Elimu
16 July 2021, 1:12 pm
Shule zinazotoa elimu jumuishi zaiomba serikali kuboresha miundombinu
Na; Mariam Matundu. Walimu wanaofundisha shule zinazotoa elimu jumuishi katika Wilaya ya Bahi na Dodoma mjini wameiomba Serikali kuboresha miundombinu ya shule zao ili kuwezesha watoto wenye mahitaji maalumu kujifunza vizuri. Wamesema suala la uchache wa vyumba vya madarasa linasababisha…
1 July 2021, 12:48 pm
Mwitikio mdogo wa Elimu katika kata ya Farkwa wapelekea wanafunzi kushindwa kuji…
Na; Victor Chigwada. Mwitikio mdogo wa elimu katika kata ya Farkwa Wilayani Chemba ni changamoto inayopelekea wanafunzi kushindwa kujiunga na masomo ya sekondari kwa shinikizo la wazazi. Baadhi ya wazazi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema ni kweli suala…
1 July 2021, 10:54 am
Wasichana wametakiwa kusoma kwa bidii masomo ya sayansi ili kupata fursa katika…
Na;Yussuph Hans. Licha ya jitihada mbalimbali zinazofanyika kuleta usawa Nchini bado kuna Changamoto kwa wanawake katika kusomea Masomo ya Sayansi pamoja na kupewa fursa katika Miradi ya maendeleo ukilinganisha na Wanaume. Akizungumza na Taswira ya habari Afisa Programu kutoka Mtandao…
25 June 2021, 1:13 pm
Wizara ya Elimu Tanzania kupitia taasisi ya (TET) yaandaa mkutano wa kupokea ma…
Na; Rabiamen Shoo. Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) imeandaa mkutano wa kupokea maoni kutoka kwa wadau wa elimu kuhusu uboreshwaji wa Mitaala ya Ngazi ya Elimu ya Awali,Msingi na Sekondari. Mkutano huo unatarajiwa…
8 June 2021, 10:35 am
Malalamiko ya uchaguzi wa tahasusi kwa wanafunzi wa kidato cha tano ni upotoshaj…
Na; Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa malalamiko mengi yanayotolewa na wananchi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu uchaguzi wa tahasusi kwa wanafunzi wa kidato cha tano mwaka huu ni ya upotoshaji . Hayo yameelezwa hii leo na waratibu wasaidizi wa zoezi la…
7 June 2021, 2:20 pm
Serikali yakiri kutoa Elimu bila Ada na sio Elimu bure
Na; Yussuph Hans. Serikali imesema inatoa Elimu bila Ada sio Elimu bure hivyo Wazazi washiriki kutoa michango kwa ajili ya maendeleo ya Shule. Hayo yamebainishwa hii leo Bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za…
3 June 2021, 11:44 am
Wananchi wametakiwa kuwa na utaratibu wa kufuatilia elimu ya katiba
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa wananchi nchini kufuatilia elimu zinazotolewa juu ya katiba ya nchi ili kuwawezesha kutambua haki na sheria mbalimbali. Wito huo umetolewa na Bw. William Mtwazi kutoka katika kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC…
1 June 2021, 1:46 pm
Wazazi wametakiwa kuhakikisha watoto wao wanatimiza malengo
Na; Shani Nicolous. Kuelekea siku ya mtoto wa Afrika juni 16 shirika la Mercy Empowerment Foundation limeandaa kambi ya watoto ya siku tatu kwaajili ya kuwafundisha stadi za kazi. Mercy Empowerment Foundation ni shirika linalojihusisha na masuala ya watoto, Vijana,…
31 May 2021, 3:56 pm
NACTE yatakiwa kuandaa tathmini ya maonyesho ya vyuo vya ufundi
Na; Rabiamen Shoo. MKUU wa Mkoa wa Dodoma Antony Mtaka amelitaka Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) kuandaa mkutano wa tathimini ya maonyesho ya vyuo vya ufundi ili kuona tija ya maonyesho hayo. Kauli hiyo aliitoa jana mara…
28 May 2021, 1:34 pm
Kata ya mpalanga yakabiliwa upungufu wa vyumba vya madarasa katika baadhi ya shu…
Na; Victor Chigwada. Baadhi ya Shule katika Kata ya Mpalanga Wilayani Bahi zinakabiliwa na upungufu wa vyumba vya madarasa hali inayokwamisha maendeleo ya wanafunzi darasani. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamesema walianzisha ujenzi wa vyumba vya…