Radio Tadio

Utamaduni

3 Januari 2025, 3:48 um

Fahamu umuhimu wa miti katika mazingira

Miti ina faida nyingi katika mazingira na maisha ya binadamu. Na Yussuph Hassan.Mwandishi wetu Yussuph Hassan anatufahamisha kuhusu bustani inayosimamiwa na halmashauri ya jiji la Dodoma inayopatikana eneo la Wajenzi jijini Hapa.

26 Disemba 2024, 15:53 um

Mwitikio wa wanawake kugombea nafasi za uongozi

Na Mwanahamisi Chikambu pamoja na Gregory Millanzi Tanzania imeandika historia kwa kuwa moja ya nchi chache zilizoongozwa na Rais mwanamke, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan. Miaka 63 tangu kupata uhuru kutoka kwa Mkoloni Mwingereza, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amekua…

6 Disemba 2024, 8:22 mu

Vyoo, visima na nyumba vyazingirwa na maji Ibolelo, Geita

Ni moja ya eneo lililopo mtaa wa Ibolelo, kata ya Nyankumbu mjini Geita ambalo limeathirika na mvua, Je wananchi wanaishi vipi katika mazingira haya?. Na: Ester Mabula – Geita Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Geita zimeendelea…

3 Disemba 2024, 11:56 mu

Wakazi wa Bahi road walalamika kero ya maji taka

Hali hiyo inahatarisha usalama wa afya za wananchi katika eneo hilo. Na Waandishi wetu. Wananchi wa Mtaa wa Bahi Road Jijini Dodoma  wamepaza sauti zao juu mitaro inayotiririsha majitaka na chemba katika maeneo yao. Wakizungumza na taswira ya habari wamesema…

2 Disemba 2024, 9:43 mu

Shule zatakiwa kuajiri mtaalam wa mazingira

Hayo yamejiri wakati wa mahafali ya 2 ya shule ya msingi na Awali ya English medium Bahi ambapo Wanafunzi 37 wamehitimu darasa la Awali na kutunukiwa vyeti Wavulana 16 na wasichana 21. Na Anselima KombaMkurugenzi Mtendaji Halimashauri ya Bahi Zaina…

28 Novemba 2024, 10:30 mu

Shule ya sekondari Bugalama wapanda miti 500 kutunza mazingira

Serikali na wadau mbalimbali wa mazingira wameendelea kuhamasisha jamii juu ya upandaji miti ambapo kwa mujibu wa wataalam wanaeleza kuwa miti imekuwa na faida nyingi katika kutunza mazingira. Na: Kale Chongela – Geita Uongozi wa shule ya sekondari Bugalama iliyopo kata ya…