Miundombinu
27/03/2023, 15:42
Wananchi washiriki ujenzi wa barabara Bahi sokoni
Na Bernad Magawa. Wananchi wa kijiji cha Bahi sokoni wamejitokeza kwa wingi kushiriki Ujenzi wa Barabara inayotarajiwa kuunganisha mawasiliano ya wananchi wa kijiji hicho na kitongoji cha Sanduli ambacho hakikuwa na barabara. Barabara hiyo ambayo inajengwa kwa nguvu za wananchi…
25 Machi 2023, 12:38 mu
Wananchi Kayenze wajipanga kuchangishana kujenga choo cha soko
KATAVIKijiji cha Kayenze kata ya Katuma Wilayani Tanganyika mkoani Katavi kimepanga kuchangishana kwa ajili ya ukamilishaji wa Jengo la Choo katika Soko Linalomilikiwa na kijiji. Diwani wa kata ya katuma Paulo Pamasi ameiambia mpanda Radio kuwa kuanzia mwezi ujao mara…
23/03/2023, 12:29
Halmashauri ya jiji la Dodoma kupunguza adha ya madawati shuleni
Mkakati huo utasaidia kupunguza adha ya madawati inayo zikabili shule nyingi jijini Dodoma Na Fred Cheti. Halmashauri ya jiji la Dodoma imepanga kutengeneza madawati na kuyagawa kwa shule zote za serikali za Msingi na Sekondari zilizopo jijini hapa ili kupunguza…
22/03/2023, 19:23
Wananchi Bahi waomba kupunguziwa gharama za kuunganishiwa umeme
Wananchi wilayani Bahi wameliomba shirika la umeme Tanzania (TANESCO) kuwapunguzia gharama za kuunganishiwa umeme kwa matumizi ya nyumbani. Na Benard Magawa. Wananchi wilayani Bahi wameliomba shirika la umeme Tanzania (TANESCO) kuwapunguzia gharama za kuunganishiwa umeme kwa matumizi ya nyumbani kutoka…
21/03/2023, 17:06
Wahandisi wa SGR watakiwa kusimamia fidia za wananchi
Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Gondwe ametoa maelekezo kwa wahandisi wanaosimamia mradi wa reli ya treni ya Mwendo kasi kuhakikisha wanashughulikia kero wananchi ambao hadi sasa hawajalipwa fidia za ardhi. Na Bernad Magawa. Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa…
20/03/2023, 15:25
Taka ngumu zatajwa kuharibu mifumo ya maji taka
Jiji la Dodoma linakisiwa kuzalisha tani 350 za taka ngumu kwa siku ambapo kata za nje ya mji uzalishaji tani 114 na Kata za mjini uzalisha ni tani 236. Na Mindi Joseph. Utupaji wa taka Ngumu Ovyo umetajwa kuwa na…
17/03/2023, 16:34
Wananchi kulipwa fidia ya bilioni 10 kupisha ujenzi wa barabara Ntyuka
Barabara hiyo inajengwa kwa kiwango cha lami inagharimu kiasi cha shilingi Bilioni 38 na hadi kufikia mwezi Feburuary ujenzi umefikia asilimia 4. Na Mindi Joseph. Jumla ya wananchi 1522 Mkoani Dodoma wanatarajiwa kulipwa fidia ya shilingi bilioni 10 ili kupisha…
15/03/2023, 15:23
Wananchi watarajia kuondokana na tatizo la kukosekana kwa daraja Bahi
Wananchi wanatarajia kuondokana na tatizo la kukosekana kwa daraja la Mto Nkogwa kutokana na daraja lililokuwepo hapo awali kusombwa na maji mwisho mwa mwaka jana. Na Bernad Magawa. Wananchi wa kijiji cha Bahi sokoni wilaya ya Bahi Wanatarajia kuondokana na…
11/03/2023, 18:05
Watendaji kata wakabidhiwa pikipiki Kilosa
Katika kurahisisha utendaji kazi wa kuyafikia maeneo yote yaliyopo katika kata serikali imewapatia maafisa watendaji kata pikipiki ambazo zitawasaidia kuwafikisha maeneo ambayo walikua hawayafikii kiurahisi kutokana na umbali uliopo. Awali viongozi wa kata walikua wanakabiliwa na changamoto ya usafiri kwa…
10/03/2023, 16:37
Nzuguni waeleza kunufaika na Barabara
Wakazi hao wameiomba serikali kukamilisha ujenzi wa barabara inayoelekea Nzuguni B sambamba na kutoa elimu ya matumizi ya alama za barabarani. Na Thadei Tesha Baadhi ya wananchi wanaojishughulisha na biashara mbalimbali katika eneo la Nzuguni Boda jijini Dodoma wamesema kukamilika…