Dodoma FM

Elimu

23 July 2021, 12:26 pm

Wazazi wametakiwa kuwapataia watoto muda wa kujisomea

Na ; Benard Filbert. Wazazi wametakiwa kuwapunguzia majukumu ya kifamilia watoto wao ambao wapo madarasa ya mitihani ili waweze kujisomea. Hayo yameelezwa na diwani wa kata ya Chemba bw. Gadri Lukumai wakati akizungumza na taswira ya habari ambapo amesema kuwa…