Radio Tadio

Vijana

19 February 2025, 12:56 pm

Bampa la choo lapasuka na kutiririsha maji Uwanja

Inaelezwa kuwa bampa la choo cha nyumba yenye wapangaji limegongwa na gari na kupelekea kuangukia ndani ya shimo la choo. Na: Paul William – Geita Tukio hilo limetokea mtaa wa Elimu, kata ya Nyankumbu, halmashauri ya manispaa ya Geita ambapo…

19 February 2025, 10:50 am

Mvua yenye upepo yaezua paa la nyumba Mbugani

Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Geita, zimepelekea baadhi ya athari za kimiundombinu kwa baadhi ya wananchi katika manispaa ya Geita. Na: Kale Chongela – Geita Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Mbugani, kata ya kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita makazi…

10 February 2025, 3:26 pm

Nyumba 5 zabomoka baada ya mvua kunyesha Geita

Mvua iliyonyesha usiku wa kuamkia Februari 08, 2025 mkoani Geita imepelekea changamoto ya kuathiri baadhi ya makazi ya watu. Na: Kale Chongela – Geita Nyumba tano za wakazi wa mtaa wa Ibolelo maarufu kwa jina la Mwabasabi kata ya Nyankumbu…

31 December 2024, 07:52

RC Homera awataka wazazi, walezi kuwalinda watoto

Watoto ni taifa la kesho kila mtu anawajibu wa kumlinda mtoto kwa namna yoyote na kuhakikisha anakuwa salama. Na Hobokela Lwinga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Homera ameitaka jamii kuendelea kulinda na kuwathamini watoto iliwaweze kutimiza ndoto zao…

8 January 2024, 14:20

Viongozi CCM watakiwa kuwekeza kwa watoto

Viongozi wa umoja wa  UVCCM  Kata ya Gungu Manispaa ya Kigoma Ujiji wameomba viongozi wa chama hicho Mkoa wa Kigoma pamoja na wananchi kuwekeza katika malezi ya watoto kwa kuwalea katika misingi ya uadilifu ili baadaye waweze kulitumikia taifa na…

December 7, 2023, 12:49 pm

Bodaboda Ndulamo wakabidhiwa viaksi mwanga

Katika kukabiliana na ajali za barabarani vijana bodaboda wametahadharishwa kuwa makini wanapokuwa barabarani wakati wa usiku wakijitafutia kipato kutokana na matukio mbalimbali yanayotokea ya kiuharifu na shafii Madereva pikipiki (bodaboda) Wilayani Makete Mkoani Njombe wameshauriwa kufuata sheria za barabarani kwa…

November 28, 2023, 11:58 am

Bodaboda Ndulamo wakusanya Milioni 16 kwa mwaka

baadhi ya viongozi wa serikali ya kijiji na jeshi la polisi kwenye mkutano na waendesha bodaboda.picha na mwandishi wetu licha ya jitihada za serikali kuendelea kutoa elimu kwa vijana kuanzisha vikundi pamoja na kupata mikopo vijana wa bodaboda ndulamo kupitia…

16 November 2023, 17:03

Familia ya kijana aliyefariki Kakonko yaomba uchunguzi ufanyike

Familia ya Kijana Enock Elias aliyefariki katika mazingira ya kutatanisha yaomba uchunguzi dhidi ya waliohusika na mauaji hayo. Na Kadislaus Ezekiel Familia ya kijana Enock Elias Sabakwishi, mkazi wa kijiji cha Ilabiro kata ya Katanga wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma,…