Wazee
30 Juni 2025, 5:42 um
Majirani wakerwa na choo cha muuza pombe
Choo kinachowakera ya wananchi. Picha na Anna Mhina “Hapa sisi tunapata shida na harufu ya kinyesi” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa kata ya Mpanda hotel manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelalamikia kero wanayoipata ya harufu mbaya ya choo…
23 Juni 2025, 13:20
Vijana, wanawake, ulemavu wapewa mil. 800 Kasulu
Halamshauri ya Wilaya ya Kasulu imekabidhi hundi ya zaidi ya shilingi milioni 800 kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu katika robo ya tatu na nne ya January hadi june 2024/2025. Akiwakabidhi hundi hiyo mgeni rasmi wa hafla hiyo, Mbunge…
10 Machi 2025, 18:46 um
Zaidi ya tani 9,000 za salfa zawasili bandari ya Mtwara
Hii ni meli ya kwanza kati ya meli nne zinazotarajia kubeba tani 40,000 za pembejeo ya zao la korosho kwa msimu wa mwaka 2025/2026 ambapo kwa mujibu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho wakulima wanahitaji tani 40’000 ili kufanikisha uzalishaji…
18 Febuari 2025, 09:26 mu
ATCL yarejesha safari za ndege Dar es Salaam, Mtwara
Meneja wa Uwanja wa Ndege wa Mtwara Jordan Mchami amesema kutokana na kuwepo kwa gharama ndogo za nauli kwenda na kurudi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam ambayo ni shilingi 199,000, kutapelekea kuongezeka kwa abiria watakaotumia usafiri huo. Na Musa…
3 Febuari 2025, 5:12 um
TEHAMA yaongeza kasi uendeshaji shughuli za Mahakama Geita
Kilele cha wiki ya sheria nchini hufanyika kwa kujumuisha shughuli mbalimbali zinazohusiana na masuala ya sheria ili kuelimisha wananchi na kuhamasisha matumizi bora ya sheria katika jamii. Na: Ester Mabula – Geita Jaji mfawidhi wa mahakama kuu kanda ya Geita…
20 Novemba 2024, 12:41 um
Wajasiriamali Babati mji wakabidhiwa Millioni 211
Vikundi 19 vya wajasiriamali wa halmashauri ya mji wa Babati mkoani Manyara, vyakabidhi mkopo wa shilingi millioni 211 ikiwa ni lengo la serikali kuwakwamua wananchi kiuchumi. Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa wilaya ya Babati Emanuela Kaganda, amekabidhi shilingi millioni 211…
13 Oktoba 2024, 12:01 um
Mavunde awatuliza wananchi mgodi wa Sota Sengerema
Mgodi wa dhahabu wa SOTA GOLD Mining uliopo kata ya Igalula wilayani Sengerema mkoani Mwanza unatarajiwa kuanza uzalishaji mwakani 2025, ambapo kwasasa wameaanza madalizi ya ujenzi wa Mgodi huo,ikiwemo kuwahamisha wananchi wenye maeneo yanayo pakana na eneo la mgodi huo.…
24 Septemba 2024, 4:54 um
Aliyemuua baba yake aachiwa huru Geita
Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Geita imemuachia huru Mahele Petro (19), mkazi wa Nyamilembe wilayani Chato mkoani Geita baada ya kukiri kosa la kumuua baba yake kwa kumchoma mkuki shingoni bila kukusudia. Na: Mwandishi wetu Hukumu hiyo imetolewa leo Septemba…
Juni 12, 2024, 5:12 um
Walimu shule za msingi na Sekondari jiandaeni kustaafu
Watumishi wengi wamesahau kujiajiri kipindi wapo kazini hali inayosababisha wakati wanastaafu kupata changamoto katika eneo la kipato Na Sebastian Mnakaya Walimu wa shule za msingi na Sekondari katika halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kujiandaa kustaafu kwa kujishughulisha…
8 Novemba 2023, 2:48 um
Pinda: Wazee zungumzeni na vijana
Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Peter Pinda metoa wito kwa wazee mkoani Katavi kuwaelekeza vijana maadili mema katika jamii. Na John Benjamin – Mpanda Waziri Mkuu mtaafu wa awamu nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda ametoa wito kwa…