Radio Tadio

Uhuru

9 October 2025, 15:14 pm

CUF yasisitiza umuhimu wa kupiga kura,Octoba 29,2025

Mgombea urais wa CUF, Gombo Samandito Gombo, amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29, 2025, akiahidi huduma bora za jamii na maendeleo ya kweli endapo chama chake kitaunda serikali Na Musa Mtepa Mgombea urais kupitia tiketi ya Chama…

3 October 2025, 1:30 pm

‘Chanjo ya mbwa ni kinga ya maisha’

Kurunzi Maalum Katika jitihada za kukabiliana na ugonjwa hatari wa kichaa cha mbwa, jamii na serikali zinahimizwa kushirikiana ili kuhakikisha idadi kubwa ya mbwa wanapata chanjo kila mwaka. Ugonjwa huu, unaosababishwa na virusi, bado unaendelea kuwa tishio kwa binadamu na…

29 September 2025, 12:44 pm

Mgombea udiwani Chuno ataka ushirikiano wa wanawake katika siasa

Mgombea udiwani Kata ya Chuno kupitia CCM, Mariamu Chimbwahi, amewataka wanawake kuanza uongozi ngazi za chini ili kujijengea uzoefu, huku akihimiza ushirikiano baina yao na kushiriki katika shughuli za kiuchumi ili kujitegemea Na Musa Mtepa Wanawake wametakiwa kujitokeza kugombea nafasi…

22 September 2025, 10:13 pm

Mashimba Ndaki azindua kampeni za ubunge- Maswa magharibi

Niingia madarakani nitafanya kazi usiku na mchana kuhakikisha mradi wa maji ya ziwa Viktori unakamilika maana utazifaidisha kata zangu za Zanzui, mwamashimba, Buchambi na kata ya Busangi ambazo zinachangamoto ya Maji ” Mashimba Ndaki -mgombea ubunge maswa magharibi -ccm “…

15 September 2025, 5:52 pm

Dkt. Lugomela aahidi neema Maswa Mashariki

Nimekuwa serikalini kwa muda mrefu hivyo nina uzoefu wa namna ya kufuatilia na kuzitafutia ufumbuzi changamoto zinazowakabili wananchi wa Jimbo la Maswa Mashariki, ninachoomba wanipe ridhaa ya kwenda kuwasemea huko Bungeni ” Dkt George Lugomela “ Mgombea  Ubunge  kupitia  chama…

15 September 2025, 09:20 am

CCM Mtwara Mjini yataka mafiga matatu Oktoba 29

CCM Mtwara Mikindani yazindua kampeni Septemba 14, 2025, kwa wagombea ubunge na udiwani. Rehema Sombi ataka mshikamano na ushindi wa “mafiga matatu” – Diwani, Mbunge, Rais. Joel Nannauka na Arif Primji waahidi maendeleo na huduma bora kwa wananchi kupitia sera…

18 August 2025, 12:57 pm

Wanachama CCM Msimbati watishia kujiondoa uanachama

Wanachama zaidi ya 150 wa CCM Msimbati wamelalamikia kuondolewa kwa jina la Rashidi Linkoni aliyeshinda kura za maoni, wakitishia kurudisha kadi zao, huku viongozi wa wilaya wakisisitiza maamuzi ya kamati ya siasa Na Musa Mtepa Zaidi ya wanachama 150 wa…