Migogoro
13 Disemba 2025, 8:45 um
Milion 330.7 kujenga shule mpya Nyasura
Ujenzi huo utahusisha vyumba vya madarasa 6, jengo la utawala, vyoo matundu 18, Pamoja na vyumba viwili vya madarasa vya elimu ya awali. Na Adelinus Banenwa Kutokana na msongamano wa wanafunzi shule ya msingi Nyasura iliyopo kata ya Nyasura mjini…
8 Disemba 2025, 5:02 um
Viongozi wapya wataja vipaumbele kuboresha huduma kwa wananchi
Picha ni Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma, Mhe. Alimwoni Chaula wakati wa mkutano wa kwanza wa Baraza la Madiwani uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya. Ikumbukwe kuwa, katika uchaguzi uliofanyika hivi karibuni, Madiwani…
8 Disemba 2025, 4:28 um
Uwajibikaji, ushirikiano, weledi vyatajwa kuwa nguzo muhimu kwa madiwani
Picha ni Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe. Alhaji Jabir Shekimweri katika mkutano wa kwanza wa Baraza la Madiwani. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya. Shekimweri amesisitiza umuhimu wa madiwani kushirikiana na watendaji wa halmashauri katika kutekeleza miradi ya…
14 Oktoba 2025, 12:36 um
Mvua zatatiza shughuli Idifu, wananchi waomba daraja
Hali hiyo imekuwa ikisababisha usumbufu mkubwa kwa wakulima na wafanyabiashara hasa msimu wa masika. Na Victor Chigwada. Wananchi wa vitongoji vya Mugu na Mjiha, vilivyopo Kata ya Idifu, Wilaya ya Chamwino, wameiomba serikali kujenga daraja katika eneo la Nyika, ambalo…
14 Oktoba 2025, 12:13 um
Changamoto ya maji Chanhumba karibu kutatuliwa
Hatua ya kufungwa kwa transifoma mpya katika kijiji cha Chanhumba italeta faraja kwa wananchi waliokuwa wakikabiliwa na upungufu wa maji. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji cha Chanhumba, Kata ya Handali, Wilaya ya Chamwino, wameanza kupata matumaini juu ya utatuzi…
9 Oktoba 2025, 5:17 um
Wanawake, vijana na wenye ulemavu wapata elimu ya mikopo
Picha ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Khatibu Kazungu, wakati akifungua mafunzo kwa vikundi , katika ukumbi wa Nala Hotel, Jijini Dodoma. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.Dkt. Kazungu amesema mafunzo hayo yanalenga kuongeza ujuzi na maarifa…
9 Oktoba 2025, 10:31 mu
Kanda namba tatu yatoa elimu ya mapato Mbalawala
Picha ni baadhi wa wananchi wakiwa na mifugo yao katika Mnada wa Mbalawala. Picha na Lilian Leopold. Katika ziara hiyo, timu ya watumishi wa kanda ilishiriki katika shughuli za makusanyo ya ushuru wa mifugo, biashara ndogo ndogo, pamoja na utoaji…
8 Oktoba 2025, 11:12 mu
Visima vya TASAF vyaleta nafuu, foleni ya maji yaendelea Mjeloo
. Wameongeza kuwa mbali na visima hivyo lakini bado wamekuwa wakitumia muda mwingi kukaa kwenye foleni kwani visima hivyo havitoi maji yakutosha. Na Victor Chigwada. Wananchi Kijiji Cha Mjeloo, wilaya ya Chamwino wamesema kuwa pamoja na uhaba wa huduma ya…
2 Oktoba 2025, 3:42 um
Mikopo ya 10% yawakwamua vijana kiuchumi
Mikopo hiyo inawapa faida zaidi ikilinganishwa na mikopo mingine ya mtaani ambayo mara nyingi ina riba kubwa. Na VictorChigwada. Vijana wa Kata ya Msamalo, Wilaya ya Chamwino, wameipongeza serikali kwa kujali kundi la vijana, wanawake, na watu wenye ulemavu kwa…
1 Oktoba 2025, 12:04 um
Kukosekana kwa kiinua mgongo, mshahara kilio kwa wenyeviti
Wamesema hali hiyo imewavunja moyo kuendelea kutumikia wananchi bila malipo ya kifuta jasho.Wanaiomba serikali kuwatambua kama sehemu ya ngazi za uongozi na kuwapa posho za kila mwezi. Picha na Blogsport. Kilio hiki cha wenyeviti kukosa mishahara au kifuta jasho kimeendelea…