Radio Tadio

Migogoro

18 October 2024, 8:04 pm

Vitongoji 150 kupata umeme wa REA Dodoma

Na Mariam Matundu. Vitongoji mia moja na hamsini katika mkoa wa Dodoma vinatarajia kufikishiwa umeme wa REA kupitia mpango wa vijiji kumi na tano kila jimbo. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ameyasema hayo Oct. 18, 2024 wakati wa…

7 October 2024, 7:01 pm

Kongwa mfano wa kuigwa utekelezaji  miradi ya maendeleo

Na Fred Cheti                                          Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma imekuwa kinara katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule, amebainisha hayo katika ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo Wilayani Kongwa wakati akiambatana na…

20 September 2024, 7:51 pm

Mavunde aweka alama ya kudumu Dodoma

Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma ambayo ina umr iwa miaka 104  inauwezo wa kuhudumia wagonjwa zaidi ya 1,500 kwa siku moja imekuwa na changamoto ya kuwa na miundombiny ya jengo la kusubiria wangonjwa kwa wananchi. Na Mindi Joseph…

6 September 2024, 9:03 pm

Nala kusahau adha ya maji

Na Mindi Joseph . Wakazi wa Nala wataondokana na changamoto mbalimbali zinazowakabili kwa sasa kutokana na kukosekana kwa huduma thabiti ya maji safi. Wakieleza kwa nyakati tofauti, gharama zianazowakabili ni pamoja na gharama kubwa ya kupata huduma ya maji toka…

31 July 2024, 5:48 pm

Mpangilio wa maendeleo katika mtaa wa Swaswa

Wataalamu wamekwisha kuwasili kwaajili ya kuanza maboresho mara moja. Na Yussuph Hassan.Na leo moja kwa moja katika kipindi chetu cha FAHARI YA DODOMA tumeangazia moja ya mtaa maarufu unaopatikana jijini Dodoma unaojulikana kwa jina la Swaswa ambao tumekwisha kuona asili…

16 December 2023, 5:23 pm

Zaidi ya Heka 6 za mahindi zafyekwa na serikali

Kufuatia agizo la manispaa ya Mpanda ambalo linazuia  kulima mazao marefu katikati ya makazi ya watu zoezi la kufyeka mazao Kwa ambao walikaidi agizo hilolimeendelea. Na Mwandishi wetu – Mpanda Kufuatia agizo la manispaa ya Mpanda ambalo linazuia  kulima mazao…

23 October 2023, 11:55 am

Amuua kaka yake kisa shamba la urithi

Matukio ya mauaji ya watu wakigombea mali za urithi yameshamiri kwa mikoa ya Kanda ya ziwa hasa yakiwahusisha ndugu wa karibu, ambapo wananchi wamelimba jeshi la polisi kwa kushirikiana na asasi za Kiraia wanalojukumu la kuzidi kutoa elimu zaidi dhiidi…