Dodoma FM

Elimu

7 June 2021, 2:20 pm

Serikali yakiri kutoa Elimu bila Ada na sio Elimu bure

Na; Yussuph Hans. Serikali imesema inatoa Elimu bila Ada sio Elimu bure hivyo Wazazi washiriki kutoa michango kwa ajili ya maendeleo ya Shule. Hayo yamebainishwa hii leo Bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za…

1 June 2021, 1:46 pm

Wazazi wametakiwa kuhakikisha watoto wao wanatimiza malengo

Na; Shani Nicolous. Kuelekea siku ya mtoto wa Afrika juni 16 shirika la Mercy Empowerment Foundation limeandaa kambi ya watoto ya siku tatu kwaajili ya kuwafundisha stadi za kazi. Mercy Empowerment Foundation ni shirika linalojihusisha na masuala ya watoto, Vijana,…