Elimu
13 September 2021, 1:35 pm
Wilaya ya Kongwa yaja na mkakati wa kulima mashamba yote ya shule za sekondari n…
Na; Beanard Filbert. Mkuu wa wilaya ya Kongwa Remidius Emannuel amesema wilaya hiyo imeweka mkakati wa kulima mashamba yote ya shule za msingi na sekondari katika wilaya hiyo lengo ikiwa wanafunzi wote kupata chakula shuleni na kudhibiti tatizo la lishe…
9 September 2021, 1:20 pm
Waziri Ummy apiga marufuku walimu kuhama kabla ya kupeleka walimu wengine
Na;Mindi Joseph . Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali Mhe Ummy Mwalimu amepiga marufuku kuhamisha walimu kutoka katika Halmashauri zilizoko pembezoni Nchini kabla ya kupeleka walimu mbadala. Akifungua mkutano wa baraza la wafanyakazi Tawi la…
7 September 2021, 2:19 pm
Vijana nchini wametakiwa kufuatilia matangazo ya kujiunga na vyuo mbalimbali ili…
Na; Selemani Kodima . Vijana nchini wametakiwa kufuatialia kwa makini matangazo yanayotolewa na ofisi ya Waziri mkuu hususani ya kujiunga na vyuo mbalimbali ilikuongeza ujuzi. Hayo yamesemwa na mwakilishi wa vijana bungeni pamoja na mwakilishi wa watu wenye mahitaji maalumu…
1 September 2021, 12:55 pm
Kata ya Masanga yaiomba serikali kuwasaidia kuongeza vyumba vya madarasa
Na; Victor Chigwada. Licha ya jitihada za wananchi wa Kata ya Msanga Wilayani Chamwino katika kukabiliana na changamoto ya uhaba wa vyumba vya madarasa wameiomba Serikali kuwaongezea nguvu ya ujenzi wa madarasa pamoja na walimu Baadhi ya wananchi hao wakizungumza…
11 August 2021, 11:21 am
Wazazi wametakiwa kujenga mazoea ya kuzungumzia masuala ya Afya ya uzazi na wato…
Na; Mariam Matundu. Wazazi na walezi wametakiwa kuwa na mazoea ya kuzungumza na watoto wao kuhusu masuala ya afya ya uzazi ili kuwaepusha na magonjwa ya ngono pamoja na mimba za utotoni. Hayo yamezungumzwa na mratibu wa afya ya uzazi…
29 July 2021, 10:05 am
Serikali imetakiwa kuwakea mazingira mazuri ya kujinzia wanafunzi wenye ulemavu…
Na;Mariam Matundu . Ili kuondoa changamoto za kujifunza kwa wanafunzi Viziwi imeshauriwa kuwekewa mazingira mazuri ya kujifunzia ikiwemo kutungiwa mitihani yao maalumu katika baadhi ya masomo tofauti na wanafunzi wasio viziwi . Hayo yameelezwa na mwalimu wa somo la Kiswahili…
26 July 2021, 10:48 am
Ukosefu wa shule ya sekondari katika kata ya KK wapelekea wanafunzi kutembea umb…
Na; Benard Filbert. Ukosefu wa shule ya sekondari katika kata ya KK imetajwa kuwa changamoto kwa wanafunzi wa kata hiyo hali inayowalazimu kutembea umbali wa kilomita 7 hadi kata ya BUSI kwa ajili ya masomo. Hayo yameelezwa na wakazi wa…
23 July 2021, 12:26 pm
Wazazi wametakiwa kuwapataia watoto muda wa kujisomea
Na ; Benard Filbert. Wazazi wametakiwa kuwapunguzia majukumu ya kifamilia watoto wao ambao wapo madarasa ya mitihani ili waweze kujisomea. Hayo yameelezwa na diwani wa kata ya Chemba bw. Gadri Lukumai wakati akizungumza na taswira ya habari ambapo amesema kuwa…
22 July 2021, 9:09 am
Wakazi wa Mlanje walalamikia uhaba wa walimu na na uchache wa vyumba vya madaras…
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Mlanje Kata ya Matongoro Wilaya ya kongwa wameiomba serikali kuwasaidia kutatua changamoto ya walimu wa shule ya msingi pamoja na ujenzi wa vyumba vya madarasa. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi…
20 July 2021, 11:57 am
Ukosefu wa madarasa kwa shule za msingi watajwa kuwa chanzo cha matokeo mabaya M…
Na; Shani Nicolous. Ukosefu wa madarasa katika shule za msingi na sekondari wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma imetajwa kuwa chanzo cha matokeo mabaya kwa wanafunzi hivyo kusababisha Mkoa wa dodoma kushika nafasi ya tatu kutoka mwisho kitaifa. Akizungumza na Dodoma…