Miundombinu
23 Machi 2023, 12:29 um
Halmashauri ya jiji la Dodoma kupunguza adha ya madawati shuleni
Mkakati huo utasaidia kupunguza adha ya madawati inayo zikabili shule nyingi jijini Dodoma Na Fred Cheti. Halmashauri ya jiji la Dodoma imepanga kutengeneza madawati na kuyagawa kwa shule zote za serikali za Msingi na Sekondari zilizopo jijini hapa ili kupunguza…
22 Machi 2023, 7:23 um
Wananchi Bahi waomba kupunguziwa gharama za kuunganishiwa umeme
Wananchi wilayani Bahi wameliomba shirika la umeme Tanzania (TANESCO) kuwapunguzia gharama za kuunganishiwa umeme kwa matumizi ya nyumbani. Na Benard Magawa. Wananchi wilayani Bahi wameliomba shirika la umeme Tanzania (TANESCO) kuwapunguzia gharama za kuunganishiwa umeme kwa matumizi ya nyumbani kutoka…
21 Machi 2023, 5:06 um
Wahandisi wa SGR watakiwa kusimamia fidia za wananchi
Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Gondwe ametoa maelekezo kwa wahandisi wanaosimamia mradi wa reli ya treni ya Mwendo kasi kuhakikisha wanashughulikia kero wananchi ambao hadi sasa hawajalipwa fidia za ardhi. Na Bernad Magawa. Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa…
20 Machi 2023, 3:25 um
Taka ngumu zatajwa kuharibu mifumo ya maji taka
Jiji la Dodoma linakisiwa kuzalisha tani 350 za taka ngumu kwa siku ambapo kata za nje ya mji uzalishaji tani 114 na Kata za mjini uzalisha ni tani 236. Na Mindi Joseph. Utupaji wa taka Ngumu Ovyo umetajwa kuwa na…
17 Machi 2023, 4:34 um
Wananchi kulipwa fidia ya bilioni 10 kupisha ujenzi wa barabara Ntyuka
Barabara hiyo inajengwa kwa kiwango cha lami inagharimu kiasi cha shilingi Bilioni 38 na hadi kufikia mwezi Feburuary ujenzi umefikia asilimia 4. Na Mindi Joseph. Jumla ya wananchi 1522 Mkoani Dodoma wanatarajiwa kulipwa fidia ya shilingi bilioni 10 ili kupisha…
15 Machi 2023, 3:23 um
Wananchi watarajia kuondokana na tatizo la kukosekana kwa daraja Bahi
Wananchi wanatarajia kuondokana na tatizo la kukosekana kwa daraja la Mto Nkogwa kutokana na daraja lililokuwepo hapo awali kusombwa na maji mwisho mwa mwaka jana. Na Bernad Magawa. Wananchi wa kijiji cha Bahi sokoni wilaya ya Bahi Wanatarajia kuondokana na…
11 Machi 2023, 6:05 um
Watendaji kata wakabidhiwa pikipiki Kilosa
Katika kurahisisha utendaji kazi wa kuyafikia maeneo yote yaliyopo katika kata serikali imewapatia maafisa watendaji kata pikipiki ambazo zitawasaidia kuwafikisha maeneo ambayo walikua hawayafikii kiurahisi kutokana na umbali uliopo. Awali viongozi wa kata walikua wanakabiliwa na changamoto ya usafiri kwa…
10 Machi 2023, 4:37 um
Nzuguni waeleza kunufaika na Barabara
Wakazi hao wameiomba serikali kukamilisha ujenzi wa barabara inayoelekea Nzuguni B sambamba na kutoa elimu ya matumizi ya alama za barabarani. Na Thadei Tesha Baadhi ya wananchi wanaojishughulisha na biashara mbalimbali katika eneo la Nzuguni Boda jijini Dodoma wamesema kukamilika…
9 Machi 2023, 1:04 um
Uhujumu miundombinu chanzo huduma mbovu za maji, umeme Katavi
KATAVI Uhujumu wa miundombinu Imetajwa kuwa sababu inayopelekea Kupunguza utoaji huduma bora kwa Jamii Mkoani Katavi kwa shirika la Umeme Tanzania [Tanesco] na Mamlaka ya maji safi na usafi wa Mazingira Mpanda [MUWASA]. Wakizungumza wakati wakitoa makadirio ya bajeti za…
7 Machi 2023, 4:11 um
Ujenzi wa barabara watajwa kuwa kichocheo cha fursa
Sekta ya barabara imekuwa na mchango mkubwa katika shughuli mbalimbali ikiwemo usafirishaji wa bidhaa. Na Thadei Tesha. Ujenzi wa barabara kuelekea mtaa wa Ntyuka jijini dodoma unatajwa kuwa chanzo cha kuchochea zaidi fursa za kiuchumi. hayo ni kwa mjibu wa…