Dodoma FM

Elimu

12 May 2021, 1:00 pm

Wazazi kata ya makanda wataka matokeo chanya kwa wanafunzi

Na; Victor Chigwada Kutokana na matokeo yasiyokuwa ya kuridhisha kwa wanafunzi wa shule za sekondari katika Kata ya Makanda wazazi wametaja kilichosababisha hali hiyo ni kuwepo kwa kambi za kitarafa. Baadhi ya wazazi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema…

11 May 2021, 2:05 pm

Watoto wa kike wahamasishwa kupenda masomo ya sayansi

Na; Mariam Matundu.  Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote(UCSAF), Justina Mashiba amesema kupitia miradi ya mfuko huo wamekuwa wakitoa mafunzo yenye lengo la kumuhamasisha mtoto wa kike kupenda masomo ya sayansi, kuwa mbunifu na kupenda kujifunza masuala…

7 May 2021, 11:39 am

Wakazi wa lugala watanufaika na elimu ya watu wazima

Na; Alfred Bulahya. Wakazi wa mtaa wa Lugala kata ya Mbalawala  watanufaika na elimu ya watu wazima  baada ya uongozi  wa eneo hilo pamoja na wananchi kukubaliana kuanzisha  darasa ili kuwasaidia wananchi ambao hawakubahatika kusoma. Akizungumza na Taswira ya habari…