Mazingira
Septemba 21, 2025, 8:56 um
Machifu Songwe waombea uchaguzi
Umoja wa Machifu umefanya dua maalumu kusisitiza amani, utulivu na mshikamano Na Devi Mgale UMOJA wa Machifu Mkoa wa Songwe umefanya dua maalumu ya kuombea uchaguzi wa mwaka huu uwe wa amani na utulivu. Dua hiyo imefanyika Septemba 20, katika…
18 Septemba 2025, 7:38 um
Wananchi Geita waipongeza Storm FM kutimiza miaka 11
Storm FM imekuwa daraja la kuunganisha jamii ya Geita kupitia vipindi vyake vya elimu, michezo, habari na burudani, jambo ambalo limewasaidia kuongeza mshikamano. Na Boaz Azalia: Wananchi mkoani Geita wameipongeza Storm FM kwa kutimiza miaka 11 leo tangu ianze kurusha…
8 Septemba 2025, 14:43
Sangoma arudisha matunguli kanisani na kuokoka Uvinza
Wito umetolewa kwa waganga wa jadi kuacha kupiga ramli chonganishi kwenye jamii kwani zimekuwa zikileta uchonganishi kwa wananchi na kuchochea migogoro Na Sofia Cosmas Wakristo katika Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma wametakiwa kuachana na imani za kishirikina na…
3 Septemba 2025, 12:20
Wakristo watakiwa kuombea uchaguzi mkuu Kasulu
Wakati uchaguzi Mkuu ukitarajia kufanyika Oktoba 29, 2025, waumini wa kikristo wametakiwa kuendelea kuliombea amani Taifa ili uchaguzi ufanyike kwa amani na utulivu Na Hagai Ruyagila Waumini wa Dini ya Kikristo Wilayani Kasulu, Mkoani Kigoma, wametakiwa kushiriki kikamilifu katika maombi…
1 Agosti 2025, 11:43
Viongozi wa dini watakiwa kuepuka ubaguzi Kigoma
Mkuu wa Mkoa Kigoma Balozi Simon Sirro amewaasa viongozi wa dini kuwa na mshikamano wa pamoja katika kuwahumia waumini na jamii kwa ujumla Na Hagai Ruyagila Viongozi wa umoja wa makanisa ya Kipentekoste Mkoa wa Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa…
16 Julai 2025, 12:07 um
Emboreet sekondari yageuza kinyesi kuwa nishati ya kupikia
Shule ya Sekondari Embooreet iliyopo wilayani Simanjiro mkoani Manyara, inatumia bayogesi inayotokana na kinyesi cha wanafunzi kama chanzo kikuu cha nishati ya kupikia. Teknolojia hiyo, iliyosimikwa na Eclat Foundation kwa kushirikiana na Kamatec ya Arusha, imelenga kupunguza utegemezi wa kuni,…
7 Julai 2025, 12:19
Viongozi wa dini watakiwa kutokuwa na chuki
Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Wesern Tanganyika amewataka wachungaji kuwatumikia kwa upendo. Na Hagai Ruyagila Wachungaji na viongozi wa Kanisa la Anglikana, Dayosisi ya Western Tanganyika (DWT), wametakiwa kuachana na roho ya chuki na migawanyiko miongoni mwao, badala…
6 Julai 2025, 2:06 mu
Je, ni kwanini wanafungiwa ndani?
Elimu jumuishi itasaidia kutoa fursa kwa watoto wenye ulemavu kupata haki zao. Na Cosmas Clement Wazazi na walezi wa watoto wenye ulemavu wilayani Pangani Mkoani Tanga wameaswa kutoa ushirikiano kwa serikali katika kuwafichua watoto wao na kuwapa fursa ya kupata…
26 Juni 2025, 2:07 um
Waandishi wapigwa msasa Katavi
Baadhi ya waandishi wa habari wakipatiwa mafunzo. Picha na Anna Mhina “Mafunzo ya leo yatatusaidia katika kuandaa habari kwa umakini” Na Anna Mhina Zaidi ya waandishi wa habari 20 mkoani Katavi wamepatiwa mafunzo ya lishe bora pamoja na ukatili kwa…
26 Juni 2025, 10:38 mu
Fahamu faida watoto wenye mahitaji maalumu kupata elimu
“lengo la mafunzo hayo ni kuwaibua watoto wenye mahitaji maalumu ili kutambulika na kujumuishwa katika elimu sawa na watoto wengine.” Na Cosmas Clement Halmashauri ya wilaya ya Pangani imeanza utekelezaji wa mpango wa elimu jumuishi chini ya mradi wa Shule…