Radio Tadio

Utalii

4 December 2025, 17:41 pm

SDA yaadhimisha IDPWD kwa usafi wa mazingira

Ikiwa leo ni Siku ya Watu wenye Ulemavu Duniani, siku hii imeambatana na mabadiliko ya tabianchi na uwepo wa mabadiliko hayo kuna athari kwa watu wenye ulemavu. Na Grace Hamisi Shirika lisilo la kiserikali Sports Development Aids (SDA) kupitia mradi…

15 October 2025, 18:56 pm

Wanasalamu Kanda ya Kusini wamsaidia mwenye ulemavu

Wanasalamu Kanda ya Kusini kwa kushirikiana na Jamii FM wametoa msaada wa godoro na vifaa vya shule kwa Mzee Salumu Somba, mlemavu wa macho na mkazi wa Mnyengedi, baada ya kuguswa na hali yake kupitia kipindi cha Sikika. Wametoa wito…

9 October 2025, 21:49 pm

Viongozi Mkunwa wagusa maisha ya mzee Somba

Viongozi wa Kata ya Mkunwa wametoa msaada wa godoro, sabuni na taa kwa familia ya Mzee Salumu Somba ili kusaidia kupunguza changamoto za maisha zinazoikabili familia hiyo. Na Musa Mtepa Viongozi na watendaji wa vijiji katika Kata ya Mkunwa wametoa…

8 August 2025, 06:30 am

Jamii inachangiaje kuwalinda, kuwatunza watu wenye ulemavu?

“Hamisi Bakari anakiri kuwa changamoto kubwa anayokumbana nayo ni ukosefu wa eneo maalum la kufanyia biashara, kama angepata sehemu hiyo rasmi basi angeweza kupiga hatua zaidi za kimaendeleo kwa kuwa angeendesha biashara yake kwa utulivu na kujiimarisha zaidi kiuchumi” Na…

6 August 2025, 18:45 pm

Makala: Kuruthumu apatiwa msaada wa kununua kiatu maalum

“Kuruthumu amepatiwa msaada wa shilingi 300,000 kwa ajili ya gharama za ununuzi wa kiatu hicho maalumu. Huu ni mwanzo mpya kwa maisha yake, kwani sasa ataweza kushiriki ipasavyo katika shughuli za kila siku bila kikwazo kikubwa cha utembeaji” Na Msafiri…

1 August 2025, 18:08 pm

SDA yataka usawa kwa wenye ulemavu

Ni warsha kujadili changamoto na fursa kwa watu wenye ulemavu, ikiwakutanisha viongozi wa serikali na wadau wa maendeleo, lengo ni kuimarisha elimu jumuishi na kuondoa mitazamo potofu. Na Mwanahamisi Chikambu Katika juhudi za kuendeleza elimu jumuishi na kuboresha maisha ya…

28 July 2025, 22:31 pm

Mzee mlemavu wa macho aomba msaada wa makazi Mtwara

Mzee Salumu Somba mkazi wa Mnyengedi, Mtwara, mlemavu wa macho, anaomba msaada wa makazi, mavazi, na mahitaji ya msingi kwa ajili ya familia yake kutokana na hali ngumu ya maisha. Na Musa Mtepa Mzee Salumu Somba, mkazi wa Kijiji cha…

15 July 2025, 13:20

Viongozi, wafuasi vyama vya siasa watakiwa kutenda haki

Wakati zikiwa zimesalia siku chache kabla ya uchaguzi Mkuu wa mwezi oktoba viongozi na wafuasi wa vyama vya siasa wametakiwa kutenda haki Na Hagai Ruyagila Wajumbe wa vyama vya siasa mkoani Kigoma wanaoshiriki katika mchakato wa kura za maoni kwa…