Migogoro
13 Febuari 2026, 4:29 um
Halmashauri ya Mpwapwa kukusanya bil 52.8 mwaka 2026/2027
Aidha Katika makusanyo ya mapato Kwa Robo ya pili Kwa mkoa wa Dodoma halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imekuwa ya mwisho Katika ukusanyaji Kwa Katika wilaya nane za mkoa huo. Na Steven Noel. Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imepanga kukusanya…
4 Febuari 2026, 9:21 mu
Mume ang’atwa mdomo kisa mchepuko
Baada ya kupatiwa matibabu. Picha na Anna Mhina “Niligongewa mlango saa tano za usiku “ Na Anna Mhina Kijana mmoja ambaye jina lake limehifadhiwa anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 30-35 mkazi wa mtaa wa Mpadeko uliopo kata…
14 Januari 2026, 2:50 um
‘Kushiriki shughuli za maendeleo ni wajibu kwa mwananchi’
Sheria ya Serikali za Mitaa Sura ya 287 ( Mamlaka za Serikali za Mitaa- Wilaya) na Sura ya 288 ( Mamlaka za Serikali Mitaa- Miji) zinatambua na kusisitiza wananchi katika kupanga na kutekeleza miradi ya maendeleo, kuhudhuria mikutano ya vijiji…
13 Januari 2026, 1:27 um
Ukosefu wa elimu ya fedha changamoto kwa vijana
Picha ni mmoja wa wanufaika wa mkopo wa asilimia 10 kata ya Kizota jijini Dodoma. Picha na Dodoma FM. Lengo la mkopo wa asilimia 10 wa halmashauri ni kusaidia vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, ili kukuza maendeleo…
8 Januari 2026, 7:39 um
Khambay aahidi kukuza elimu Babati Mji
Mbunge wa jimbo la Babati Mjini Mhe Emmanuel Khambay amehaidi kusaidia wananchi wa jimbo hilo kupata Kituo cha kudurufu mitihani ya majaribio kwa wanafunzi wanaosoma sekondari ili kupandisha ufaulu wao kwa shule za serikali zilizopo jimboni kwake. Na Marino Kawishe Akizungumza…
7 Januari 2026, 3:13 um
TAHEA yawaandaa vijana kujikwamua kiuchumi
Picha ni Zaituni Ally Liyendikiye, Afisa Mradi kutoka Shirika la TAHEA, katika kipindi cha Dodoma Live. Picha na Noah Patrick. Shirika la TAHEA linaendelea kutoa wito kwa wadau mbalimbali kushirikiana katika kuwawezesha vijana, ili kujenga jamii yenye vijana wenye afya,…
5 Januari 2026, 4:46 um
Daraja jipya Mlowa laondoa kero ya usafiri kwa wananchi
Ujenzi wa daraja hilo unakadiliwa kutumia zaidi ya Milioni mia tano ukiwa chini ya usimamizi wa mamlaka ya usimamizi barabara vijijini TARURA. Na Victor Chigwada. Kukamilika kwa daraja linalounganisha kata za Mlowa barabarani, Iringa Mvumi na Makang’wa imekuwa chanzo cha…
19 Disemba 2025, 3:14 um
Serikali kuhakikisha watoto wanaoishi mazingira magumu wanafikiwa
Serikali ilichukua hatua ya haraka ya kufuatilia hali ya mtoto huyo baada ya kupata taarifa hizo kwa kumtafuta Bibi wa mtoto huyo katika hospitali ya Agha Khan jijini Dodoma. Na Mariam Matundu. Serikali imeendelea kusimamia na kuhakikisha kwamba watoto wote…
18 Disemba 2025, 4:10 um
Mahudhurio hafifu mkutano wa mtaa mwenyekiti avunja kikao
Mkutano ulioitishwa ulikuwa na ajenda muhimu kama vile ardhi hivyo ni vigumu kuendesha ajenda hizo muhimu na kuchangia na mawazo ya watu wachache. Na Victor Chigwada. Wananchi wa mtaa wa Ihumwa A wametakiwa kuhudhuria mikutano ya mtaa ili kushiriki maamuzi…
13 Disemba 2025, 8:45 um
Milion 330.7 kujenga shule mpya Nyasura
Ujenzi huo utahusisha vyumba vya madarasa 6, jengo la utawala, vyoo matundu 18, Pamoja na vyumba viwili vya madarasa vya elimu ya awali. Na Adelinus Banenwa Kutokana na msongamano wa wanafunzi shule ya msingi Nyasura iliyopo kata ya Nyasura mjini…