Mazingira
23 Novemba 2022, 6:19 um
Kukosekana Kwa gari ya kuzolea taka kata ya Nsemlwa ni chanzo cha taka kutupwa k…
NSEMLWA Imeelezwa kuwa kukosekana kwa gari la kuzolea taka katika kata ya Nsemlwa Halmashauri Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi kunachangia baadhi ya wanchi kutupa takataka kwenye mitaro ya kupitishia maji. Hayo yameelezwa na baadhi ya wananchi wa kata hiyo…
04/10/2022, 12:25
Sheria ndogo ndogo zapelekea wananchi kujenga vyoo bora Chemba
Na; Benard Filbert. Uwepo wa Sheria ndogo ndogo katika Halmashauri ya wilaya ya chemba umetajwa kusaidia wananchi kujenga vyoo bora Katika kutekeleza na kusimamizi sheria hizo ,wenyeviti wa vijiji wamepewa jukumu la kuhakikisha wananchi katika vijiji vyao wanajenga vyoo bora.…
7 Septemba 2022, 11:03 mu
Wananchi Walalamikia TOZO ya Taka
MAJENGO-MPANDA Wananchi wa kata ya Majengo Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi wamelalamikia tozo ya taka kuwa kubwa na kusema kuwa hata utolewaji wa taka hizo ni wa kusuasua. Akizungumza kwa niaba ya wananchi wengine Sarafina Paul amesema tozo ya…
12 Agosti 2022, 11:38 mu
Mwenyekiti wa kamati ya abaraza la wawakilishi ya kusimamia ofisi za viongoziwak…
ZANZIBAR Mwenyekiti wa Kamati ya Baraza la Wawakilishi ya kusimamia Ofisi za viongozi wakuu wa kitaifa Mhe Machano Othman Said amewataka watendaji wa mazingira kuhakikisha kuwa sheria za mazingira zinafuatwa katika kuwalinda wanavikundi wanaojihusisha na utunzaji wa mazingira. Akizungumza…
29/06/2022, 14:34
Hali ngumu ya maisha yachangia uharibifu wa mazingira
Na; Victor Chigwada. Hali ngumu ya maisha imetajwa kuwa sababu ya watu kuendelea kuharibu mazingira ikiwa Ni pamoja na ukataji wa misitu ovyo hususani maeneo ya milimani na vijijini Diwani wa Kata ya Chipanga Bw.Masumbuko Aloyce amekiri kuwa changamoto kubwa…
09/06/2022, 15:41
Serikali yaendelea kukemea uharibifu wa mazingira
Na ;Victor Chigwada. Pamoja na wimbi la uharibifu wa mazingira unao kua kwa kasi kutokana na matumizi ya nishati ya mkaa na kuni Serikali umeendelea kukemea suala hili ili kulinda uoto wa asili Mwenyekiti wa Kijiji Cha Kazania Bw.Mganga Kuhoga…
31/05/2022, 13:16
Halmashauri ya jiji la Dodoma yaanzisha mpango wa kufanya usafi
Na; Fred Cheti Katika kuendelea kuimarisha usafi wa mazingira jijini hapa halmsahauri ya jiji la Dodoma kwa kushirikiana na wadau mabalimbali wa mazingira imeanzisha mpango wa kufanya usafi siku ya jumamosi katika kata mabalimbali zilizopo jijini hapa. Afisa Mazingira jiji…
30/05/2022, 17:01
Uchafuzi wa mazingira wachagiza mabadiliko ya hali ya hewa
Na ;Victor Chigwada. Matokeo ya mabadiliko ya Hali ya hewa nchini na hata dunia kwa ujumla yamekuwa yakichangiwa na shughuli za uchafunzi wa mazingira ikiwa ni pamoja ukataji wa misitu ovyo Suala la matumizi ya mikaa nchini limekuwa chachu ya…
30/05/2022, 16:45
Waziri Jafo ahimiza utunzaji wa msitu wa Iyumbu Park
Na;Mindi Joseph . Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Seleman Jafo amesema eneo la msitu la Iyumbu Park likihifadhiwa ipasavyo linaweza kuwa chanzo cha utalii. Eneo hilo lina zaidi ya hekari 3000 limekuwa eneo maalum…