Radio Tadio

Utalii

28 August 2024, 17:43

Wananchi wahimizwa kutunza miundombinu ya barabara Kyela

Mwenge WA Uhuru unaendeleaje kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika halmashauri ya wilaya ya Kyela mkoani Mbeya Na Hobokela Lwinga Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2024 Godfrey Mnzava Pamoja na timu yake ya Vijana Sita wamewaasa Wananchi hasa…

1 January 2024, 9:10 pm

Serengeti yaendelea kung’ara hifadhi bora barani Afrika

Hifadhi ya Taifa ya Serengeti imejipanga kuendelea kuboresha huduma mbalimbali ili kuwavutia watalii na kuifanya kuendelea kuwa hifadhi bora ya kwanza barani Afrika. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, Kamishna Msaidizi wa Hifadhi Moronda B. Moronda…

4 December 2023, 1:50 pm

Utalii wa ndani umeongezeka kwa 159%

Elimu ya utalii imeendelea kuwaingia wananchi hali ambayo imekuwa ikichochea ukuaji wa utalii wa ndani kwa kasi. Na Mrisho Sadick – Geita Idadi ya utalii wa ndani imeongezeka kwa asilimia 159 mwaka 2023 huku wananchi wakihimizwa kuendelea kutembelea nakuwekeza kwenye…

16 November 2023, 2:17 pm

Mbio za baiskeli kupamba tamasha la Chato utalii festival

Chato imedhamiria kukuza uchumi wake kupitia utalii kwa kutangaza vivutio vilivyopo katika eneo hilo kupitia matamasha mbalimbali ikiwemo la Chato Utalii Festival. Kuelekea katika tamasha la Chato Utalii Festival Novemba 26 mwaka huu , Mkuu wa wilaya ya Chato Deusdedit…