Uhuru
24 Oktoba 2025, 15:32
Wenye ulemavu Kasulu kuchangamkia mikopo
Halmashauri ya mji Kasulu Mkoani Kigoma imewataka watu wenye ulemavu kujitokeza na kuchangamkia mikopo inayotolewa kwa makundi ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu. Na Hagai Ruyagila Watu wenye Ulemavu katika halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wameshauriwa kutumia fursa…
23 Oktoba 2025, 15:30
Kandahari kuanzisha mfuko kusaidia wenye ulemavu Uvinza
Watu wenye ulemavu wameomba jamii kutoendelea kuwanyanyapaa badala yake wawaelekeze na kuwasaidia ili nao waweze kufanya shughuli za kuwaingizia kipato na kuchangia pato la familia na Taifa Na Mwandishi wetuMgombea ubunge Jimbo la Kigoma kusini Nuru Kashakali maarufu Kandahari ameahidi…
22 Oktoba 2025, 12:29 um
ADA TADEA: Mkituchagua, wazee watalipwa posho kila mwisho wa mwezi
Wazee ni hazina ya Taifa maana wamelitumikia kwa nguvu zao zote hivyo tunapaswa kuwajali na kuwatunza ili wasiwe omba omba na kunyanyasika– ” Georges Busungu -Mgombea Urais Ada tadea “ Mgombea Urais kupitia Chama cha African Democratic Alliance Party ( ADA …
22 Oktoba 2025, 09:51
WCF yatoa viti mwendo kusaidia wenye mahitaji maalum Kasulu
Watu wenye mahitaji maalum hawana budi kushirikishwa kikamilifu katika shughuli za kijamii na kiuchumi ikiwa ni sehemu ya kujenga jamii jumuishi Na Hagai Ruyagila Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) umetoa msaada wa viti mwendo 11 vyenye thamani ya shilingi…
15 Oktoba 2025, 09:28
Dkt. Mpango: Wananchi tudumishe amani, tumuenzi baba wa taifa
Mbio za mwenge kitaifa kitaifa 2025 zimehitimishwa rasmi mkoani Mbeya baada kukimbizwa kwa siku 195 nchi nzima. Na Hobokela Lwinga Makamu wa Rais Tanzania mhe.Philip Mpango amewataka wananchi wakiwemo vijana kuhakikisha Wanasimamia misingi iliyoachwa na baba wa taifa mwalimu Julias…
13 Oktoba 2025, 19:41
Serikali imeendelea kuchukua hatua kuimarisha ustahimilivu wa Taifa dhidi ya maj…
Serikali imeendelea kushirikiana na sekta binafsi na wewe jamii Kukabiliana na maafa. Na Hobokela Lwinga Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezitaka wizara na taasisi za kisekta kutenga bajeti kwa ajili ya maafa huku sekta binafsi zikitakiwa kuwa na uwekezaji stahimilivu juu…
9 Oktoba 2025, 15:14 um
CUF yasisitiza umuhimu wa kupiga kura,Octoba 29,2025
Mgombea urais wa CUF, Gombo Samandito Gombo, amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29, 2025, akiahidi huduma bora za jamii na maendeleo ya kweli endapo chama chake kitaunda serikali Na Musa Mtepa Mgombea urais kupitia tiketi ya Chama…
3 Oktoba 2025, 1:30 um
‘Chanjo ya mbwa ni kinga ya maisha’
Kurunzi Maalum Katika jitihada za kukabiliana na ugonjwa hatari wa kichaa cha mbwa, jamii na serikali zinahimizwa kushirikiana ili kuhakikisha idadi kubwa ya mbwa wanapata chanjo kila mwaka. Ugonjwa huu, unaosababishwa na virusi, bado unaendelea kuwa tishio kwa binadamu na…
29 Septemba 2025, 12:44 um
Mgombea udiwani Chuno ataka ushirikiano wa wanawake katika siasa
Mgombea udiwani Kata ya Chuno kupitia CCM, Mariamu Chimbwahi, amewataka wanawake kuanza uongozi ngazi za chini ili kujijengea uzoefu, huku akihimiza ushirikiano baina yao na kushiriki katika shughuli za kiuchumi ili kujitegemea Na Musa Mtepa Wanawake wametakiwa kujitokeza kugombea nafasi…
22 Septemba 2025, 10:13 um
Mashimba Ndaki azindua kampeni za ubunge- Maswa magharibi
Niingia madarakani nitafanya kazi usiku na mchana kuhakikisha mradi wa maji ya ziwa Viktori unakamilika maana utazifaidisha kata zangu za Zanzui, mwamashimba, Buchambi na kata ya Busangi ambazo zinachangamoto ya Maji ” Mashimba Ndaki -mgombea ubunge maswa magharibi -ccm “…