Radio Tadio

Utamaduni

23 October 2024, 6:58 pm

Zifahamu athari za betri chakavu za magari

Na Mariam Kasawa. Betri chakavu za magari  zimetajwa kuwa na athari kubwa kwa viumbe na mazingira endapo hazitateketezwa katika utaratibu mzuri. Akizingumza katika wiki ya kujiondosha  na kuepukana na kemikali zinazotokana na betri chakavu Bi. Dora Swai katibu mtendaji kutoka…

12 October 2024, 4:23 pm

DC Sengerema aongoza wananchi kujiandikisha kushiriki uchaguzi

Serkali kupitia TAMISEMI imetangaza siku kumi za wananchi kujiandikisha kwenye daftari la makazi kwa ajili ya kushiriki uchaguzi serkali za mitaa mwezi november mwaka huu. Na.Emmanuel Twimanye Wananachi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wametakiwa kuendelea kujitokeza  kujiandikisha katika Daftari la makazi…

8 October 2024, 6:40 pm

Zijue sheria za mazingira kuepuka adhabu

Na Mariam Kasawa. Wananchi wametakiwa kuzitambua sheria mbalimbali za usimamizi wa mazingira pamoja adhabu zake endapo sheria hizo zitakiukwa ili kuepuka kuvunja sheria . Bwn. Onesmo Nzinga mwanasheria kutoka baraza la uhifadhi na usimamizi wa mazingira NEMC amesma hayo wakati…

18 September 2024, 7:42 pm

Migahawa Hombolo yavutia kwa usafi

Wanafunzi kutoka Chuo cha Serikali za Mtaa Hombolo wanasema hali ya usafi kwa baadhi ya watoa huduma ya chakula imeimarika. Na Mindi Joseph. Suala la usafi jambo ni muhimu katika kujikinga dhidi magonjwa yasababishwayo na uchafu.  Hivyo ni jambo la…

17 September 2024, 8:59 pm

Dunia yaadhimisha siku ya kimataifa ya kuhifadhi tabaka la Ozoni

Serikali imetakiwa kuanzia ngazi ya chini katika maadhimisho mbalimbali yanayo husiana na utunzaji wa mazingira ili kuwajengea uelewa wananchi. Na Mariam Kasawa Tanzania imeungana na Dunia kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kuhifadhi Tabaka la Ozoni (Ozone) amapo kauli mbiu ya…

13 September 2024, 7:29 pm

Sango Darajani hatarini magonjwa ya mlipuko

Wafanyabiashara wa vyakula wanasema eneo hilo ni hatari kwa biashara zao kwani inaweza kusababisha magonjwa ya mlipuko. Na Fatuma Maneno . Wananchi na wafanyabiashara wa Sango Darajani jijini Dodoma katika soko la Majengo, wamehofia usalama wa afya zao kutokana na…

11 September 2024, 10:24 am

Changamoto ya taka Geita mjini bado kizungumkuti

Changamoto ya taka Geita mjini bado ni kitendawili wananchi watajwa kuwa kikwazo kwa kushindwa kupeleka taka hizo sehemu husika. Na Amon Bebe: Licha ya uwepo wa gari linalopita mtaani kukusanya taka katika Halmashauri ya Mji wa Geita mkoani Geita baadhi…

10 September 2024, 7:22 pm

Urejeshaji taka fursa mpya kwa vijana

Na Mariam Kasawa. Mahfoudh Haji ni makamu mwenyekiti wa taasisi ya Green Samia Foundation anasema taka ni fursa hasa kwa vijana lakini uelewa bado ni mdogo kwani wengi wanaamini waokota taka rejeshi ni watu duni hivyo kuidharau kazi hii. Kutokana…