Radio Tadio

Uhuru

25 Oktoba 2025, 21:34

DC Mbeya ahamasisha wananchi kupiga kura October 29, 2025

Kupiga kura ni haki ya msingi kwa kila mwananchi alikidhi vigezo ikiwemo umri.‎‎ Na Hobokela Lwinga ‎‎Wananchi halmashauri ya wilaya ya Mbeya wameshiriki matembezi ya pole kwa lengo la kujipongeza kwa ushindi wa mbio za Mwenge kikanda oktoba 14,2025 na…

24 Oktoba 2025, 15:32

Wenye ulemavu Kasulu kuchangamkia mikopo

Halmashauri ya mji Kasulu Mkoani Kigoma imewataka watu wenye ulemavu kujitokeza na kuchangamkia mikopo inayotolewa kwa makundi ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu. Na Hagai Ruyagila Watu wenye Ulemavu katika halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wameshauriwa kutumia fursa…

23 Oktoba 2025, 15:30

Kandahari kuanzisha mfuko kusaidia wenye ulemavu Uvinza

Watu wenye ulemavu wameomba jamii kutoendelea kuwanyanyapaa badala yake wawaelekeze na kuwasaidia ili nao waweze kufanya shughuli za kuwaingizia kipato na kuchangia pato la familia na Taifa Na Mwandishi wetuMgombea ubunge Jimbo la Kigoma kusini Nuru Kashakali maarufu Kandahari ameahidi…

22 Oktoba 2025, 09:51

WCF yatoa viti mwendo kusaidia wenye mahitaji maalum Kasulu

Watu wenye mahitaji maalum hawana budi kushirikishwa kikamilifu katika shughuli za kijamii na kiuchumi ikiwa ni sehemu ya kujenga jamii jumuishi Na Hagai Ruyagila Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) umetoa msaada wa viti mwendo 11 vyenye thamani ya shilingi…

15 Oktoba 2025, 09:28

Dkt. Mpango: Wananchi tudumishe amani, tumuenzi baba wa taifa

Mbio za mwenge kitaifa kitaifa 2025 zimehitimishwa rasmi mkoani Mbeya baada kukimbizwa kwa siku 195 nchi nzima. Na Hobokela Lwinga Makamu wa Rais Tanzania mhe.Philip Mpango amewataka wananchi wakiwemo vijana kuhakikisha ‎Wanasimamia misingi iliyoachwa na baba wa taifa mwalimu Julias…

09/10/2025, 15:14

CUF yasisitiza umuhimu wa kupiga kura,Octoba 29,2025

Mgombea urais wa CUF, Gombo Samandito Gombo, amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29, 2025, akiahidi huduma bora za jamii na maendeleo ya kweli endapo chama chake kitaunda serikali Na Musa Mtepa Mgombea urais kupitia tiketi ya Chama…

3 Oktoba 2025, 1:30 um

‘Chanjo ya mbwa ni kinga ya maisha’

Kurunzi Maalum Katika jitihada za kukabiliana na ugonjwa hatari wa kichaa cha mbwa, jamii na serikali zinahimizwa kushirikiana ili kuhakikisha idadi kubwa ya mbwa wanapata chanjo kila mwaka. Ugonjwa huu, unaosababishwa na virusi, bado unaendelea kuwa tishio kwa binadamu na…

29/09/2025, 12:44

Mgombea udiwani Chuno ataka ushirikiano wa wanawake katika siasa

Mgombea udiwani Kata ya Chuno kupitia CCM, Mariamu Chimbwahi, amewataka wanawake kuanza uongozi ngazi za chini ili kujijengea uzoefu, huku akihimiza ushirikiano baina yao na kushiriki katika shughuli za kiuchumi ili kujitegemea Na Musa Mtepa Wanawake wametakiwa kujitokeza kugombea nafasi…