Radio Tadio

Migogoro

19 Machi 2026, 16:24

Watendaji wa mitaa kuimarisha ufuatiliaji wa ujenzi na biashara

Ufuatiliaji wa biashara unalenga kuhakikisha kila mfanyabiashara anafanya shughuli zake kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu . Na Mariam Kasawa. Watendaji wa Mitaa na Kata kutoka Kanda Namba Mbili aktika Manisipaa ya Dodoma wamekumbushwa kuimarisha ufuatiliaji wa shughuli za ujenzi…

4 Febuari 2026, 9:21 mu

Mume ang’atwa mdomo kisa mchepuko

Baada ya kupatiwa matibabu. Picha na Anna Mhina “Niligongewa mlango saa tano za usiku “ Na Anna Mhina Kijana mmoja ambaye jina lake limehifadhiwa anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 30-35 mkazi wa mtaa wa Mpadeko uliopo kata…

13 Januari 2026, 13:27

Ukosefu wa elimu ya fedha changamoto kwa vijana

Picha ni mmoja wa wanufaika wa mkopo wa asilimia 10 kata ya Kizota jijini Dodoma. Picha na Dodoma FM. Lengo la mkopo wa asilimia 10 wa halmashauri ni kusaidia vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, ili kukuza maendeleo…

8 Januari 2026, 19:39

Khambay aahidi kukuza elimu Babati Mji

Mbunge wa jimbo la Babati Mjini Mhe Emmanuel Khambay amehaidi kusaidia wananchi wa jimbo hilo kupata Kituo cha kudurufu mitihani ya majaribio kwa wanafunzi wanaosoma sekondari ili kupandisha ufaulu wao kwa shule za serikali zilizopo jimboni kwake. Na Marino Kawishe Akizungumza…

7 Januari 2026, 15:13

TAHEA yawaandaa vijana kujikwamua kiuchumi

Picha ni Zaituni Ally Liyendikiye, Afisa Mradi kutoka Shirika la TAHEA, katika kipindi cha Dodoma Live. Picha na Noah Patrick. Shirika la TAHEA linaendelea kutoa wito kwa wadau mbalimbali kushirikiana katika kuwawezesha vijana, ili kujenga jamii yenye vijana wenye afya,…

5 Januari 2026, 16:46

Daraja jipya Mlowa laondoa kero ya usafiri kwa wananchi

Ujenzi wa daraja hilo unakadiliwa kutumia zaidi ya Milioni mia tano ukiwa chini ya usimamizi wa mamlaka ya usimamizi barabara vijijini TARURA. Na Victor Chigwada. Kukamilika kwa daraja linalounganisha kata za Mlowa barabarani, Iringa Mvumi na Makang’wa imekuwa chanzo cha…

18 Disemba 2025, 16:10

Mahudhurio hafifu mkutano wa mtaa mwenyekiti avunja kikao

Mkutano ulioitishwa ulikuwa na ajenda muhimu kama vile ardhi hivyo ni vigumu kuendesha ajenda hizo muhimu na kuchangia na mawazo ya watu wachache. Na Victor Chigwada. Wananchi wa mtaa wa Ihumwa A wametakiwa kuhudhuria mikutano ya mtaa ili kushiriki maamuzi…