Elimu
20 May 2021, 1:27 pm
Wananchi wametakiwa kufichua mambo yanayo kiuka haki za binadamu
NA ;SHANI NICOLOUS. Wananchi wametakiwa kufichua mambo ambayo ni uvunjivu wa sheria inayokiuka haki za binadamu na utawala bora . Wito huo umetolewa na Mohamed Hamis ambaye ni makamu mwenyekiti wa tume ya haki za binadamu na utawala bora wakati…
13 May 2021, 11:46 am
Uhaba wa rasilimali fedha ulichangia kukwamisha mashindano ya Sayansi na teknolo…
Na; Benard Filbert. Ukosefu wa rasilimali fedha umetajwa kuwa sababu iliyokuwa ikipelekea Wizara ya elimu sayansi na teknolojia kushindwa kufanya mashindano ya kitaifa ya sayansi teknolojia na ubunifu katika ngazi za Wilaya. Hayo yameelezwa na profesa Kipanyula ambaye ni mkurugenzi…
12 May 2021, 1:43 pm
Haki elimu yataja vipaumbele katika mabadiliko ya sera ya elimu
Na; Mariam Matundu Imeelezwa kuwa ili Tanzania kuwa na elimu jumuishi yenye ufanisi ni muhimu sera ya elimu ieleze wazi suala hilo na kuweka vipaumbele katika mitaala jumuishi ,pamoja na utoaji wa elimu nyumbufu kwa ngazi zote. Hayo yameelezwa na…
12 May 2021, 1:00 pm
Wazazi kata ya makanda wataka matokeo chanya kwa wanafunzi
Na; Victor Chigwada Kutokana na matokeo yasiyokuwa ya kuridhisha kwa wanafunzi wa shule za sekondari katika Kata ya Makanda wazazi wametaja kilichosababisha hali hiyo ni kuwepo kwa kambi za kitarafa. Baadhi ya wazazi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema…
11 May 2021, 2:05 pm
Watoto wa kike wahamasishwa kupenda masomo ya sayansi
Na; Mariam Matundu. Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote(UCSAF), Justina Mashiba amesema kupitia miradi ya mfuko huo wamekuwa wakitoa mafunzo yenye lengo la kumuhamasisha mtoto wa kike kupenda masomo ya sayansi, kuwa mbunifu na kupenda kujifunza masuala…
11 May 2021, 8:24 am
Wakazi Makulu waomba wazazi wanao katisha watoto masomo wachukuliwe hatua za kis…
Na;Benjamin Jackson. Kutokana na kuzuka kwa tabia ya wazazi kusitisha masomo ya Watoto wao ya elimu ya sekondari pindi wanapo hitimu elimu ya msingi ,baadhi ya wananchi wameiomba serikali kuchukua hatua kali kwa wazazi wenye tabia kama hiyo. Wakizungumza na…
7 May 2021, 11:39 am
Wakazi wa lugala watanufaika na elimu ya watu wazima
Na; Alfred Bulahya. Wakazi wa mtaa wa Lugala kata ya Mbalawala watanufaika na elimu ya watu wazima baada ya uongozi wa eneo hilo pamoja na wananchi kukubaliana kuanzisha darasa ili kuwasaidia wananchi ambao hawakubahatika kusoma. Akizungumza na Taswira ya habari…