Miundombinu
5 Aprili 2023, 13:21
Tozo za mafuta na dizeli kujenga km 36 barabara wilayani Bahi
Kukamilika kwa barabara hiyo ambayo inajengwa kwa kiwango cha changarawe kutachochea maendeleo ya wananchi wa maeneo hayo. Na Benard Magawa Zaidi ya shilingi Millioni 919 za Tozo ya mafuta ya dizeli na Petrol kutoka serikali kuu zinatarajia kukamilisha ujenzi wa…
4 Aprili 2023, 15:20
Mteremko mkali tishio kwa maafisa usafirishaji kisima cha nyoka
Kwa mujibu wa wakazi wa eneo hilo wamesema kuwa ni vyema serikali kuendelea kuboresha mazingira ya miundombinu ya barabara kutokana na umuhimu wake katika shughuli mbalimbali za kijaamii pamoja na kiuchumi. Na Thadei Tesha. Baadhi ya vijana wanaojihusisha na biashara…
4 Aprili 2023, 5:55 mu
Wananchi Makongolo Walia na Ukosefu wa Maji
MPANDA Wananchi wa kijiji cha Makongolo kata ya magamba halamshauri ya manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameulalamikia uongozi wa kijiji hicho kwa kushindwa kutatua changamoto ya maji ambayo imekuwa kikwazo katika shughuli zao za kila siku. Wakizungumza na kituo hiki…
30 Machi 2023, 17:34
Katibu mkuu aridhishwa na maendeleo ya miradi ya ujenzi
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi ameridhishwa na maendeleo ya miradi ya ujenzi inayosimamiwa na Ofisi hiyo. Na Seleman Kodima. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi ameridhishwa na…
29 Machi 2023, 8:29 mu
Wananchi kata ya Nsemulwa walia na barabara
MPANDA Baadhi ya wananchi wa Kata ya Nsemlwa Halmashuri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameiomba serikali kutengeneza miundombivu mibovu ya barabara iliyopo katika kata hiyo katika kipindi hiki cha mvua za masika ili kuwaondolea adha wanayokutana nayo. Wakizungumza na…
27 Machi 2023, 15:42
Wananchi washiriki ujenzi wa barabara Bahi sokoni
Na Bernad Magawa. Wananchi wa kijiji cha Bahi sokoni wamejitokeza kwa wingi kushiriki Ujenzi wa Barabara inayotarajiwa kuunganisha mawasiliano ya wananchi wa kijiji hicho na kitongoji cha Sanduli ambacho hakikuwa na barabara. Barabara hiyo ambayo inajengwa kwa nguvu za wananchi…
25 Machi 2023, 12:38 mu
Wananchi Kayenze wajipanga kuchangishana kujenga choo cha soko
KATAVIKijiji cha Kayenze kata ya Katuma Wilayani Tanganyika mkoani Katavi kimepanga kuchangishana kwa ajili ya ukamilishaji wa Jengo la Choo katika Soko Linalomilikiwa na kijiji. Diwani wa kata ya katuma Paulo Pamasi ameiambia mpanda Radio kuwa kuanzia mwezi ujao mara…
23 Machi 2023, 12:29
Halmashauri ya jiji la Dodoma kupunguza adha ya madawati shuleni
Mkakati huo utasaidia kupunguza adha ya madawati inayo zikabili shule nyingi jijini Dodoma Na Fred Cheti. Halmashauri ya jiji la Dodoma imepanga kutengeneza madawati na kuyagawa kwa shule zote za serikali za Msingi na Sekondari zilizopo jijini hapa ili kupunguza…
22 Machi 2023, 19:23
Wananchi Bahi waomba kupunguziwa gharama za kuunganishiwa umeme
Wananchi wilayani Bahi wameliomba shirika la umeme Tanzania (TANESCO) kuwapunguzia gharama za kuunganishiwa umeme kwa matumizi ya nyumbani. Na Benard Magawa. Wananchi wilayani Bahi wameliomba shirika la umeme Tanzania (TANESCO) kuwapunguzia gharama za kuunganishiwa umeme kwa matumizi ya nyumbani kutoka…
21 Machi 2023, 17:06
Wahandisi wa SGR watakiwa kusimamia fidia za wananchi
Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Gondwe ametoa maelekezo kwa wahandisi wanaosimamia mradi wa reli ya treni ya Mwendo kasi kuhakikisha wanashughulikia kero wananchi ambao hadi sasa hawajalipwa fidia za ardhi. Na Bernad Magawa. Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa…