habari za Dodoma
19 May 2021, 8:13 am
Wazazi waaswa malezi bora ya watoto
Na; Tosha Kavula Jamii imetakiwa kufanya kazi pamoja katika kuhakikisha watoto wanapata malezi ya wazazi wote wawili kutokana na kuongezeka kwa wimbi la watoto kubadilika tabia.. Ushauri huo umetolewa na baadhi ya wazazi jijini hapa wakati wakizungumza na Dodoma Fm…
17 May 2021, 12:26 pm
Zaidi ya Bil.635 zatengwa ujenzi wa barabara nchi nzima
Na; Yussuph Hans Zaidi ya shilingi Bilion 635 kutoka Mfuko wa Barabara zimetengwa kwa ajili ya matengezo ya Barabara Nchini kwa kipindi cha Mwaka 2021/22. Hayo yamebainishwa leo bungeni na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mh Leonard Madaraka Chamuriho wakati…
13 May 2021, 1:00 pm
Wahanga , ukatili wa kijinsia walalamika kusubirishwa muda mrefu wanapokwenda ku…
Na;Mindi Joseph. Moja ya changamoto inayotajwa kuwakabili wahanga wa ukatili wa kijinsia ni kusubirishwa kwa muda mrefu wanapokwenda hospitali kupatiwa matibabu wakati mwingine kutopata matibabu. Ili kufahamu kiini cha changamoto hiyo na hatua wanazochukua pindi wanapowapokea wahanga wa vitendo hivyo…
13 May 2021, 10:39 am
Waandishi wametakiwa kutumia malengo endelevu kuibua changamoto za jamii.
Na; Yussuph Hans. Waandishi wa Habari wa Redio za kijamii Nchini wametakiwa kutumia malengo ya maendeleo endelevu ya 2030 katika kuibua changamoto mbalimbali zilizopo katika jamii zao kwa lengo la kuleta ufumbuzi. Hayo yamesemwa na Afisa Programu wa shirika la…
12 May 2021, 1:17 pm
Barabara kata ya Mtanana A hadi Ndalibo kuanza marekebisho hivi karibuni
Na; Benald Filbert Barabara zilizopo katika kata ya Mtanana wilaya ya Kongwa zimeingizwa kwenye bajeti ya mwaka wa fedha 2021/22 ili kufanyiwa ukarabati kuanzia eneo la Mtanana A hadi Ndalibo, kwa lengo la kuondoa usumbufu ambao wananchi wamekuwa wakikutana nao.…
12 May 2021, 12:47 pm
Wananchi watakiwa kufuatili na kuhoji miradi ambayo imekamilika na haitumiki
Na; Mindi Joseph Serikali imehimizwa kuwashirikisha wananchi katika ujenzi wa miradi ya maendeleo ili kuokoa hasara inayojitokeza kufuatia asilimia 36 ya miradi iliyokamilika Nchini kutotumika licha ya kugharimu rasilimali nyingi za fedha. Taswira ya habari imezungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa…
6 May 2021, 7:59 am
Wananchi Makulu waomba bodaboda wanao fanya uhalifu wachukuliwe sheria kali
Na; Joan Msangi. Kufuatia baadhi ya watu wanaoendesha pikipiki maarufu kama bodaboda kudaiwa kujihusisha na uhalifu , wananchi katika Kata ya Makulu jijini Dodoma wameiomba Serikali kuwachukulia hatua kali za kisheria watakaobainika. Wakizungumza na Dodoma fm wananchi hao wamesema nyakati…
5 May 2021, 10:41 am
Kamati ya kudumu ya bunge yaridhishwa na utekelezwaji wa miradi Dodoma
Na; Mindi Joseph Kamati ya kudumu ya Bunge ya kilimo,Mifugo na Maji imeridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maji Mzakwe jijini Dodoma na Buigiri Wilayani Chamwino inayotajwa kupunguza adha ya maji kwa wananchi. Akizungumza katika ziara hiyo,Mwenyekiti wa kamati ya…
4 May 2021, 10:22 am
RUWASA kutatua kero ya maji katika vijiji vya Msembeta, Chigongwe, Nala, na Luga…
Na; Selemani kodima Wakala wa Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini wilaya ya Dodoma umesema una mpango wa kumaliza changamoto ya maji katika maeneo ya Msembeta,Chigongwe ,Nala pamoja na Lugala kwa kutoa maji bonde la Mzakwe . Hayo yamesemwa…
4 May 2021, 9:02 am
Jamii yaonywa kuacha kuwatumikisha watoto katika biashara.
Na; Thadey Tesha. Katika kuondokana na wimbi la watoto wanaojihusisha na shughuli za biashara wakiwa na umri mdogo jamii imeshauriwa kuacha mara moja vitendo vya kuwatumikisha watoto wadogo katika shughuli za biashara kwani kwa kufanya hivyo ni kosa kisheria. Akizungumza…