Utamaduni
21/03/2025, 09:55
Mti uliokatwa wakutwa umesimama Mpomvu
Wakazi wa mtaa wa Mpomvu kata ya Mtakuja, halmashauri ya manispaa ya Geita wameshtushwa na hali ya mti uliopo katika kanisa la GGC uliokuwa umekatwa kukutwa umesimama. Na: Kale Chongela – Geita Wakizungumza na Storm FM Machi 20, 2025 baadhi…
04/03/2025, 12:15
Yafahamu Mazingira asili ya mkoa wa Dodoma
Licha ya Dodoma kufahamika kuwa na hali ya nusu jangwa lakini yapo mazao ambayo hulimwa wakati wa masika. Na Yussuph Hassani.Mwana fahari leo Yussu[h anasimuliza asili ya mazingira ya mkoa huu wa Dodoma katika mfululizo wa makala hii ya fahari…
20/02/2025, 18:02
Mtaa wa changanyikeni Miyuji wageuzwa dampo la Taka
Halmashauri ya jiji la Dodoma imeomba kusaidia kutatua kero ya taka katika eneo hili ili wananchi waweze kuepukana na mrudikano wa taka pamoja na hatari ya kupata magonjwa ya mlipuko. Na Mariam Kasawa.Wakazi wa mtaa wa Changanyikeni kata ya Miyuji…
3 Febuari 2025, 19:24
Zaidi ya watu 2700 wafikiwa wiki ya sheria Bunda
Wananchi zaidi ya 2700 wamefikiwa wiki ya sheria wilayani Bunda baada ya kufika katika vituo vilivyokuwa vimeainishwa na wadau wa mahakama. Na Adelinus Banenwa Wananchi zaidi ya 2700 wamefikiwa wiki ya sheria wilayani Bunda baada ya kufika katika vituo vilivyokuwa…
07/01/2025, 17:16
Utenganishaji wa taka unavyorahisisha uchakataji wa taka za plastiki
Kama Halmashauri zitatambua aina na kiasi cha taka kinachozalishwa katika eneo lake ni rahisi kutenganisha taka hizo kwa kuyapa rangi tofauti tofauti mapipa au vizimba vinavyokusanya aina tofauti ya taka hizo. Na Mariam Kasawa.Vikundi vya ukusanyaji taka katika maeneo mbalimbali…
03/01/2025, 15:48
Fahamu umuhimu wa miti katika mazingira
Miti ina faida nyingi katika mazingira na maisha ya binadamu. Na Yussuph Hassan.Mwandishi wetu Yussuph Hassan anatufahamisha kuhusu bustani inayosimamiwa na halmashauri ya jiji la Dodoma inayopatikana eneo la Wajenzi jijini Hapa.
26/12/2024, 15:53
Mwitikio wa wanawake kugombea nafasi za uongozi
Na Mwanahamisi Chikambu pamoja na Gregory Millanzi Tanzania imeandika historia kwa kuwa moja ya nchi chache zilizoongozwa na Rais mwanamke, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan. Miaka 63 tangu kupata uhuru kutoka kwa Mkoloni Mwingereza, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amekua…
10/12/2024, 16:50
Wafanyabiashara Sabasaba walalamikia uwepo wa dampo katikati ya soko
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa soko la Sabasaba amesema soko hilo linahudumia zaidi ya wafanyabiashara 10,000, na kila siku zaidi ya watu 15,000 huingia na kutoka sokoni hapo, jambo linaloonesha ukubwa na umuhimu wa soko hili katika uchumi wa jiji…
06/12/2024, 11:50
Serikali yaendelea na ukarabati miundombinu ya maji soko la Machinga
Soko la machinga lilianza kufanyakazi November 1, 2022, kwa mujibu wa Halmshauri ya Jiji la Dodoma hadi sasa soko hilo linahudumia wajasiriamali zaidi ya 3200 waliosajiliwa, linatoa huduma mbalimbali zikiwemo huduma za vyakula, biashara za nguo, mapambo, huduma za kibenk…
06/12/2024, 08:22
Vyoo, visima na nyumba vyazingirwa na maji Ibolelo, Geita
Ni moja ya eneo lililopo mtaa wa Ibolelo, kata ya Nyankumbu mjini Geita ambalo limeathirika na mvua, Je wananchi wanaishi vipi katika mazingira haya?. Na: Ester Mabula – Geita Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Geita zimeendelea…