Elimu
31 January 2022, 3:19 pm
Umbali mrefu wa kufika shule wapelekea wanafunzi kuacha shule.
Na; Neema Shirima. Imeelezwa kua umbali mrefu wa kufika shuleni umekuwa ni chanzo cha utoro kwa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Zuzu. Hayo yamesemwa na baadhi ya wananchi wa mtaa wa Chididimo katika kata ya Zuzu ambapo wamesema inawalazimu…
27 January 2022, 2:45 pm
Wakazi wa Nzasa waiomba serikali iwasaidie kukamilisha ujenzi wa shule
Na ;Victor Chigwada. Wanafunzi wa kijiji cha Nzasa Kata ya Chiboli hulazimika kutembea kila siku Zaidi ya kilomita 15 kuifata shule ilipo. Wakizungumza na Dodoma Fm baadhi ya wananchi hao wamesema kuwa umbali mrefu umekuwa changamoto kwa wanafunzi wa umri…
19 January 2022, 2:30 pm
Ujenzi wa madarasa wasaidia kupunguza mrudikano wa wanafunzi chemba
Na ;Benard Filbert. Ujenzi wa madarasa mapya yaliyojengwa kwa fedha za uviko 19 katika kata ya chemba wilayani Chemba imesaidia kupunguza mrundikano wa wanafunzi katika shule ya sekondari Chemba Hayo yameelezwa na diwani wa kata ya Chemba bwana Gadiel Lukumai…
12 January 2022, 2:20 pm
Wazazi watakiwa kuwaandikisha watoto kujiunga kidato cha kwanza.
Na; Benard Filbert. Wazazi katika kata ya Mbalawala jijini Dodoma wametakiwa kuwaandikisha watoto wao kujiunga kidato Cha kwanza. Hayo yanajiri kufuatia baadhi ya wanafunzi kudaiwa kuto kuendelea na elimu ya secondari kutokana na sababu mbalimbali. Ally Mohamed ni Diwani wa…
19 October 2021, 11:24 am
Ukosefu wa elimu kwa familia ni kikwazo kwa mtoto wa kike
Na;Mindi Joseph. Ukosefu wa elimu kwa familia imetajwa kuwa kikwazo kwa watoto wa kike kwani hushawishiwa na familia kufanya vibaya mitihani yao ya taifa ili waolewa na wazazi kuepuka kuwasomesha. Akizungumza na Taswira ya habari Denis Komba Mkuu wa idara…
5 October 2021, 11:04 am
Ukosefu wa Maabara wapelekea wanafunzi kushindwa kufaulu masomo yao
Na;Mindi Joseph . Ukosefu wa maabara kwa baadhi ya shule za sekondari imetajwa kuwa changamoto kwa wanafunzi kufanya vizuri katika masomo yao. Taswira ya habari imezungumza na baadhi ya wanafunzi kutoka shule zinazokabiliwa na changamoto ya miundombinu ya shule ambapo…
1 October 2021, 12:40 pm
Ukosefu wa miundombinu rafiki katika shule jumuishi watajwa kuwa changamoto kwa…
Na; Shani Nicolous. Ukosefu wa miundombinu rafiki yakujifunzia katika shule jumuishi nchini imetajwa kuwa changamoto hivyo kuathiri maendeleo ya watu wenye ulemavu. Akizungumza na Taswira ya habari mkurugenzi mtendaji wa kituo cha habari kuhusu walemavu ICD Fredrick Mkatambo amesema kuwa…
27 September 2021, 12:15 pm
Kata ya Chiwe yakusanya fedha kwaajili ya ujenzi wa sekondari Moleti
Na; Benard Filbert. Serikali ya kata ya Chiwe wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma imefanikiwa kukusanya zaidi ya milioni 30 lengo ikiwa kujenga shule ya sekondari moleti ili kutatua changamoto ya wanafunzi kutembea umbali mrefu kwenda shuleni. Hayo yameelezwa na diwani…
24 September 2021, 9:24 am
Wakazi wa kijiji cha Iyumbwi wakumbwa na sintofahamu ujenzi wa vyumba vya madara…
Na; Mariam Matundu . Katika kuendelea kutatua changamoto za miundombinu ya elimu wakazi wa Kijiji cha Iyumbwi Kata Ya Nghumbi Wilayani Kongwa wanaendela na ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa katika shule ya msingi Iyumbwi kwa nguvu zao .Katika ujenzi…
21 September 2021, 12:08 pm
Wazazi wametakiwa kuwapa mafunzo ya ziada wahitimu wa darasa la saba ili kuwaepu…
Na ; Thadei Tesha. Wazazi jijini hapa wameshauriwa kuhakikisha wanawasaidia watoto wao waliohitimu darasa la saba katika kuwawezesha kupata mafunzo mbalimbali katika kipindi hiki wanachosubiri matokeo ili kupunguza vitendo vya ukatili na watoto kuharibikiwa kimaadili katika jamii. Akizungumzia athari ambazo…