Radio Tadio

Utalii

1 Agosti 2025, 18:08 um

SDA yataka usawa kwa wenye ulemavu

Ni warsha kujadili changamoto na fursa kwa watu wenye ulemavu, ikiwakutanisha viongozi wa serikali na wadau wa maendeleo, lengo ni kuimarisha elimu jumuishi na kuondoa mitazamo potofu. Na Mwanahamisi Chikambu Katika juhudi za kuendeleza elimu jumuishi na kuboresha maisha ya…

28 Julai 2025, 22:31 um

Mzee mlemavu wa macho aomba msaada wa makazi Mtwara

Mzee Salumu Somba mkazi wa Mnyengedi, Mtwara, mlemavu wa macho, anaomba msaada wa makazi, mavazi, na mahitaji ya msingi kwa ajili ya familia yake kutokana na hali ngumu ya maisha. Na Musa Mtepa Mzee Salumu Somba, mkazi wa Kijiji cha…

15 Julai 2025, 13:20

Viongozi, wafuasi vyama vya siasa watakiwa kutenda haki

Wakati zikiwa zimesalia siku chache kabla ya uchaguzi Mkuu wa mwezi oktoba viongozi na wafuasi wa vyama vya siasa wametakiwa kutenda haki Na Hagai Ruyagila Wajumbe wa vyama vya siasa mkoani Kigoma wanaoshiriki katika mchakato wa kura za maoni kwa…

17 Aprili 2025, 15:17 um

Ulemavu na Sanaa: Kipaji ndani ya sauti

Karibu kwenye makala maalum kupitia Jamii FM, Leo tunakuletea simulizi ya kusisimua, ya kuhamasisha, na yenye kugusa hisia, simulizi ya kijana mmoja jasiri, mwenye moyo wa chuma na sauti ya dhahabu juu ya Ulemavu na sanaa Na Msafiri Kipila John…

28 Januari 2025, 18:19

Madereva Bajaji Mbeya walia na ubovu wa barabara

Changamoto ya miundombinu ya barabara katika maeneo mengi ya jiji la Mbeya yamekuwa kero kwa madereva na wananchi. Na Josea Sinkala, Mbeya. Madereva wa pikipiki za magurudumu matatu almaarufu Bajaji wanaofanya safari zao kati ya Isyesye na Kabwe Mwanjelwa jijini…

Januari 27, 2025, 11:52 mu

Mahakama ya wilaya Kahama yazindua wiki ya sheria

kauli mbiu ya mwaka huu ‘‘Tanzania ya 2025 nafasi ya Taasisi zinazosimamia haki madai katika kufikia malengo mkuu ya dira ya Taifa ya maendeleo’’ Na Sebastian Mnakaya Wananchi wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika viwanja…

Januari 17, 2025, 2:06 um

Wananchi fanyeni makubaliano ya kimkataba

Maonesho ya Wiki ya sheria yataanza January 27 mwaka huu, hadi siku January 31 mwaka huu katika viwanja vya mahakama ya wilaya Kahama Na Sebastian Mnakaya Wananchi wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuwa na tabia ya kufanya makubaliano ya kimkataba…

3 Januari 2025, 5:42 um

TAKUKURU Manyara kuendeleza mapambano ya rushwa 2025

mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Manyara Bahati Haule amesema wataendelea kutoa elimu kwa wananchi kupitia TAKUKURU rafiki, lengo ikiwa ni kuitoa TAKUKURU ofisini na kuwafikia wananchi. Na Mzidalfa Zaid Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU mkoa wa Manyara,…