizwa kufanya tathhmini katika milima
kwa mujibu wa sheria ya mazingira ibara ya 58 ibara ndogo ya 2 kifungu kidogo cha D Kinatoa maelekezo ya kulinda vilima vyote vya jiji la Dodoma. Na Mariam Kasawa.Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), pamoja…
5 March 2024, 5:00 pm
Ummy: Asilimia 9.8 ya watu nchini hawana vyoo
Waziri Ummy amezielekeza mamlaka kuhakikisha zinasimamia vyema matumizi ya vyoo kwa wasafiri wawapo safarini kwa kuhakikisha mabasi yanasimama kwenye maeneo rasmi ikiwemo stendi za mabasi . Na Mariam Kasawa. Takwimu zinaonesha kuwa asilimia 9.8 ya watu nchini hawana vyoo kabisa…
16 February 2024, 4:46 pm
Athari za taka za plastiki kwa viumbe wa baharini na Afya za binadamu
Inaonyesha kwamba ingawa tuna maarifa, tunahitaji kujitolea kwa hatua za dharura ili kukabiliana na changamoto hizi zinazoongezeka kila siku katika mazingira. Na Mariam Kasawa. Uchafuzi wa mazingira katika maeneo ya bahari unatajwa kuwa na athari kwa viumbe hai waishio chini…
9 February 2024, 5:18 pm
Yafahamu madhara ya utupaji taka za plastiki katika vyanzo vya maji
Hata hivyo Umoja wa mataifa mara kadhaa umekuwa ukionya kuwa iwapo mataifa hayatochukua hatua za mapema kudhibiti taka zitokanazo na plastiki, huenda ulimwengu ukashuhudia idadi kubwa ya plastiki katika maziwa na bahari ukilinganisha na Samaki ifikapo mwaka 2050. Na Mariam…
5 February 2024, 6:02 pm
Taka, chupa za plastiki ni mali katika mazingira
Kwa mujibu wa redio Vatican inasena chupa za plastiki ambazo zilipaswa kutumika tena, lakini sehemu kubwa ya shehena za chupa inaishia kuwa ni taka zinazoendelea kutupwa na hivyo kuhatarisha maisha ya watu wengi duniani chupa hizi kamwe hazitaoza na zitaendelea…
13 April 2023, 6:33 pm
Ifahamu maana ya alama ya Ndonye kwa kabila la Wagogo
Ndonye ilitumika kwa watoto wadogo hapo zamani wa kabila hili la wagogo kama kinga ya macho lakini kwasasa wanasema hawaweki tena alama hiyo. Na Yussuph Hassan. Makabila mbalimbali Afrika na Tanzania huwa na alama mbalimbali ambazo hutambulisha kabila hilo kwa…
3 February 2023, 9:47 am
Simulizi Ya Utawala wa Kitemi katika Kabila La Kigogo
Simulizi hii inatuonyesha maswala mazima ya utawala na vitu mbalimbali ambavyo alikuwa akitumia Mtemi wa kabila la Kigogo. Na Yussuph Hassan Chifu Razaro Masuma Chihoma kutoka katika kata ya Iyumbu Imaya ya Bwibwi jijini Dodoma asimulia simulizi yote hiyo ya…
1 April 2022, 2:31 pm
Wakazi wa mtaa wa Itega walalamikia kuzagaa kwa takataka
Na; Neema Shirima. Wananchi wa mtaa wa Itega kata ya Nkuhungu jijini Dodoma wamelalamikia suala la kuzagaa kwa takataka katika maeneo hayo kutokana na kutokuwepo gari ya kuzoa takataka hizo. Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema magari yanayojishughulisha…
22 March 2022, 2:11 pm
Wananchi watakiwa kuitumia[…
Na; Seleman Kodima Wito umetolewa kwa wananchi kutumia mwezi huu wa mfungo wa kwaresma kutenda matendo ya huruma kwa jamii ikiwemo kuwajali na kuwapa mahitaji watu wasiojiweza . Hayo yamesemwa na Vijana wa Kanisa la waadventista wa sabato kutoka kanisa…
15 March 2022, 1:52 pm
Wakazi wa Dodoma waaswa kuacha kuchimba mchanga katika viwanja vya watu
Na; Neema Shirima. Baadhi ya wananchi wa mkoa wa Dodoma wenye tabia ya kuchimba mchanga katika viwanja vya watu wametakiwa kuacha tabia hiyo kwani watachukuliwa hatua kali mara tu watakapokamatwa wakifanya vitendo hivyo Hayo yamesemwa na Afisa mazingira mkoa wa…