mazingira
26 May 2021, 12:45 pm
Maji safi na salama changamoto kata ya mkonze
Na; Mindi Joseph Wakazi wa mtaa wa Zinje Kata ya Mkonze jijini Dodoma wameiomba Serikali kuwapelekea maji safi na salama ili kuokoa afya zao kutokana na kutumia maji wanayochimba kwenye korongo ambayo si safi na salama. Taswira ya habari imezungumza…
24 May 2021, 1:54 pm
Uharibifu wa mazingira ni chanzo cha mabadiliko ya tabia Nchi
Na;Mindi Joseph . Uharibifu wa mazingira nchini umetajwa kuchangia kuongezeka kwa mabadiliko ya tabia nchi hali ambayo imepelekea kiwango cha maji kuzidi kuongezeka Nchini Tanzania. Akizungumza jijini Dodoma leo Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh.Selemani Said Jafo…
19 May 2021, 1:50 pm
Wakazi wa Mtube walia na changamoto ya nyumba zao kujaa maji
Na; Shani Nicolous Wakazi wa mtaa wa Mtube Kata ya Nkuhungu jijini Dodoma wameelezea changamoto wanazokutana nazo kufuatia makazi yao kujaa maji wakati wa msimu wa mvua na kulazimika kuhamishiwa katika makazi ya muda. Wakizungumza na taswira ya habari wakazi…
18 May 2021, 9:02 am
Wakazi wa mtaa wa nduka walalamikia ubovu wa miundombinu ya maji taka
Na; Benjamin Jackson Mtaa wa Nduka katika Kata ya Chamwino jijini Dodoma unakabiliwa na ubovu wa miundombinu ya maji taka yanayotiririka katika maeneo ya watu. Wananchi wa eneo hilo wameiambia Dodoma fm kuwa hali hii imekuwa ikijitokeza mara kwa mara…
17 May 2021, 11:56 am
Miundombinu mibovu chanzo cha ugumu wa safari Kikuyu kaskazini
Na; Shani Nicolous Wakazi wa kata ya Kikuyu kaskazini jijini Dodoma wamelalamikia ubovu wa miundombinu ya barabara katika Kata hiyo hali inayosababisha ugumu wa usafiri hasa msimu wa mvua wa mvua. Wakizungumza na Dodoma fm wakazi hao wamesema kuwa ni…
10 May 2021, 1:19 pm
Wakazi wa mtaa wa Makulu waomba kuongezewa vifaa kwaajili ya kusafisha mazingira
NA;Alfredy Sanga. Viongozi wa Mtaa wa Makulu jijini Dodoma wameelezea changaoto wanazokutana nazo kila ifikapo mwisho wa mwezi wanapowaongoza wananchi kufanya usafi. Akizungumza na Dodoma Fm balozi wa Mtaa wa Makulu Bw.Peter Salali amesema tangu kuanzishwa kwa utaratibu wa ufanyaji…
7 May 2021, 1:12 pm
Wakazi wa jiji la Dodoma wametakiwa kuzingatia ramani ya nyumba wanazo jenga zi…
NA; Shani Nicolous Halmashauri ya jiji la Dodoma kwa sasa imejikita kuhakikisha kila nyumba inayojengwa inazingatia ramani ya choo bora kama inavyoshauriwa na wataalamu wa afya. Hayo yamesemwa na Afisa afya wa jiji la Dodoma Bw.Abdalah Mahiya alipo kuwa akizungumza…
6 May 2021, 1:38 pm
Kizota wauomba uongozi wa mtaa ruhusa ya kufanya usafi katika mazingira yanayo z…
Na; FREDY CHETI. Wananchi wa Mtaa wa Salama Kata ya Kizota wameuomba uongozi wao kuwaruhusu kufanya usafi katika mazingira yanayozunguka makazi yao badala ya maeneo ya wazi kila ifikapo mwisho wa mwezi kama utaratibu ulivyowekwa na Serikali . Wakizungumza na…
5 May 2021, 11:09 am
wananchi wahimizwa kutunza miundombinu ya maji na barabara
Na; Thadei Tesha Wananchi jijini Dodoma wametakiwa kuendelea kutunza miundombinu ya maji na barabara ili iweze kutumika kwa muda mrefu kama ilivyokusudiwa. Wito huo umetolewa na wenyeviti wa mitaa ya Kiwanja cha Ndege Bw.Ignas Rufyadira na Bi.Zena Chiuja ambaye ni…
30 April 2021, 9:36 am
WWF yaishukuru Serikali kwa kushiriki juhudi utanzaji wa Mazingira
Na; Benard Filbert. Shirika la uhifadhi wa mazingira Duniani (WWF) limeishukuru serikali ya Tanzania kwa kutoa ushirikiano katika kutekeleza majukumu ya utunzaji wa mazingira nchini hali ambayo imesaidia kuboresha mazingira kwa kiasi kikubwa. Hayo yamesemwa na Afisa mawasiliano kutoka shirika…