
Vijana

22 June 2023, 5:01 pm
Vijana watakiwa kutumia fursa zinazojitokeza kujikwamua kiuchumi
Shirika la Kingdom Leadership Network Tanzania(KLNT) limekuwa likiratibu mikutano ya maombi kwa Taifa ikifahamika kama Tanzania Prayer Breakfast. Na Rabiamen Shoo. Wananchi hususan vijana wametakiwa kuzitumia vizuri fursa zinazojitokeza katika maeneo yao kupata elimu hususan namna ya kufanikiwa kiuchumi. Wito…

16 June 2023, 12:43 pm
Vijana Bahi wapigwa marufuku kucheza pool table muda wa kazi
Yeyote atakayekutwa anacheza pool table muda wa kazi hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yake na atachukuliwa kama mzurulaji na atashtakiwa kisheria. Na Bernad Magawa. Jeshi la polisi wilayani Bahi limepiga marufuku vijana kucheza pool table muda wa kazi na kusema…

9 June 2023, 1:12 pm
Msanii wa kizazi kipya kuwasaidia mabinti walioshindwa kutimiza ndoto zao
Na Lonard Mwacha. Msanii wa kizazi kipya kutoka Dodoma Suleiya Abdi ameweka wazi dhamira yake ya kuwasaidia mabinti walioshindwa kutimiza ndoto zao kutokana na mimba za utotoni ili waweze kujikwamua kiuchumi.

8 June 2023, 9:55 AM
Door of Hope wakutana na vijana, wawapa mbinu za utambuzi
Shirika lisilo la kiserikali la DOOR OF HOPE lenye makao yake mkoani Mtwara limekutana na vijana zaidi ya 30 kutoka kata za Jida na Migongo ili kuwajengea uwezo wa utambuzi katika mradi wa Kijana Kwanza ambao unatekelezwa katika halmashauri ya…

17 May 2023, 3:54 pm
Taasisi za vijana zakutana kujadili jinsi ya kufanya kazi pamoja
Mkutano huo umeandaliwa na umoja wa vijana hao kwa kushirikiana na shirika la Foundation for Civil Society FCS. Na Alfred Bulahya. Umoja wa vijana kutoka taasisi zinazofanya kazi kwenye afua za vijana, zimekutaka jijini Dodoma kujadili namna zinavyoweza kufanya kazi…

10 April 2023, 3:19 pm
Vijana wakumbushwa kujiwekea akiba
Mara kadhaa kumekuwepo na baadhi ya vijana ambao wamekuwa wakihinda vijiweni pasipo kuwa na ajira huku wengi wao wakisema kuwa mitaji ni miongoni mwa changamoto zinazopelekea kushindwa kujiajiri. Na Thadei Tesha. Vijana wametakiwa kutumia vyema nafasi waliyonayo katika kuwekeza kidogo…

4 April 2023, 5:53 am
Wananchi Mpanda Watoa Maoni Mseto Juu ya Damuchafu
MPANDA Baadhi Ya wananchi wa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametoa maoni mseto juu ya wimbi lililoibuka la watu wanaofanya matukio ya kupora na kuiba mitaani maarufu kama Damu Chafu. Wameyasema hayo kwa nyakati tofauti wakati wakizungumza na kituo hiki…

30 March 2023, 6:14 pm
Vijana wazungumzia changamoto za mikopo halmashauri
Vijana hao wamesema kuwa kumekuwa na changamoto na usumbufu mkubwa kwani wanatumia muda mwingi kufuatilia fedha hizo. Na Victor Chigwada . Baadhi ya vijana wa kutoka Wilaya ya Chamwino wamezungumzia changamoto wanazozipata katika Halmashauri pindi wanapoenda kuchukua mikopo inayotengwa na serikali…

16 March 2023, 11:25 am
Noorah ‘Baba Stylz’: Najishauri sana kuendelea na muziki
Na Erick Mallya Ukizungumzia wasanii wa Rap Tanzania wenye mchango mkubwa sana kwenye mitindo na uandishi wa ‘Rappers’ wengi wa kizazi hiki huwezi kuacha kulitaja Jina la Noorah ‘Baba Stylz’. Mpaka sasa Nooraha anwakilisha kundi la ‘Chemba Squad’ lililoanzishwa 1999…

10 June 2022, 2:31 pm
Taasisi za Serikali na binafsi zatakiwa kuwatumia vijana wanao zalishwa vyuoni
Na;Mindi Joseph . Waziri Ofisi ya Makamu wa Raisi,Muungano na Mazingira Mhe. Selemani Jafo amezitaka taasisi za serikali na binafsi kufungua milango na kuwatumia vijana wanaozalishwa vyuoni ili kujenga umahiri kwa Vijana Nchini Akizungumza leo katika ufunguzi wa Maonesho ya…