mazingira
10 August 2021, 12:15 pm
Wakazi wa Hombolo wauomba uongozi wa kata kuimarisha utunzaji mazingira mnadani
Na;Mindi Joseph . Wananchi wa vijiji vinavyozunguka mnada wa Hombolo mkoani Dodoma wameomba uongozi ngazi ya kata kuwasogezea huduma ya vyoo pamoja na kuweka usimamizi madhubuti wa utunzaji wa Mazingira mnadani hapo . Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya…
4 August 2021, 9:51 am
Shule ya msingi sokoni wilayani Bahi yakabiliwa na upungufu wa matundu ya vyoo
Na; Mariam Matundu. Kukosekana kwa vyoo bora na rafiki kwa Wanafunzi wenye ulemavu katika shule ya msingi Sokoni wilayani Bahi umesababisha wanafunzi kushindwa kujisitiri pale wanapohitaji kutumia vyoo hivyo. Wanafunzi hao Wamesema wamekuwa wakipata magonjwa ya kichocho hasa kwa wanafunzi…
29 June 2021, 12:38 pm
Serikali za mitaa na Mikoa zatakiwa kusimamia utekelezaji wa kanuni za usimamizi…
Na;Mindi Joseph. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Selemani Jafo amezitaka mamlaka za serikali za mitaa na Mikoa kusimamia utekelezaji wa kanuni za usimamizi wa mazingira katika udhibiti wa kelele na mitetemo ili kulinda afya za…
28 June 2021, 1:01 pm
Jamii imetakiwa kufuatilia na kufahamu sheria ndogondogo za utunzaji wa mazingir…
Na; JOAN MSANGI. Imeelezwa kuwa endapo jamii itafuatilia na kufahamu sheria ndogondogo za utunzaji wa mazingira itasaidia kwa kiasi kikubwa katika utunzaji wa mazingira pamoja na kuwa na mazingira bora. Hayo yameelezwa na Bw.Dicksoni Kimaro Afisa Mazingira wa jiji la…
4 June 2021, 1:36 pm
Wananchi wametakiwa kutunza mazingira ili kunusuru kizazi cha sasa na baadae
Na; Shani Nicolous. Kuelekea kilele cha siku ya mazingira Duniani wananchi wametakiwa kuzingatia utunzaji wa mazingira ili kunusuru kizazi cha sasa na baadae. Wito huo umetolewa na mdau wa utunzaji wa mazingira kutoka kampuni ya Vilidium Tanzania ambao ni watengenezaji…
3 June 2021, 12:35 pm
Maafisa mazingira wametakiwa kuhakikisha sheria ya mazingira inazingatiwa
Na; Mariam Matundu. WAZIRI wa nchi,Ofisi ya Makamu wa Rais,Muungano na Mazingira Selemani Jafo amewataka maafisa Mazingira katika Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha Sheria ya Mazingira ya Mwaka 2004 inasimamiwa katika maeneo yao. Hayo yamesemwa leo Jijini Dodoma na…
2 June 2021, 10:55 am
Vikundi vya ukusanyaji taka vimetakiwa kufuata utaratibu ili kupunguza kero ya m…
Na; Sani Nicolous. Wito umetolewa kwa vikundi vya kukusanya taka katika maeneo mbalimbali jijini Dodoma kuzingatia utaratibu waukusanyaji taka uliowekwa na viongozi ili kupunguza kero zilizopo mtaani. Akizungumza na Dodoma fm Afisa mazingira Bw. Dickson Kimaro amesema kuwa utaratibu ukifuatwa…
1 June 2021, 10:29 am
Jiji la Dodoma laagizwa kupanda miti katika maeneo yake yote
Na; Mariam Matundu. Waziri mkuu wa Jmuhuri ya muungano wa Tanzania Mh.Kassimu Majaliwa ameliagiza jiji la Dodoma kuweka mpango mkakati wa maeneo yaliyopimwa na yanayopimwa kupandwa miti ili kuifanya Dodoma kuwa ya kijani . Waziri mkuu ametoa kauli hiyo wakati…
31 May 2021, 12:54 pm
Mrundikano wa taka wahatarisha maisha ya wakazi wa Ilazo
Na; Shani Nicolous. Wakazi wa mtaa wa Ilazo kati kata ya Ipagala jijini Dodoma wamelalamikia ucheleweshwaji wa uondoshaji wa taka takika mazingira yao hali inayosababisha kuzagaa kwa uchafu mtaani. Wakizungumza na Dodoma fm wakazi hao wamesema kuwa kuna wakati taka…
29 May 2021, 3:29 pm
Halmashauri zaagizwa kupanda miti Milioni moja na laki tano
Na; Mindi Joseph. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh.Seleman Jafo ameziagiza Halmshauri zote nchini kupanda miti isiyopungua Milioni moja na laki tano kila mwaka ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Waziri Jafo ametoa maagizo…