Vijana
14 August 2023, 12:41 pm
Rushwa ya ngono inavyowaathiri vijana katika utafutaji
Nini kifanyike ili kuwanusuru vijana pindi wanapokutana na changamoto ya kuombwa rushwa ya ngono. Na Leonard Mwacha. Vijana wamekuwa wakipitia changamoto nyingi pindi wanapotafuta maisha ikiwemo kuombwa rushwa ya ngono ili waweze kufanikiwa kimaisha. Hali hii imekuwa ikiwakatisha tamaa vijana…
9 August 2023, 5:58 pm
Vijana Bahi waomba kandarasi ili wajikwamue kimaisha
Vijana hao wameanzisha karakana ndogo ya kutengeneza samani mbalimbali na kuwasaidia vijana hao kujipatia kipato. Na Bernad Magawa . Baadhi ya vijana waliojiajiri Wilayani Bahi Mkoani Dodoma wameiomba Serikali kuwaunga mkono kwa kuwapa kandarasi katika maeneo waliyobobea ili waweze kujikwamua.…
2 August 2023, 4:27 pm
Kongamano la maendeleo ya vijana kuanza Agosti 3
Kongamano hilo linatarajiwa kufanyika kwa siku mbili tarehe 3 na 4 ya mwezi Agosti likiwa na lengo la kuwakutanisha vijana kutoka maeneo mbalimbali nchini . Na Fred Cheti. Serikali kupitia Wizara ya Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira…
30 June 2023, 3:43 pm
UVCCM kuitangaza Kongwa
Amesema jumuiya ya vijana ni tegemeo kwa chama inaweza kuleta vuguvugu la maendeleo hivyo kama vijana wanahakikisha wanakuwa na maadili mshikamano na mahusiano mazuri kwa Chama na Serikali. Na Bernadetha Mwakilabi. Makamu mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha…
22 June 2023, 5:01 pm
Vijana watakiwa kutumia fursa zinazojitokeza kujikwamua kiuchumi
Shirika la Kingdom Leadership Network Tanzania(KLNT) limekuwa likiratibu mikutano ya maombi kwa Taifa ikifahamika kama Tanzania Prayer Breakfast. Na Rabiamen Shoo. Wananchi hususan vijana wametakiwa kuzitumia vizuri fursa zinazojitokeza katika maeneo yao kupata elimu hususan namna ya kufanikiwa kiuchumi. Wito…
16 June 2023, 12:43 pm
Vijana Bahi wapigwa marufuku kucheza pool table muda wa kazi
Yeyote atakayekutwa anacheza pool table muda wa kazi hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yake na atachukuliwa kama mzurulaji na atashtakiwa kisheria. Na Bernad Magawa. Jeshi la polisi wilayani Bahi limepiga marufuku vijana kucheza pool table muda wa kazi na kusema…
9 June 2023, 1:12 pm
Msanii wa kizazi kipya kuwasaidia mabinti walioshindwa kutimiza ndoto zao
Na Lonard Mwacha. Msanii wa kizazi kipya kutoka Dodoma Suleiya Abdi ameweka wazi dhamira yake ya kuwasaidia mabinti walioshindwa kutimiza ndoto zao kutokana na mimba za utotoni ili waweze kujikwamua kiuchumi.
8 June 2023, 9:55 AM
Door of Hope wakutana na vijana, wawapa mbinu za utambuzi
Shirika lisilo la kiserikali la DOOR OF HOPE lenye makao yake mkoani Mtwara limekutana na vijana zaidi ya 30 kutoka kata za Jida na Migongo ili kuwajengea uwezo wa utambuzi katika mradi wa Kijana Kwanza ambao unatekelezwa katika halmashauri ya…
17 May 2023, 3:54 pm
Taasisi za vijana zakutana kujadili jinsi ya kufanya kazi pamoja
Mkutano huo umeandaliwa na umoja wa vijana hao kwa kushirikiana na shirika la Foundation for Civil Society FCS. Na Alfred Bulahya. Umoja wa vijana kutoka taasisi zinazofanya kazi kwenye afua za vijana, zimekutaka jijini Dodoma kujadili namna zinavyoweza kufanya kazi…
10 April 2023, 3:19 pm
Vijana wakumbushwa kujiwekea akiba
Mara kadhaa kumekuwepo na baadhi ya vijana ambao wamekuwa wakihinda vijiweni pasipo kuwa na ajira huku wengi wao wakisema kuwa mitaji ni miongoni mwa changamoto zinazopelekea kushindwa kujiajiri. Na Thadei Tesha. Vijana wametakiwa kutumia vyema nafasi waliyonayo katika kuwekeza kidogo…