Radio Tadio

Vijana

22 June 2023, 5:01 pm

Vijana watakiwa kutumia fursa zinazojitokeza kujikwamua kiuchumi

Shirika la Kingdom Leadership Network Tanzania(KLNT) limekuwa likiratibu mikutano ya maombi kwa Taifa ikifahamika kama Tanzania Prayer Breakfast. Na Rabiamen Shoo. Wananchi hususan vijana wametakiwa kuzitumia vizuri fursa zinazojitokeza katika maeneo yao kupata elimu hususan namna ya kufanikiwa kiuchumi. Wito…

16 June 2023, 12:43 pm

Vijana Bahi wapigwa marufuku kucheza pool table muda wa kazi

Yeyote atakayekutwa anacheza pool table muda wa kazi hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yake na atachukuliwa kama mzurulaji na atashtakiwa kisheria. Na Bernad Magawa. Jeshi la polisi wilayani Bahi limepiga marufuku vijana kucheza pool table muda wa kazi na kusema…

10 April 2023, 3:19 pm

Vijana wakumbushwa kujiwekea akiba

Mara kadhaa kumekuwepo na baadhi ya vijana ambao wamekuwa wakihinda vijiweni pasipo kuwa na ajira huku wengi wao wakisema kuwa mitaji ni miongoni mwa changamoto zinazopelekea kushindwa kujiajiri. Na Thadei Tesha. Vijana wametakiwa kutumia vyema nafasi waliyonayo katika kuwekeza kidogo…

4 April 2023, 5:53 am

Wananchi Mpanda Watoa Maoni Mseto Juu ya Damuchafu

MPANDA Baadhi Ya wananchi wa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametoa maoni mseto juu ya wimbi lililoibuka la watu wanaofanya matukio ya kupora na kuiba mitaani maarufu kama Damu Chafu. Wameyasema hayo kwa nyakati tofauti wakati wakizungumza na kituo hiki…

30 March 2023, 6:14 pm

Vijana wazungumzia changamoto za mikopo halmashauri

Vijana hao wamesema kuwa kumekuwa na changamoto na usumbufu mkubwa kwani wanatumia muda mwingi kufuatilia fedha hizo. Na Victor Chigwada .    Baadhi  ya vijana wa  kutoka Wilaya ya Chamwino wamezungumzia changamoto wanazozipata katika Halmashauri  pindi wanapoenda kuchukua mikopo inayotengwa na serikali…

16 March 2023, 11:25 am

Noorah ‘Baba Stylz’: Najishauri sana kuendelea na muziki

Na Erick Mallya Ukizungumzia wasanii wa Rap Tanzania wenye mchango mkubwa sana kwenye mitindo na uandishi wa ‘Rappers’ wengi wa kizazi hiki huwezi kuacha kulitaja Jina la Noorah ‘Baba Stylz’. Mpaka sasa Nooraha anwakilisha kundi la ‘Chemba Squad’ lililoanzishwa 1999…